Master Legendary
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 550
- 786
Wanajamvi,
Leo tarehe 09.04.2024 muda huu wa jioni nimetoka kituo cha mwendokasi cha Posta ya zamani kumpeleka wife, nimekuta abiria wamejazana hapo eti kwasababu hakuna umeme Kituo hakiwezi kukata tiketi.
Hii ni aibu kwa nchi, katika karne ya 21 watu wanakwama kusafiri kwasababu ya Umeme? Wameshindwa kuweka Solar au Jenereta kituoni?
Hata tafsiri ya neno Mwendokasi imewashinda wanasimamia nini sasa.
Nimechoka!
Leo tarehe 09.04.2024 muda huu wa jioni nimetoka kituo cha mwendokasi cha Posta ya zamani kumpeleka wife, nimekuta abiria wamejazana hapo eti kwasababu hakuna umeme Kituo hakiwezi kukata tiketi.
Hii ni aibu kwa nchi, katika karne ya 21 watu wanakwama kusafiri kwasababu ya Umeme? Wameshindwa kuweka Solar au Jenereta kituoni?
Hata tafsiri ya neno Mwendokasi imewashinda wanasimamia nini sasa.
Nimechoka!