Ahsante Wabunge Wa CCM, Ahsante JF!


hongera ya nini wakati hata kutuambia wamepitishwa wangapi hataki? Au ndo ametoa rushwa wakamhakikishia kwamba amepita? Hivi huyu jamaa ana elimu gani,maana ni binamu wa lusinde,asije akawa lusinde wa pili.
 
Mbona asubuhi umeomba sala zetu na ukawa hapa unajibu hoja zetu, ila sasa hivi umeingia mitini hujibu maswali yetu
 
Saiuti ya umeme..sipati picha sauti ya umeme iikiupata ubunge ,JF itakuwa juu sana , hongera Willium na endelea kupambana Mungu yuko nawe
 
hONGERA SANA

INGAWA BADO ROHO YANGU INANIAMBIA KWAMBA YOU ARE RIGHT FOR MTERA AND NOT EAF
 
- Wakuu JF, heshima mbele sana ndugu zangu leo kwa mara nyingine tena tumepita kuelekea mwisho wa Safari ya mbio zetu za Ubunge wa EAC, we are almost there jamani bado kidogo sana, twende kwa mbele sasa I mean mwendo mdundo jamani twende kwa mbele!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA, NA MUNGU AIBARIKI JF KUMKOMA NYANI!

William.
Great and congrats..
 
Ukifanikiwa kupita usisahau jmbo la mtera maana babako kaliza kwa mhuni .siku moja uje kulichukua.
 
Hivi Shyrose Bhanji naye yupo au ameshatolewa?

ksmuulize kule fb , humu ndani tumeuliza sana hakuan anayetoa majibu hata williium mwenyewe anajifanya hajui , sasa akipata huo ubunge si ndio atafunga na vioo vyenyewe
 
- Mkuu heshima mbele sana, ukisema wewe Aminia! Wakuu wengine wote JF tupo wote ila naomba kupumzika maana kampeni ilikuwa kali sana nimechoka nahitaji kupumzika kwa muda kidogo!

William.
umeanza dharau kabla hata hujaupata huo ubunge.Km ulijua unataka kupumzika kwa nini umeleta mada usiku huu? Si ungelala ukaja asubuhi?Jibu hoja hapa acha dharau za mapema!
 
Hope atakuwa ameukwaa msure kamwambia acha kulopoka subili wanaosema kutaja majina wataje wenyewe,manake hakuna kichwa makini kama kile,kinajua kuwa akitumika kutujuza yeye watajenga picha ya kuwa mchakato ulikuwa na mambo ya ziada,wakati kwa jina lile la William Jonh Samwel Malecela ni homa tosha kwa wajumbe wengi wa kikao hicho cha CCM.
 
great thinker? kwa lipi? unafikiri thread uliyoileta inajitosheleza? hata ile ya kuombewa haikuwa na maelezo ya kutosha. eti upumzike,sio unakimbia hoja hapa jf kwa kuwa ulichokileta hakina mshiko? kaka uwe unajipanga kabla ya ku-post hapa jf
 
- Wakuu JF, heshima mbele sana ndugu zangu leo kwa mara nyingine tena tumepita kuelekea mwisho wa Safari ya mbio zetu za Ubunge wa EAC, we are almost there jamani bado kidogo sana, twende kwa mbele sasa I mean mwendo mdundo jamani twende kwa mbele!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA, NA MUNGU AIBARIKI JF KUMKOMA NYANI!

William.

Hongera sana kamanda,mbele kwa mbele sasa,tuko pamoja..!
 
Mkuu Willy once again, Congrats.

Kwa kweli sikudhani kama hao watu wenye makundi watakupitisha hizi hatua mbili za mwanzo. Sababu umefanikiwa kupita, kuwa macho sana, and YOU NEED TO CONSOLIDATE votes scientifically now. Usijipe nafasi kabisa ya kurelax, maana kuna watu wana hasira na yaliyotokea juzi, wanaweza kudhani success yako itareflect change in CCM, anyways najua unaelewa.

WANA JF, na ikiwezekana CHADEMA tumpe Willy support 100%, sababu kwa upande wa magamba, huyu ni way way better kwenye kututetea huko mbleleni kwenye EAC, sababu kwanza exposure yake ni ASSET na hawezi kubabaika na wabunge kutoka especially Kenya. Yuko accountable huku kwetu JF, na isiwe wakati wa kumpinga now, sababu who is better than WILLY kwenye hiyo list iliyopo?? Tusimpime kutokana na PERFECT Candidate criteria, No, tufanye comparison na hao wenzake wa CCM walioko kwenye hiyo hatua ya mwisho.

All the best Mkuu, na pse usiache angle yoyote open maana unajua tena kuna wale maadui Permanent.
 
Ameshaanza tabia za kimagamba za kuficha ficha. Unasema kampeni zilikuwa Kali ? Ambaye anatakiwa kusema hivyo ni nassari siyo wewe uliyekuwa unatumia hela za baba yako Kuhonga
 
Ni wale wale tu, mtampa hongera nyingi mwisho wa siku ni yeye tumbo lake na familia yake, nilishaacha kumwamini yoyote anaetoka lichama linaitwa CCM. Nilanza kumwamini Kilango, Mwakyembe, Six et al, lakini nimekuja gundua nao ni wachumia tumbo tu, so is Willy J. M. Huwa najiuliza kama rangi ya kijani ni laana sipati jibu
 
Back
Top Bottom