Ahmed Rajab: Laana iliyoipiga CHADEMA

Ahmed Rajab: Laana iliyoipiga CHADEMA

Mbona Nyerere kaishi na mafisadi wengi tena mwingine aliwapigia kampeni kuwa rais Mkapa?

Mkapa ameanza ufisadi baada ya Nyerere kufariki. Mwinyi naye alianza ufisadi alipoingia ikulu. Kikwete alianza ufisadi alipokuwa wizara ya madini.
 
Kwa hiyo tatizo lako si udikteta bali ni Zitto? Basi mngetundea haki kama hata jina la chama lingebadilishwa ku-reflect hilo. Chama cha uDikteta na Maendeleo? CHADIMA.

Amandla......

Hujathibitisha hapa kwamba kuna udikteta ndani ya Chadema.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Anayejitambua kamwe hawezi kuwa mtetezi wa sera muflisi zilizosababisha katika kipindi cha miaka minane iliyopita kuona gharama mbali mbali za maisha kuongezeka kwa kasi ya kutisha, kuongezeka kwa ujambazi na ujangili nchini huku polisi wakishindwa kuthibiti maongezeko hayo, kuanguka kwa elimu kwa kiwango cha kutisha, huduma muhimu kama maji, umeme, matibabu kuendelea kuwa za hovyo hovyo bila dalili yoyote ya ahueni katika siku za hivi karibuni, Watanzania walio wengi kuendelea kulipwa mishahara ya chini mno ambayo haiendani na hali halisi ya gharama za maisha, Watanzania kutofaidika katika mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali nchini, kuona baraza la mawaziri likibadilishwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miaka minane na bado utendaji wa mawaziri wote ni wa chini mno, Serikali kuendelea na matumizi makubwa ambayo hayana tija yoyote katika kuleta maendeleo kwa Watanzania. Yeyote yule anayejitambua kamwe hawezi kutetea uozo kama huu ndani ya Serikali hii dhalimu.

Haaa haaa

BAK mimi najitambua,

sijawa mtumwa wa kupenda tu bila sababu

Mbowe is too local, ni kweli,

ebu sema, operation tokomeza, tanesco n.k Mbowe kafanya nini?? why you guys dont see even a sunrise and sunset??

Mbowe hawezi uongozi, ila njaa zenu na hela yake inamfanya awe na wafuasi wengi.

narudia UKWELI UTASIMAMA DAIMA

where are thinkers in CDM?? I see only zitto hata kama mtamfukuza
 
Anayejitambua kamwe hawezi kuwa mtetezi wa sera muflisi zilizosababisha katika kipindi cha miaka minane iliyopita kuona gharama mbali mbali za maisha kuongezeka kwa kasi ya kutisha, kuongezeka kwa ujambazi na ujangili nchini huku polisi wakishindwa kuthibiti maongezeko hayo, kuanguka kwa elimu kwa kiwango cha kutisha, huduma muhimu kama maji, umeme, matibabu kuendelea kuwa za hovyo hovyo bila dalili yoyote ya ahueni katika siku za hivi karibuni, Watanzania walio wengi kuendelea kulipwa mishahara ya chini mno ambayo haiendani na hali halisi ya gharama za maisha, Watanzania kutofaidika katika mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali nchini, kuona baraza la mawaziri likibadilishwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miaka minane na bado utendaji wa mawaziri wote ni wa chini mno, Serikali kuendelea na matumizi makubwa ambayo hayana tija yoyote katika kuleta maendeleo kwa Watanzania. Yeyote yule anayejitambua kamwe hawezi kutetea uozo kama huu ndani ya Serikali hii dhalimu.

Kweli unayosema. Ndio maana behaviour ya Chadema kwenye hili inatuumiza wengi. Tulitegemea wangekuwa bora kuliko walivyojionyesha. Kama Slaa anashindwa kufurukuta kwa Mbowe ataweza kweli kusimama kidete dhidi ya wenye nia mbovu atakapokuwa rais wa nchi hii? Ataweza kweli kuweka maisha ya mtanzania mbele ya matakwa ya chama chake? Tumeona yaliyotokea Kenya. Waliochukua nafasi ya KANU wakawa dhulumati kuliko KANU. Tumeona Zambia. Waliochukua nafasi ya UNIP walioza kuliko wakina Kaunda. Tumeona Zimbabwe. Kupata tu u-waziri mkuu jama akaanza kufanya matanuzi kuliko hata Mugabe! Tumeanza kuwa na wasiwasi kuwa hawa viongozi wa Chadema wa sasa hawana nia wala uwezo wa kumtoa mtanzania katika maisha mabovu aliyokuwa nayo sasa.

Amandla.......
 
Mkapa ameanza ufisadi baada ya Nyerere kufariki. Mwinyi naye alianza ufisadi alipoingia ikulu. Kikwete alianza ufisadi alipokuwa wizara ya madini.
Na ufisadi wa Mbowe na Dr.Slaa waliuanza lini? Kujikopesha ruzuku za chama siyo ufisadi, kula pesa za visima vya maji walizopewa na Sabodo siyo ufisadi, Mbowe kuwauzia Chadema Fuso zake za mtumba kwa milioni 300 siyo ufisadi, mradi wa kukusanya pesa M4C siyo ufisadi.
 
You don't know anything about democracy vinginevyo usingeandika huu upup_. Democracy ni kuheshimu maamuzi ya wengi ndani ya chama na maamuzi ambayo yanafuata taratibu zote za ndani ya chama. Ndio maana husikii kelele toka kwa wanachadema kuhusu hizo pumb_ zako kwamba hakuna democracy. Kelele zote ni za MACCM wakati ndani chama chao chaguzi zibanunuliwa kwa mamilioni hata mabilioni. Bila kutumia hongo ya mabilioni Kikwete asingekuwa mgombea wa CCM 2005 na bila kutumia hongo fisadi Lowassa hatakuwa mgombea wa CCM 2015, lakini haya kwako wewe ni democracy ndani ya chama chenu cha wauza unga, majangili, mafisadi na magaidi.

Umekosea. Democracy si tu utawala wa the majority bali vile vile unahakikisha minority wana nafasi ya kutofautiana na majority bila kusulubiwa. Democracy hai-demand wote wawe kondoo kama mnavyodhani. Democracy inatambua uwepo wa mbuzi miongoni mwao na umuhimu wa kuwaruhusu wakimbie wanavyotaka. Tofauti na mnavyodhani, kipimo kikubwa cha demokrasi ni haki na nafasi wanayopewa wasio wengi. Democracy sio dictatorship by the majority.

Amandla.....
 
You don't know anything about democracy vinginevyo usingeandika huu upup_. Democracy ni kuheshimu maamuzi ya wengi ndani ya chama na maamuzi ambayo yanafuata taratibu zote za ndani ya chama. Ndio maana husikii kelele toka kwa wanachadema kuhusu hizo pumb_ zako kwamba hakuna democracy. Kelele zote ni za MACCM wakati ndani chama chao chaguzi zibanunuliwa kwa mamilioni hata mabilioni. Bila kutumia hongo ya mabilioni Kikwete asingekuwa mgombea wa CCM 2005 na bila kutumia hongo fisadi Lowassa hatakuwa mgombea wa CCM 2015, lakini haya kwako wewe ni democracy ndani ya chama chenu cha wauza unga, majangili, mafisadi na magaidi.

Hebu niambie uhalali wa kikao kilichowavua Zitto na wenzake nyadhifa zao, kulingana na katiba ya CHADEMA. Pili demokrasia kwenu ni nini?

Tatizo la CDM ni kuona kila anayetofautiana na Mbowe & Co. kuwa msaliti, sijui mhaini, etc. Kama ni rushwa, siamini CDM wako safi katika hilo. Na kwa taarifa yako huyo unayemuita fisadi Lowassa ni mmojawapo wa sponsors wa CDM. Mtakuja kustuka kuwa mlikuwa mnachezewa shere na wajanja wachache ndani ya CDM muda ukiwa umeenda.
 
Umekosea. Democracy si tu utawala wa the majority bali vile vile unahakikisha minority wana nafasi ya kutofautiana na majority bila kusulubiwa. Democracy hai-demand wote wawe kondoo kama mnavyodhani. Democracy inatambua uwepo wa mbuzi miongoni mwao na umuhimu wa kuwaruhusu wakimbie wanavyotaka. Tofauti na mnavyodhani, kipimo kikubwa cha demokrasi ni haki na nafasi wanayopewa wasio wengi. Democracy sio dictatorship by the majority.

Amandla.....

Ebu waambie ukweli hawa jamaa. manake wao kila kitu kisemwacho na uongozi wa CDM wanachukua kama vile ni dogma au yale mambo ya "papal infallibility". Kila uamuzi huwa unakuwa na interest ya ndani. Sasa inawezekanaje kwamba kila anachosema Zitto kiwe na tatizo?

Wanachama wa CDM wanapaswa kuchukulia kila uamuzi wa ndani kwa umakini mkubwa na sio kufuata mkumbo tu ati kwa vile kuna watu wamesema hivyo.
 
Anayejitambua kamwe hawezi kuwa mtetezi wa sera muflisi zilizosababisha katika kipindi cha miaka minane iliyopita kuona gharama mbali mbali za maisha kuongezeka kwa kasi ya kutisha, kuongezeka kwa ujambazi na ujangili nchini huku polisi wakishindwa kuthibiti maongezeko hayo, kuanguka kwa elimu kwa kiwango cha kutisha, huduma muhimu kama maji, umeme, matibabu kuendelea kuwa za hovyo hovyo bila dalili yoyote ya ahueni katika siku za hivi karibuni, Watanzania walio wengi kuendelea kulipwa mishahara ya chini mno ambayo haiendani na hali halisi ya gharama za maisha, Watanzania kutofaidika katika mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali nchini, kuona baraza la mawaziri likibadilishwa kwa mara ya tatu katika kipindi cha miaka minane na bado utendaji wa mawaziri wote ni wa chini mno, Serikali kuendelea na matumizi makubwa ambayo hayana tija yoyote katika kuleta maendeleo kwa Watanzania. Yeyote yule anayejitambua kamwe hawezi kutetea uozo kama huu ndani ya Serikali hii dhalimu.
o

Ni wazi kwamba uongozi wa CCM na serikali yayo umejawa na matatizo mengi. Lakini pia CDM ambao hata serikali hawajaishikia wameanza matatizo kama tunayoshuhudia leo, wakishika dola itakuwaje? Mpaka sasa naona CDM bado wachanga kuongoza nchi kwa maana ya kupokea, kukubali na kukabiliana na changamoto mbalimbali. Suala la Zitto tu limekuwa hivi, uchumi wa nchi mtauongoza vipi?
 
Mkapa ameanza ufisadi baada ya Nyerere kufariki. Mwinyi naye alianza ufisadi alipoingia ikulu. Kikwete alianza ufisadi alipokuwa wizara ya madini.

ni kweli baada ya nyerere kila rais ni fisadi, isipokuwa rais mtarajiwa mbowe.
 
Ahmed yuko sawa kwani viongozi wa cdm si miungu nao ni binadam wanaudhaifu wao vipi wasikosolewe?

Mtahangaika sana lakn CDM ni kisiki cha mpingo! ukisoma andiko lake utagundua alisukumwa na udini pamoja na kujitahidi kuukwepa na kujikita kwenye ukabila kama geresha tu.Alikuwa wapi kuyaona zamani hadi iwe sasa tu kwa kuwa waislamu wenzie wameharibu? na je,walichokifanya ni sahihi? na je,katiba ya CDM anaifahamu na inaruhusu hayo? Hana lolote zaidi ya uandishi njaa na ushabiki wa kijinga!
 
Na ufisadi wa Mbowe na Dr.Slaa waliuanza lini? Kujikopesha ruzuku za chama siyo ufisadi, kula pesa za visima vya maji walizopewa na Sabodo siyo ufisadi, Mbowe kuwauzia Chadema Fuso zake za mtumba kwa milioni 300 siyo ufisadi, mradi wa kukusanya pesa M4C siyo ufisadi.

Hujui ulinenalo,kukopa ni ufisadi? kwa hiyo hata mimi niliyekopa kazini kwangu ni ufisadi? kuhusu sabodo wewe ni mke wake au? mbona yeye mwenyewe yupo na hajalalamika? kwa taarifa ni kuwa hakuna pesa iliyotolewa ikashindwa kufanya kazi iliyokusudiwa! alisema atatoa mapato ya jengo lake kusaidia ujenzi wa visima,wewe unajua katoa kiasi gani hadi sasa? hizo ni hoja dhaifu sana.kawaulize lumumba kodi za majengo,viwanja walivyojimikisha kienyeji zinaenda wapi na ile ruzuku kama bilion kwa mwezi inapotelea wapi? maana hatuoni hata oparesheni za chama zaidi ya mikutano michache ya kinana na nepi!
 
Na ufisadi wa Mbowe na Dr.Slaa waliuanza lini? Kujikopesha ruzuku za chama siyo ufisadi, kula pesa za visima vya maji walizopewa na Sabodo siyo ufisadi, Mbowe kuwauzia Chadema Fuso zake za mtumba kwa milioni 300 siyo ufisadi, mradi wa kukusanya pesa M4C siyo ufisadi.

Hivi, kabla ya Chadema kuongeza hela za ruzuku, nani aliyekuwa anafadhili Chadema? Ni Mbowe na Ndensamburo. Leo iweje yule yule aliyekuwa anatoa pesa yake mfukoni kufadhili chama akifisidi? Na matrucks unayongumzia siyo Fuso. Ni platform trucks yenye vipaaza sauti ambayo Mbowe alininua kwa pesa yake mwenyewe kwa ajili ya kampeni za 2010. Alichofanya Mbowe, baada ya chama kuongeza ruzuku ni kuomba arudishiwe hela zake. Sasa hapo mtumba uko wapi?
 
Hivi, kabla ya Chadema kuongeza hela za ruzuku, nani aliyekuwa anafadhili Chadema? Ni Mbowe na Ndensamburo. Leo iweje yule yule aliyekuwa anatoa pesa yake mfukoni kufadhili chama akifisidi? Na matrucks unayongumzia siyo Fuso. Ni platform trucks yenye vipaaza sauti ambayo Mbowe alininua kwa pesa yake mwenyewe kwa ajili ya kampeni za 2010. Alichofanya Mbowe, baada ya chama kuongeza ruzuku ni kuomba arudishiwe hela zake. Sasa hapo mtumba uko wapi?

Haya ndiyo maneno. Kukifadhili CHADEMA si lazima kuwa hawatataka kukifisadi hapo baadae. Kama ulivyosahihisha upotoshaji kuhusu Fuso basi mngefanya hivyo hivyo kuhusu tuhuma nyingine. Vizuri zaidi, msiishie hapo. Wanachama waambiawe gharama za kuendesha Chadema hapo awali zilikuwa ngapi na Mbowe na Ndesamburo walitoa ngapi.Waambiwe pia hiyo platform truck ilikuwa ya aina gani na ilinunuliwa wapi kwa gharama gani. Waambiwe makubaliano ya ulipaji yalikuwaje. Waelezwe kiasi ambacho CHADEMA wanapata kila mwaka na matumizi yake. Wapewe mahesabu ya mapato, madeni na matumizi yaliyokuwa audited. Wakifanya hivi watajiongezea credibility kama viable alternative kwa utawala uliokuwepo hivi sasa.

Amandla.......
 
Hebu niambie uhalali wa kikao kilichowavua Zitto na wenzake nyadhifa zao, kulingana na katiba ya CHADEMA. Pili demokrasia kwenu ni nini?

Tatizo la CDM ni kuona kila anayetofautiana na Mbowe & Co. kuwa msaliti, sijui mhaini, etc. Kama ni rushwa, siamini CDM wako safi katika hilo. Na kwa taarifa yako huyo unayemuita fisadi Lowassa ni mmojawapo wa sponsors wa CDM. Mtakuja kustuka kuwa mlikuwa mnachezewa shere na wajanja wachache ndani ya CDM muda ukiwa umeenda.

Na wewe labda unaweza kutuambia ni kwa nini Zitto na genge lake walijitolea kujiuzulu njama zao zilipobaonika. Kama walikuwa tayari kujiuzulu kwa nini wanalalamika sasa?
 
Na wewe labda unaweza kutuambia ni kwa nini Zitto na genge lake walijitolea kujiuzulu njama zao zilipobaonika. Kama walikuwa tayari kujiuzulu kwa nini wanalalamika sasa?

Njama zipi?
 
Back
Top Bottom