Mkuu Willy once again, Congrats.
Kwa kweli sikudhani kama hao watu wenye makundi watakupitisha hizi hatua mbili za mwanzo. Sababu umefanikiwa kupita, kuwa macho sana, and YOU NEED TO CONSOLIDATE votes scientifically now. Usijipe nafasi kabisa ya kurelax, maana kuna watu wana hasira na yaliyotokea juzi, wanaweza kudhani success yako itareflect change in CCM, anyways najua unaelewa.
WANA JF, na ikiwezekana CHADEMA tumpe Willy support 100%, sababu kwa upande wa magamba, huyu ni way way better kwenye kututetea huko mbleleni kwenye EAC, sababu kwanza exposure yake ni ASSET na hawezi kubabaika na wabunge kutoka especially Kenya. Yuko accountable huku kwetu JF, na isiwe wakati wa kumpinga now, sababu who is better than WILLY kwenye hiyo list iliyopo?? Tusimpime kutokana na PERFECT Candidate criteria, No, tufanye comparison na hao wenzake wa CCM walioko kwenye hiyo hatua ya mwisho.
All the best Mkuu, na pse usiache angle yoyote open maana unajua tena kuna wale maadui Permanent.