wewe pekee ndo mwenye mchango wa kibavicha kwenye huu uzi.
Njemba imeshakula ubwabwa wa MACCM basi ikaamua kuandika pumba zake, nasikia iko safarini kuwahi ubwabwa mwingine Zenj kusherehekea miaka 50 ya mapinduzi ikishapata ubwabwa za Zenj itaandika article nyingine kuhusu CHADEMA na Zenj. Mtu mzima hovyoooooooo!!!! Mxyuuuuuuuuuuuuuu