Nakuunga Mkono
Kumbuka huyu jamaa asivyoielewa jamii ambayo leo anataka kuiwakilisha, alipofika hapa alienda kufanya ziara kwao mtera, cha ajabu post alizokuwa akizituma kutokea mtera zinaonyesha kabisa jamii alikuwa kama vile mtalii fulani hivi, eti anashangaa ugumu wa maisha.
Achilia mbali hayo, huyu Jamaa alikuwa ni baharia, we all know mabaharia, maisha yao ya kawaida ni anasa kwa kwenda mbele, hakuna mtu ameishi maisha ya anasa anaweza aka reason around maisha ya watanzania, Majuzi nimekutana nae Mgahawa wa the CHEF hapa Dar, alikuwa amezungukwa na mabaharia wenzake mambo wanayozungumza hayana uhusiano kabisa kabisa na aina ya Uongozi tunaoutaka Japo kwa watu mtera wa pekee achilia mbali hayo mambo ya EA yenu.
Nachoweza kusema ni kwamba, kwa kadri navyomfahamu kutoka na interactions naye humu JF na kitaa kidogo, simuungi mkono, hata kama niko naye upande mmoja katika swala la kupinga Federation lakini hajanishawishi kama anaweza kuifanya hii kazi vizuri.