Ahmed Rajab: Laana iliyoipiga CHADEMA

wewe pekee ndo mwenye mchango wa kibavicha kwenye huu uzi.

Njemba imeshakula ubwabwa wa MACCM basi ikaamua kuandika pumba zake, nasikia iko safarini kuwahi ubwabwa mwingine Zenj kusherehekea miaka 50 ya mapinduzi ikishapata ubwabwa za Zenj itaandika article nyingine kuhusu CHADEMA na Zenj. Mtu mzima hovyoooooooo!!!! Mxyuuuuuuuuuuuuuu
 
Mmeishiwa kila siku mnatunga utumbo tu, hivi mnapoteza muda wenu kuitetea ccm ambayo hadi leo mmeshakufa mko mochwari mmebaki kwenda kuzikwa!!!!!!!!

Hovyo kabisa leteni hoja za maana. Kwanza mtoa hoja ushalipa bili ya umeme au huna habari kwamba serikali ya chama chako imekupandishia billi?
siamini kama umeusoma huu uzi. usome halafu ndo ukomment na sio hizi pumba ulizotupia hapa.
 
Mbona unatokwa povu?
Nyerere alifanikiwa kujenga chama imara kilichowaunganisha Watanzania wote mpaka pale kilipotekwa na mafisadi. Nyerere asingestahmili watu mfano wa Zitto na Kitila ndani ya chama. Ni mfano wa kuigwa. Endelea kutokwa povu!
Hoja chakavu kajipange mkuu.
 
Kama chadema ni chama cha ukanda basi ccm ni chama cha kidini soini tatizo sisi tutachukuliana nao hivyohivyo kama tuavyochukuliana na ccm

mbona hatuwwachi ccm kwasababu zaudini

Angalia Rais, makamu, katibu mkuu,kamanda mkuu, mkuu wa usalama wa nchi, makatibu wakuu,mawaziri, mikoani na wiayani (dini hiyo hiyo) kwani dini nyingne hazina watu
tafuteni ajenda nyingine na siyo ukanda

Mkuu kadiri chama kinavyokuwa kikubwa changamoto huzidi..........,cha msingi ukubaliae na ukosoaji na sio kutoka povu......kuhalalisha uovu kwa kujilinganisha na CCM, au uapendelea tu zile hadithi zinazo sifia tu CDM..........Komaa kisiasa.
 
Wanaoiwinda CDM ni wengi,wengine hata hamtawazania......si 2014 imeingia tunaelekea chaguzi za SERIKALI ZA MITAA,tutasikia,kuona na kusoma mengi kutoka kwa kila aina ya waandishi.
 
Mmeishiwa kila siku mnatunga utumbo tu, hivi mnapoteza muda wenu kuitetea ccm ambayo hadi leo mmeshakufa mko mochwari mmebaki kwenda kuzikwa!!!!!!!!

Hovyo kabisa leteni hoja za maana. Kwanza mtoa hoja ushalipa bili ya umeme au huna habari kwamba serikali ya chama chako imekupandishia billi?

Hovyo kabisa we mwenyewe huna hoja, mbulukenge we. Kukipenda chama ni pamoja na kutoa utetezi kwa hoja juu ya tuhuma kinazotupiwa na kutoa kashfa na matusi, this is the place for Great Thinkers na sio kijiwe cha matusi.
 
duh hiii kali, nimesoma article ya huyu ahmed rajab, amejalibu kutoa rai yake kwa kile anachofikili,, tunaita uhuru wa kuongea.

swali; kwa nini mtu akiongea kitu chochote kibaya kilicho ndani ya CDM atashambuliwa sana na maneno makali, halafu sasa mifano mnatolea CCM, ( oooh CCM mbona nao WADINI, WAKABILA, WANAUNDUGURIZATION nk). kwa hiyo kumbe tunaiga yale ya CCM.
mimi nilifikili mtaachana na yale mabaya ya CCM na kuanzisha ya kwenu mazuri, unaposhutumiwa kwa ubaya halafu na wewe ukajibu kwa hoja, 'mbona fulani naye kafanya," hii inamaanisha hizo shutuma ni za kweli..

ushauri; CDM jitazameni, wapiga kura wa TZ wapo, na sio hawa mnaowaona humu JF wenyewe wapo tu kimya,, mkitua na hellicopter yenu watakuja wengi kuwalaki (watz wakarimu), ila kwenye kile chumba cha kura utafikili wamerogwa vile (waulizeni wenzenu CUF).
wenyewe wanasemaga chama cha nyerere, sasa hivi wenyewe wako mashambani wanalima wakiibuka huko 2015 utasikia tu kile chama cha nyerere.
tusiopiga kura tupo wengi mno, hili mnalijua??? sisi huwa hatujali siasa (mabepari) tunaamini nguvu yako ndio itakayokulisha kwa hiyo huwa tunapiga kazi tu.
CDM mnajua system tu ya CCM inawatu kama 5mil (hawa ni wale wanaonufaika direct na mfumo CCM), CCM wenyewe husema wana mtaji wa wapiga kura.
CDM mnajua ujanja wa kiscience walioutumia CCM tarime? (Waligawa kura zenu 8000 zikaenda CUF, wao wakabaki na kura zao FIXED mkalikosa jimbo kiulaiiiini)

CDM MSIWE WABISHI KUBALINI USHAULI WA WATU, HAMUWAJUI CCM VIZURI KULIKO MNAVYOFIKILI.
CDM MNA WATOTO WENGI AMBAO WAKO KIMASLAHI ZAIDI, WAPO CDM KWA SABABU HAWAWEZI KUVIPATA WANAVYOTAKA CCM, NI RAHISI KUPATA UMAARUFU KUPITIA CDM NA SIO CCM.
 
dini,ukanda unatusaidia nini sisi hebu tujenge nchi yetu kwani wachaga,wakwere,wakurya wakitoa rais kunatufanya mKabila mengine tukose haki ya kuishi,shem on u anti chadema
 
Digital, ukiona mtu ana mawazo ya udini na ukabila au ukanda ujue akili ndogo,uliwahi kusikia chadema anamwita ccm ina mfumo wa kidini kama sio propaganda za ccm
 
Kusema flani ni mdini huwa kwa mtu mwenye mapenzi na taifa lake ni kitu chauma sana ila ukweli huwezi kufichika chadema kina ubaguzi wa kidini kupita maelezo.

Sidhani kama wanaizidi CCM.CCM kimegeuka Chama cha Kiislamu.Makanisa ya Mbagala yamechomwa Mchana kweupe lakini hakuna Mtu hata Mmoja aliyetiwa hatiani kwa Sababu waliofanya vitendo hivyo ni Waislamu wenzao_Ona Mapadre wanavyomwagiwa Tindikali na kupigwa Risasi.CCM udini utaimaliza.
 
You don't know anything about democracy vinginevyo usingeandika huu upup_. Democracy ni kuheshimu maamuzi ya wengi ndani ya chama na maamuzi ambayo yanafuata taratibu zote za ndani ya chama. Ndio maana husikii kelele toka kwa wanachadema kuhusu hizo pumb_ zako kwamba hakuna democracy. Kelele zote ni za MACCM wakati ndani chama chao chaguzi zibanunuliwa kwa mamilioni hata mabilioni. Bila kutumia hongo ya mabilioni Kikwete asingekuwa mgombea wa CCM 2005 na bila kutumia hongo fisadi Lowassa hatakuwa mgombea wa CCM 2015, lakini haya kwako wewe ni democracy ndani ya chama chenu cha wauza unga, majangili, mafisadi na magaidi.

Hivi kila anayeikosoa CDM au anayetoa mtazamo tofauti dhidi ya maamuzi ya CDM amenunuliwa na CCM au msaliti? This thinking antithetically epitomizes the lack of democracy within CDM. Yaani kifupi ukiwa na mawazo tofauti ndani ya CDM wewe ni msaliti na hufai kuwa ndani ya chama.

Duh!
 
Back
Top Bottom