Umeona jinsi Julius Malema alivyomuita Zuma dikteta wazi wazi juzi?Ben Saanane anayemuona Mbowe dikteta ulikuwa unamshabikia.umekuja kuanza tena ligi hapa shukuruni ile sredi ilifungwa
Sometimes ukweli utapingana nao? ebu kwako binafsi Sangarara niambie/twambie nani tumpigie upatu hapa kwa hali halisi ya ndani ya CCM,na candidates wao ambao wanawafanyia mchujo wao kama wao CCM,na sie huku nje tuna influence nae hapa ndani ya jamvi.Ndo maana wanasema Aman Karume hakushiriki harakati zozote za kupigania uhuru, Urais ulimwangukia kama Mana kwa Waisrael.
Alafu,
DSN
Baharia huyu anaweza akaja na solution ipi ya kumletea unafuu mkulima wa Pamba, ama mkonge, au Karafuu, nakuhakikishia kuna uwezekano mkubwa sana kwamba haelewi ni kwa kiasi gani wakulima wa Tanzania wako nje ya mfumo wa Fedha,
The big point is American life style can not fit in Tanzania environment.
I checked last time you were in my ignored list!
- Mkuu Halisi ulipotea sana upo ndugu yangu? Saafi sana kukuona tena!
Es!
Amechoka alikua anakampen kata gani na mtaa gani na kwa siku ngapi.?
Unaona akili za wana CHADEMA?? Umelogwa wewe?? Ningekuwa mwanao nakukana kbs, huwezi kuwa mzazi bora kbs
hebu anika uchafu wake, tumfahamu.
Dkt. Hildebrand Shayo kaachwa.
Leo Aprili 4, 2012, si kuwa naomba kura kwa Wabunge wa CCM, kwani mchakato wa uteuzi kwa hatua tuliyofikia imekamilishwa kutokana na taratibu zinazokubalika ndani ya chama cha Mapinduzi.
Leo, badala yake, napenda kutoa kura ya shukrani. Mimi kumshukuru Mheshimiwa Pinda waziri Mkuu na Mbunge ambaye ndiye alikuwa Mwenyekiti wa kikao, Mheshimiwa Abdulrahaman Kinana mwakilishi wa CCM, wapinzani wangu katika kuwania kuteuliwa kwenda kwa wabunge kupigiwa kura yaani:
Janeth Mmari, Janet Mbene, Fancy Nkuli, Narah Mukabi, Shally Raymond, Shyrose Bhanji, Ngollo Malenya, Godbertha Kinyondo, Hamida Kalua, Angela Kizigha, Happyness Lugiko, Ruth Msafiri, Dr. Aman Kabourou, John Ngongola, Dr. Evans Rweikiza, Siraju Kaboyonga, Bernard Murunya, Dr Edmond Mndolwa, Christopher Awinia, Charles Makongoro Nyerere, Adam Kimbisa, Elibariki Kingu, simon Berege, Mrisho Gambo, Handley Mafwega, William John Malechela, Mussa mnyeti, Godfrey Mosha, Septuu Mohamed Nassor, Safia Ali Rijaal, Rukia Seif Msellem, Sahan Saleh Ali, Maryam Ussi Yahaya, Dr. Said Gharib Bilal, Abdalla ali Mwinyi, Dr Haji Mwita haji, Dr. Ahmada Hamad katib, Zubeir Ali Maulid, Khamis Jabir Makame, Abdlul azizi salim AbdulAziz na Mbwana Yahaya Mwinyi na wafanyakazi wengine ya wafanyakazi kutoka makoa madogo ya CCM Lumbumba, na kwa marafiki zangu wote ambao kwa namna moja au nyingine wamefanya kazi katika kuniwezesha kuanza safari hii kisiasa ndani ya Chama Tawala CCM na kufikia ngazi katika mchakato huu wa Bunge la Afrika Mashariki.
Japo sikuweza kufikia kuwa kati ya wale watakaopelekwa kupigiwa kura na wanbunge nzima kule Dodoma mwaka huu, kwa hakika, ninaelewa kuwa ni kutokana na upepo wa Kisiasa ndani ya chama chetu.
Waheshimiwa wabunge [CCM], nawashukuru kwa ajili ya mawazo na kwa ajili ya kura zenu, na kukubali kwenu kunisikiliza na kunikubali mimi kama damu changa katika chama ukizingatia misukosuko ambayo chama chetu cha CCM kinapitia unaojionyesha kutokana na chaguzi mbali mbali za hivi karibuni katika ngazi mbali mbali.
Tukio la jana na nafasi niliyopata kubadilishana mawazo na wabunge wakongwe na ambao wengi wao wamewahi kushika nafasi kubwa serikalini, Mawaziri, na utaratibu mzima wa kupewa nafasi ya kuhojiwa na mazingira mazima ya ukumbi wa Karimjee, itakuwa kumbukumbu ya mara kwa mara kwangu mimi na kwamba chama changu CCM ni chama chenye wagombea wazuri na wenye uwezo mkubwa.
Dkt. Hildebrand Shayo
Ukitaka kumjua zaidi alishawahi kuanzishiwa thread humu humu JF: https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum/21236-dr-hildebrand-shayo.html