Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,008
kilimo cha ekari moja mkuu
Utazeeka kabla ya siku.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Utazeeka kabla ya siku.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Shida siyo kwa wasomi bali elimu wanayofundishwa......."collar job based"
yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
NATANGAZA! KWA YEYOTE ANAYEHITAJI MAONO AU USHAURI AFANYE NINI ILI AJIKWAMUE NA UMASIKINI AJE DM! Note this, hapa hakuna uganga uganga uje DM ukiwa na akili timamu na mwenye hofu ya MUNGU!Hivi wewe ambaye unajiita umesoma halafu inalalamika kuwa huna kazi, unafahamu kwamba unajidhalilisha?
Acha wakose kazi vijana wa Ulaya na Marekani huko lkn siyo hapa Tanzania. Ardhi yenye rutuba isiyohitaji mbolea imejaa tele kwann usijiajiri kwenye kilimo?
Ardhi ya bure ipo tele katika mikoa ya Tabora, Katavi, Tanga, Ruvuma, n.k.
Kwani lazima ukae mjini? Mbona watanzania zaidi ya 80% wamejiajiri ktk kilimo tena wengi wao hawana madigrii kama ninyi lkn maisha yanasonga na ni watulivu wala hawapigi kelel za kukosa ajira.
Wengi wenu mmesomeshwa na wazazi wenu ambao ni wakulima wasiokuwa na elimu. Hawajawahi kuajiriwa na yeyote maisha yao yote.
Mmerogwa na nani ninyi mnaoenda shule? Kama hizi shule na vyuo mnavyoenda ndiyo vinawapeni huu ujinga mm nashauri zifutwe.
Kuna vijana chungu nzima walioishia darasa la saba wanaendeleza maisha kwa kilimo na shughuli nyingine hatusikii wakililia ajira. Wewe msomi umesoma halafu unalia. Usingesoma je? Jinga kabisa!
View attachment 1974112
watu wanadhani kulima ni kazi rahisi 😂Hii ndio shida, mfumo wa elimu na mfumo wa ajira havina mawasliano
Unampeleka mtoto kukaa darasani miaka 17 halafu akitoka huko hamna kazi.... anaishia kuja kumwomba msaada yule ambae hakukaa darasani kabisaaa na kuanza kujifunza kwake kulima na kufuga🙄🙄
watu wanadhani kulima ni kazi rahisi 😂
Tatizo la kilimo cha Tanzania liko kwenye soko siyo uzalishaji. Kwasasa hatuhitaji miundombinu ya umwagiliaji tunahitaji masoko. Kwasabb huko Mbeya Katavi na Ruvuma mahindi yanaoza kwa kukosa wanunuzi.Hela iliyotupwa kwenye ndege ingewekezwa kwenye miundombinu ya umwagaliaji na chain nzima ya kilimo ingemaliza tatizo la ajira na la machinga na bodaboda kupoteza mda mijini.
Na wala tusingetegemea kukopa Ili kuendesha nchi.
Wakoloni waliendesha nchi kwa kilimo na wakafanya makubwa Sana.Soko la mazao huko duniani hatuwezi lijaza hata KILA mtza akilima mazao.
Tatizo sera mbovu.
Ni aibu sana kwa mito kwa mito kumwaga maji bahari yapotee bure inatakiwa maji ya mito yaishie mashambani.
Ni bora kuzeeka ukipambania jasho lako kuliko kukaa miaka minne unafua boksa za shemejikilimo cha ekari moja mkuu
Utazeeka kabla ya siku.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Njia ya sasa,baada ya form 4 ni bora kwenda veta kuliko form6Hii ndio shida, mfumo wa elimu na mfumo wa ajira havina mawasliano
Unampeleka mtoto kukaa darasani miaka 17 halafu akitoka huko hamna kazi.... anaishia kuja kumwomba msaada yule ambae hakukaa darasani kabisaaa na kuanza kujifunza kwake kulima na kufuga🙄🙄
Badili mazao sio wote lazima mlime mahindi,sageni unga unga haukosi soko.Tatizo la kilimo cha Tanzania liko kwenye soko siyo uzalishaji. Kwasasa hatuhitaji miundombinu ya umwagiliaji tunahitaji masoko. Kwasabb huko Mbeya Katavi na Ruvuma mahindi yanaoza kwa kukosa wanunuzi.
Hapa unamuangalia mkulima mkubwa tu. Lkn huyu maskini hawezi kufanya hii michakato ya kusaga na kuuza nchi za nje.Badili mazao sio wote lazima mlime mahindi,sageni unga unga haukosi soko.
Masoko tele nje ya nchi sio lzm uuzie nchini tu.
Umuhimu wa kusoma ni kuongeza maarifa ili utatue changamoto za maisha.yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Hapo ndipo umuhimu wa elimu unahitajika kusolve hizo changamoto, na sio utegemee ukae ofisini.Kama kilimo kingekuwa kinalipa,basi mikoa ya Kanda ya ziwa,nyanda za juu kusini ingeongoza kwa kipato kimkoa na mchango kwenye pato la Taifa,lakini unajua mkoa unaoongoza?ni Dar es salaam,mkoa ambao hauna shughuri kubwa za kilimo lakini unachangia asilimia 80 ya pato la Taifa!!
Kwa kila shilingi 100 inayoingizwa kwenye mfuko wa Taifa,asilimia 80 inatoka Dar!!hiyo mikoa inayolima ipo wapi??
Hoja zako kwamba vijana wakiomaliza vyuo waende mikoani,wakamate ardhi(ambayo ipo bwelele)walime,zimekaa kinadhalia tu na ni story za kwenye makaratasi hazina uhusiano na Hari halisi iliyopo kwenye mazingira yao.
Huwezi kutoka hapa ukaenda Katavi,ukachukua ardhi,ukaanza kulima mahindi,ukavuna!na ukapiga pesa ndeefu!?
Mfuko wa mbolea unauzwa 100000Tsh,gunia la mahindi linauzwa 20000Tsh!
Hapo ndipo umuhimu wa elimu unapohitajika kusolve hizo problems.Kilimo cha mdomo rahis kweli sio cha shambani. Ukodishe shamba kama huna, utafute vibarua, ununue mbegu, mbolea hii inayopanda kila siku, madawa, sumu za wadudu, booster. Hapo bado hujaibiwa
Mkuu unasoma ili unongeze maarifa, upanue uwezo wako wa kufikiri ili uweze kutafuta solutions kwenye maisha na sio kupata ajira.sasa maana ya wao kusoma mpaka vyuo vikuu iko wapi?.... huko huko shule ya msingi si tungewafundisha tu skills za maisha + hicho kilimo then tuwaache waje mtaani...
Mateso kama yapi mkuu kula ugali na dagaa au kukaa kwa wazazi na shemeji.usilolijua ni usiku wa giza kama umefanikiwa kwenye chochote kila shukuru sana mungu alafu mwambie muumba tafadhali usije nipitisha kwenye kikombe cha mateso..
Mkuu elimu uliyosoma hujaitendea haki kwa mawazo haya.yani na elimu yetu tulime, umuhimu wa kusoma upo wapi
Wanasubiri mvuaHela iliyotupwa kwenye ndege ingewekezwa kwenye miundombinu ya umwagaliaji na chain nzima ya kilimo ingemaliza tatizo la ajira na la machinga na bodaboda kupoteza mda mijini.
Na wala tusingetegemea kukopa Ili kuendesha nchi.
Wakoloni waliendesha nchi kwa kilimo na wakafanya makubwa Sana.Soko la mazao huko duniani hatuwezi lijaza hata KILA mtza akilima mazao.
Tatizo sera mbovu.
Ni aibu sana kwa mito kwa mito kumwaga maji bahari yapotee bure inatakiwa maji ya mito yaishie mashambani.