Ahsante Wabunge Wa CCM, Ahsante JF!

Vipi pesa ngapi ulitumia? Kama rushwa haikuchukua nafasi yake basi mmejitahidi sana kwasababu ccm bila rushwa haiwezekani. Sorry kwa usumbufu ingekuwa poa sana kama mgempa sioi solomon kupoza machozi ya kufiwa.
 
Hongera sana, yetu vijana ni moja tuu..."movement for change" tunataka tanzania mpya
 
HONGERA! Ila usibweteke kwa hatua hii, jipange vizuri zaidi. Kwaushauri na ushirikiano, usisite kuwasilisha JF. Aluta continuer
 
- Wakuu JF, heshima mbele sana ndugu zangu leo kwa mara nyingine tena tumepita kuelekea mwisho wa Safari ya mbio zetu za Ubunge wa EAC, we are almost there jamani bado kidogo sana, twende kwa mbele sasa I mean mwendo mdundo jamani twende kwa mbele!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA, NA MUNGU AIBARIKI JF KUMKOMA NYANI!

William.

Mungu akusaidie mkuu ulipate hilo deal, litakutoa zaidi:rockon::rockon:
 
kazi ndio kwanza inaanza

jitoe kwa manufaa ya Taifa na kamwe usiwe mchumia tumbo,vijana wanaimani nawe hakika ukituangusha utaishia hukohuko EAC
 
Good luck W.J. Malecela kuna kijana wetu tumemtuma uwe makini sana. Tangaza sera achana na matusi mazee
 
Hongera kwa hatua uliyoifikia ila kumbuka nchi ya Tanzania sio ya uongozi wa kurithishana, wenzako alitaka kurithi juzi ameangushwa na sauti ya mungu. embu angalia watu waliopo kwenye mchakato, upo wewe mtoto wa malecela, yupo makongoro mtoto wa Nyerere, yupo abdalah mtoto wa Mwinyi, yupo said bilal na somebody makame. hivi ni lini mtaacha uchu wa madaraka na kuruhusu wengine wapite, mpaka sasa damu za vizazi vyenu zinalaana ya kuwatesa watanzania. embu kaa chini fanya mambo yako mengine. Time is ready for change you better step down enough is enough.
 
Tulijua utapita..! hizo ni fadhila umelipwa na magamba... hakuna lolote hapo na wala HUSTAHILI PONGEZI
 
- Mkuu heshima mbele sana, ukisema wewe Aminia! Wakuu wengine wote JF tupo wote ila naomba kupumzika maana kampeni ilikuwa kali sana nimechoka nahitaji kupumzika kwa muda kidogo!

William.
Umechoka kivipi, wengine tulikuombea upambane bila kuchoka, inamaana maombi yetu yalitupwa kapuni?
 
As long as ni kwa tiketi ya magamba, sikupi sapoti. Inawezekana umeipata nafasi kama alivyopata Sioi, au ili chama kipate member wa jf maana Chiligati alikiri ni mtandao hatari kwa ccm! Vyovyote vile, sikupi sapoti maana naamini hakuna kiongozi anayeweza kufanya vizuri linapoja swala la maslahi ya taifa akiwa ccm! Waangalie akina Sitta, Mwakyembe! Jiulize alipo Aloyce Kimaro. Kukusapoti kwa kuwa tu ni member "mwenzetu" hapa jf ni upuuzi mtupu! Inawezekana huijui hata mtera. Unaishi marekani halafu unataka kuja kutetea maslahi yetu eac! Maslahi tunayajua sisi tuliopo huku siku zote au wewe uliyeona ukatafute maisha NY! Hao waliokupitisha nao hawana maono maana huitaji kufikiri sana kuhusu hilo! Wameshindwa kujifunza somo la haraka kwamba pamoja na mambo mengine Sioi ameshindwa sababu haishi Arumeru!? Kweli ccm sikio la kufa!
Yeyote wa ccm ashindwe na akafie mbali maana wanazidi kutucheleweshea mageuzi, ukombozi na maendeleo ya haraka nchini mwetu!
Stupid reasoning. Umefanya utafiti kufikia hiyo conclusion?
 
You still have my unflinching endorsement.

yaani ninyi ni watu wa ajabu sana.Ben saanane jana alitofautina na watu wengi kumpigia kampeni huyu Willium na shy-Rose Bhanji hapa JF na mabandiko mazito mazito.Kuna siri gani hapo?au ni urafiki wao tu

Hivi kujinadi bungeni ni lugha gani inatumika? ni kiswahili au kiingereza?
 
ni wale wale tu, mtampa hongera nyingi mwisho wa siku ni yeye tumbo lake na familia yake, nilishaacha kumwamini yoyote anaetoka lichama linaitwa ccm. Nilanza kumwamini kilango, mwakyembe, six et al, lakini nimekuja gundua nao ni wachumia tumbo tu, so is willy j. M. Huwa najiuliza kama rangi ya kijani ni laana sipati jibu
mkuu siishie hao tu walikuwepo wakina j makamba, nape, olesendeka kumbe wooote ni masaburi tuu!
 
user-offline.png
nderingosha

Yesterday 17:19
#143
JF Senior Expert Member Array


Join Date : 20th March 2011
Posts : 334
Rep Power : 1292
Likes Received208
Likes Given29



icon1.png
Re: JF ninaomba sala zenu leo ni kura za maoni!


@Ben: I don't do politics (but i follow political issues in the country)and i have read your posts insisting on party ideologies etc etc...and i hope every party in this world has its own foreign policy agenda(including CHADEMA-where you belong)....that said, this is my first time to see one party's member campaigning for another different party's member for a political post...

I think this is the first of its kind i see in TZ...where we have multy party system....and worse enough..and very sad to me..this campaign is coming from one of the CHADEMA leaders......This sad reality speaks volume about you really......Let me ask you a very simple question....taking an example of USA...have you ever heard of a democratic party member(let alone leader) campaigning for a republican party member for any political post????...

And you call yourself a future CHADEMA political leader!!!!with no any standing of yourself!!!!...To me, i would be OK seeing you coming with your always long and boring narrations when it comes to campaigning for your CHADEMA candidate....By the way...the people you are campaigning for here will always represent the wishes from the status quo......meaning that you are here campaigning for the status quo........do you get this!!!!!!!

My last take on you:
Time for you to stop the hypocrisy thing my brother.....i would advice the CHADEMA leaders to take a very close eye on your future political ambitions at the party.....this is just a friendly advice(as i'm not a member of any party in TZ).....
 
user-offline.png
Ben

Yesterday 18:06
#159





Nderingosha,

Calm down sir/madame !

Kanuni za uchaguzi huu ni kwamba upinzani kuna nafasi moja na CCM wana nafasi 8. Kwa hiyo CHADEMA haishindani na CCM kupigania hizo nafasi nane and vice versa is true.(tafadhali kabla hujamwaga hizo rhetorics rejea kanuni za uchaguzi huu)

Ili mgombea wa chadema atakayependekezwa na akifanikiwa akaptishwa na bunge awe na uwezo wa kupenyeza ajenda zetu katika kuipigania Tanzania EAC basi ni lazima afanye kazi na wabunge competent kutoka chama tawala ambao ni liberal na wenye mtazamo mpana kuhusu maslahi ya Taifa/walio tayari kumuona kama mwakilishi wa Tanzania na sio mwakilishi wa Chadema.Kwa wale wanaonifahamu wanajua kabisa mimi nina allergy na status quo. Kwa maslahi mapana ya taifa letu na kwa uzalendo wangu sioni kizuizi cha kunizuia kuwakumbusha wana CCM safari hii kutuchagulia watu wazuri against their old tradition ya kuteua watu kwa maslahi yao na chama chao tu.This is a very big issue kwa ajili ya Taifa na EAC kwa ujumla.Wtakuwa wabunge wa Tanzani (CCM& Opposition) Vs wabunge wa Kenya (ODM,PNU etc) VS wabunge wa Uganda (NRM &FDC,and other opposition parties) vs Wabunge wa Burundi (CNDD-FDD and the like).So tuangalie competence ya wabunge wetu.Ningekushauri usome mkataba wa EAC,usome muongozo wa uchaguzi kabla hujaleta siasa za CCM na chadema katika hili

Pia,if you find my post long and boring in narrating issues just skip it.Just make your decision democratically(right)

Oh, USA? ofcourse huko tulikoiga demokrasia huwa wanafanya hivyo.Colin Powel waziri wa mambo ya nje wa zamani wa US (Mtu wa pili mwenye nguvu katika itifaki ya America baada ya Rais) ambaye alikuwa mwanachama wa Republican alimu-endorse Barack Obama (democrats) against John Maccain(Republican candidate)

Uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,kwa kuwa chadema ni chama kinachojali maslahi ya taifa kwanza hakikujikita kwenye unazi wa vyama na kuwaambia wanakyela wamchague Mwakyembe kwa masharti ambayo tuliwapa.Je chadema tulikuwa hypocrytes?

Nderingosha,I will continue to place national interest above partisan politics for it is not about Ben Sanane or nderingosha as an individual it is about Tanzania in the collective. It is not only about the present it is also very clearly, about our future too.

I want to call on all those who may continue to view issues only from the prisms of partisan politics to take a break. Election campaigns domestically are over. In all the areas concerning our position in EAC we are suppose to press for reforms, we have to in regardless of party, ideology or other interest be assembled and continue to do. We need Tanzanians,intellectuals and patriots of an outstanding pedigree to carry out assignments in our nations interest. We must reward and call to service excellence and patriotism at all times.
 
Back
Top Bottom