Ahmed Rajab: Laana iliyoipiga CHADEMA

Ahmed Rajab: Laana iliyoipiga CHADEMA

Haya ndiyo maneno. Kukifadhili CHADEMA si lazima kuwa hawatataka kukifisadi hapo baadae. Kama ulivyosahihisha upotoshaji kuhusu Fuso basi mngefanya hivyo hivyo kuhusu tuhuma nyingine. Vizuri zaidi, msiishie hapo. Wanachama waambiawe gharama za kuendesha Chadema hapo awali zilikuwa ngapi na Mbowe na Ndesamburo walitoa ngapi.Waambiwe pia hiyo platform truck ilikuwa ya aina gani na ilinunuliwa wapi kwa gharama gani. Waambiwe makubaliano ya ulipaji yalikuwaje. Waelezwe kiasi ambacho CHADEMA wanapata kila mwaka na matumizi yake. Wapewe mahesabu ya mapato, madeni na matumizi yaliyokuwa audited. Wakifanya hivi watajiongezea credibility kama viable alternative kwa utawala uliokuwepo hivi sasa.

Amandla.......

Inapokuja kwa mapato na matumizi Hakuna chama kilicho transparent kama Chadema. Hakuna!
 
Inapokuja kwa mapato na matumizi Hakuna chama kilicho transparent kama Chadema. Hakuna!



Mkuu, usijilinganishe na vipofu. Hiyo transparency ya CHADEMA bado ina walakin na ndio moja ya sababu za kumchukia Zitto aliyesema hakuna chama kilichowasilisha hesabu zake.

Tumesikitishwa na hatua ya viongozi wa vyama vya siasa kumshambulia kwa maneno makali Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe kutokana na kauli yake kwamba angewasiliana na Msajili wa Vyama vya Siasa ili ruzuku ya vyama hivyo isitishwe hadi hapo vitakapowasilisha taarifa za ukaguzi wa matumizi ya vyama hivyo kama sheria inavyotaka.

Zitto alisema juzi kuwa, tangu mwaka 2009 Serikali ilitoa kiasi cha Sh67.7 bilioni kama ruzuku kwa vyama tisa vya siasa, lakini vyama hivyo havijawahi kuwasilisha taarifa za ukaguzi wa hesabu zake.
Kutoka gazeti la Mwananchi.

Hiyo transparency ya CHADEMA iko wapi?

Amandla....
 
Mkuu, usijilinganishe na vipofu. Hiyo transparency ya CHADEMA bado ina walakin na ndio moja ya sababu za kumchukia Zitto aliyesema hakuna chama kilichowasilisha hesabu zake.

Kutoka gazeti la Mwananchi.

Hiyo transparency ya CHADEMA iko wapi?

Amandla....

Ningependa kumsikia CAG akilalamika na si Zitto Kabwe ambaye lengo lake peke ni kuonyesha kuwa Slaa na Mbowe wana mapungufu katika utendaji wao
 
Wapi pesa ya Sabodo?

Pesa ya Sobodo ipo. Waulize CCM ANC waliwapa pesa ngapi katika uchaguzi w 2005? Na Iran je? Na ile kampuni ya Makaburu inayochimba tanzanite. Mbon mnaishupalia Chadema pekee?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wanachadema hawaumizwi na lolote katika maamuzi ya CHADEMA ndio maana maamuzi yote ikiwemo la kumvua madaraka huyo msaliti na pia kumfukuza yana support kubwa sana miongoni mwa wanachama wa CDM, wanaoumia ni MACCM. Hayo uliyoyaandika hapa yote hayana ushahidi wowote zaidi ya speculation. Kama siyo CHADEMA madudu mengi yanayofanywa ndani ya Serikali kuanzia kuanzi ufisadi wa Rada, EPA, Richmond, Kagoda, Meremeta, Kiwira Coal Mining, Ukawapuzi wa nyumba za Serikali, mikataba ya rasilimali za Watanzania ambayo haina maslahi kwa Tanzania na Watanzania yote haya tusingeyajua bila ya kuwepo CHADEMA, lakini wewe haya yote ya kuyajua madudu ya hii Serikali dhalimu si lolote si chochote!!!! Yaliyofanywa na sijui UNIP, KANU na mdudu gani mwingine hata siku moja hayawezi kuchukuliwa kama ndio yatafanywa na CHADEMA. Kuhusisha matendo ya vyama vingine na CHADEMA utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu!!!! Eti kwa sababu UNIP/KANU na mdudu gani mwingine walifanya hivi basi na CHADEMA wakiingia madarakani watafanya hivyo hivyo!!! Ulichoandika ni sawa na kusema kwa kuwa Mwalimu alipokuwa madarakani utendaji wake ulikuwa hivi basi utendaji wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete utakuwa kama wa Mwalimu.

Kweli unayosema. Ndio maana behaviour ya Chadema kwenye hili inatuumiza wengi. Tulitegemea wangekuwa bora kuliko walivyojionyesha. Kama Slaa anashindwa kufurukuta kwa Mbowe ataweza kweli kusimama kidete dhidi ya wenye nia mbovu atakapokuwa rais wa nchi hii? Ataweza kweli kuweka maisha ya mtanzania mbele ya matakwa ya chama chake? Tumeona yaliyotokea Kenya. Waliochukua nafasi ya KANU wakawa dhulumati kuliko KANU. Tumeona Zambia. Waliochukua nafasi ya UNIP walioza kuliko wakina Kaunda. Tumeona Zimbabwe. Kupata tu u-waziri mkuu jama akaanza kufanya matanuzi kuliko hata Mugabe! Tumeanza kuwa na wasiwasi kuwa hawa viongozi wa Chadema wa sasa hawana nia wala uwezo wa kumtoa mtanzania katika maisha mabovu aliyokuwa nayo sasa.

Amandla.......
 
Unachosahau ni kwamba tatizo la CHADEMA ni la huyo kirus msaliti mkubwa. Ukiondoa tatizo la huyo ndani ya CHADEMA hakuna tatizo jingine lolote na kuna mshikamano wa hali ya juu. Wewe unataka kulikuza swala la Kirus halina ukubwa wowote zaidi ya kukuzwa na MACCM kwa kutaka kuingilia mambo ya ndani ya CHADEMA. CUF walimfukuza Hamad Rashid na wenzake na MACCM hawakutoa hata mguno lakini hili la kirus mliyekuwa mnamtumia kuwaletea nyeti za CHADEMA mnataka kulikuza kuliko inavyostahili ili kutimiza nia yenu ya kuiyumbisha CHADEMA.

Hao Wazee MACCM wamefanya lipi la maana pamoja na kuwa madarakani miaka chungu nzima!? Uchumi hovyo hovyo, huduma muhimu kama maji, elimu, afya hovyo hovyo, ulinzi wa mali na maisha ya Watanzania hovyo hovyo, usafiri wa barabarani, majini na angani hovyo hovyo hakuna hata kimoja ambacho tunaweza kusema hiki kina ahueni. Sasa huo uwepo wenu madarakani kwa miaka chungu nzima umetunufaisha vipi Watanzania zaidi ya kuona madudu yale yale yanajirudia miaka nenda miaka rudi?

o

Ni wazi kwamba uongozi wa CCM na serikali yayo umejawa na matatizo mengi. Lakini pia CDM ambao hata serikali hawajaishikia wameanza matatizo kama tunayoshuhudia leo, wakishika dola itakuwaje? Mpaka sasa naona CDM bado wachanga kuongoza nchi kwa maana ya kupokea, kukubali na kukabiliana na changamoto mbalimbali. Suala la Zitto tu limekuwa hivi, uchumi wa nchi mtauongoza vipi?
 
Ningependa kumsikia CAG akilalamika na si Zitto Kabwe ambaye lengo lake peke ni kuonyesha kuwa Slaa na Mbowe wana mapungufu katika utendaji wao

Kwa nini hautaki Zitto alalamike wakati ni mwenyekiti wa PAC na ni raia wa nchi hii ambae kodi yake ni sehemu ya hiyo ruzuku?

Amandla....
 
Wanachadema hawaumizwi na lolote katika maamuzi ya CHADEMA ndio maana maamuzi yote ikiwemo la kumvua madaraka huyo msaliti na pia kumfukuza yana support kubwa sana miongoni mwa wanachama wa CDM, wanaoumia ni MACCM. Hayo uliyoyaandika hapa yote hayana ushahidi wowote zaidi ya speculation. Kama siyo CHADEMA madudu mengi yanayofanywa ndani ya Serikali kuanzia kuanzi ufisadi wa Rada, EPA, Richmond, Kagoda, Meremeta, Kiwira Coal Mining, Ukawapuzi wa nyumba za Serikali, mikataba ya rasilimali za Watanzania ambayo haina maslahi kwa Tanzania na Watanzania yote haya tusingeyajua bila ya kuwepo CHADEMA, lakini wewe haya yote ya kuyajua madudu ya hii Serikali dhalimu si lolote si chochote!!!! Yaliyofanywa na sijui UNIP, KANU na mdudu gani mwingine hata siku moja hayawezi kuchukuliwa kama ndio yatafanywa na CHADEMA. Kuhusisha matendo ya vyama vingine na CHADEMA utakuwa ni upumbavu wa hali ya juu!!!! Eti kwa sababu UNIP/KANU na mdudu gani mwingine walifanya hivi basi na CHADEMA wakiingia madarakani watafanya hivyo hivyo!!! Ulichoandika ni sawa na kusema kwa kuwa Mwalimu alipokuwa madarakani utendaji wake ulikuwa hivi basi utendaji wa Mwinyi, Mkapa na Kikwete utakuwa kama wa Mwalimu.

Hakuna anayekataa kuwa CHADEMA imefanya mema mengi. Christopher Mtikila ametoa mchango mkubwa sana katika siasa za nchi hii lakini haina maana kuwa anafaa kuwa rais wetu.

Wote hao niliowataja walifanya kama CHADEMA walipokuwa nje ya serikali. Watu walikuwa na matumaini kuwa watakuwa tofauti lakini walipoingia tu ikawa kama kazi.

Unfortunately, CHADEMA imeanza kutupa wasiwasi wengine kuwa hawatakuwa tofauti na CCM wakishika usukani.

Tutavuta subira mpaka atokee au kitokee chama kitakachotupa imani.Na kama CHADEMA kitashinda kama mnavyotaka basi nacho tutakiangalia kwa makini ili kisitupeleke tusikotaka kwenda.

Amandla.....
 
Unachosahau ni kwamba tatizo la CHADEMA ni la huyo kirus msaliti mkubwa. Ukiondoa tatizo la huyo ndani ya CHADEMA hakuna tatizo jingine lolote na kuna mshikamano wa hali ya juu. Wewe unataka kulikuza swala la Kirus halina ukubwa wowote zaidi ya kukuzwa na MACCM kwa kutaka kuingilia mambo ya ndani ya CHADEMA. CUF walimfukuza Hamad Rashid na wenzake na MACCM hawakutoa hata mguno lakini hili la kirus mliyekuwa mnamtumia kuwaletea nyeti za CHADEMA mnataka kulikuza kuliko inavyostahili ili kutimiza nia yenu ya kuiyumbisha CHADEMA.

Hao Wazee MACCM wamefanya lipi la maana pamoja na kuwa madarakani miaka chungu nzima!? Uchumi hovyo hovyo, huduma muhimu kama maji, elimu, afya hovyo hovyo, ulinzi wa mali na maisha ya Watanzania hovyo hovyo, usafiri wa barabarani, majini na angani hovyo hovyo hakuna hata kimoja ambacho tunaweza kusema hiki kina ahueni. Sasa huo uwepo wenu madarakani kwa miaka chungu nzima umetunufaisha vipi Watanzania zaidi ya kuona madudu yale yale yanajirudia miaka nenda miaka rudi?

Una uhakika/ushahidi kuwa huyo unayemwita kirusi anatumiwa na CCM? Mbowe, Slaa etc wao sio virusi?
 
Mmeishiwa kila siku mnatunga utumbo tu, hivi mnapoteza muda wenu kuitetea ccm ambayo hadi leo mmeshakufa mko mochwari mmebaki kwenda kuzikwa!!!!!!!!

Hovyo kabisa leteni hoja za maana. Kwanza mtoa hoja ushalipa bili ya umeme au huna habari kwamba serikali ya chama chako imekupandishia billi?
Hili la bill ya umeme nalo neno
 
JAMANI ANAYEGAWA AKILI NAOMBA AGAWE KWA USAWA KABISA< KUNA WATU WAMEPUNJWA KWA CHUKI AMBAZO HATUJUI ZIMEANZIA WAPI, CHAMA CHOCHOTE HATA SACCOS inaanzishwa na ndugu, maana ndo wako karibu, halafu polepole spectrum ina cut across, sasa kwanini mtu anahakili anahangaika na ndugu waliopo CDM, haoni hii plain truth ya vyama, yaani ndugu zake maalim wako CCM? au ndugu zake JK wako CDM??? tujiulize, mbona CCM familia za viongozi ndo ziko madarakni, Nape, John Mongela, David Matayo Msuya, Rz1 na mama yake, Anne Malecela, Mwelecela Malecela , Vita na Zawadi Kawawa, Januay Makamba, BOT kwa ujumla wake, Malima Jr, Husein na Aballah Mwinyi, Aman na Ally Karume, Ana Abdala na Msekwa, Sofia Smba na Kitwana Kondo, Mage na Samwel Sitta etc
 
Wenye wasiwasi ni MACCM tu ndio maana katika chaguzi nchini matokeo ya chaguzi hizo yameonyesha Watanzania walio wengi wakizidi kuikubali CHADEMA katika kiwango cha juu hadi MACCM kuanza kuchakachua matokeo ya uchaguzi katika majimbo mbali mbali kwa kushirikiana na kitengo chao cha uchaguzi wenyewe wanakiita Tume ya uchaguzi na vyombo vya dola. Kama Watanzania wangekuwa na wasiwasi basi na CHADEMA basi matokeo yangekuwa yanazidi kuwa mabaya chaguzi hadi chaguzi.

Hakuna anayekataa kuwa CHADEMA imefanya mema mengi. Christopher Mtikila ametoa mchango mkubwa sana katika siasa za nchi hii lakini haina maana kuwa anafaa kuwa rais wetu.

Wote hao niliowataja walifanya kama CHADEMA walipokuwa nje ya serikali. Watu walikuwa na matumaini kuwa watakuwa tofauti lakini walipoingia tu ikawa kama kazi.

Unfortunately, CHADEMA imeanza kutupa wasiwasi wengine kuwa hawatakuwa tofauti na CCM wakishika usukani.

Tutavuta subira mpaka atokee au kitokee chama kitakachotupa imani.Na kama CHADEMA kitashinda kama mnavyotaka basi nacho tutakiangalia kwa makini ili kisitupeleke tusikotaka kwenda.

Amandla.....
 
Viongozi wa juu wa CHADEMA ni watu makini mno kwenye maamuzi yao huwa hawakurupuki hata siku moja. Walifanya uchunguzi wa kina kabla ya kutangaza list ya Viongozi mafisadi ndani ya Serikali yakiwemo majina ya fisadi Mkapa, Kikwete na Lowassa na baadhi wakatishia kwenda mahakamani kwa kudai kwamba wamechafuliwa lakini hakuna hata mmoja katika list ile ya mafisadi aliyethubutu kufungua kesi dhidi ya CHADEMA maana walijua wangeadhirika. Na hili la Kirus pia uchunguzi wa kina ulifanyika kabla ya kufikia maamuzi yoyote. Ndio nina uhakika huyo kirus ni pandikizi la MACCM na anatumiwa na MACCM ili kuiyumbisha CHADEMA. Dr Slaa angekuwa kirus MACCM wasingemtegea vinasa sauti kule Dodoma alipokuwa bungeni na Mbowe wasingetaka kumuua katika mkutano kule Arusha kwa kumrushia bomu.

Una uhakika/ushahidi kuwa huyo unayemwita kirusi anatumiwa na CCM? Mbowe, Slaa etc wao sio virusi?
 
waziri mkuu wa kwanza kutoka kaskazini NI EDWARD SOKOINE wa pili ni CLEOPA DAVID MSUYA na wa tatu ni FREDRIC SUMAYE na wa nne ni EDWARD LOWASA sasa ahmed Rajab na hawa marais wote wa CCM kwa awamu zote 4 wanaupendeleo na watu wa kaskazini?maana aiwezekani TANZANIA tuna makabila zaidi ya 122 ILA MAWAZIRI WAKUU KWA AWAMU ZOTE WATOKE KASKAZINI,BABA yangu Ahamed Rajab fikiri tofauti
 
yaani nyie wahandishi wa habari mnaochochea udini na ukabila mshindwe kabisa hivi AHMED RAJAB mbona uyawahi kumtaja baba yake AGUSTINO RAMADHANI katika mchango wa mapinduzi ya Zanzibar
 
Rajab namheshimu sana kama great thinker wa kweli ila kwa hili sikubaliani naye kabisa, na haya ni maoni yangu kama alivyoyatoa yeye. Ninaamini katika demokrasia na ninafahamu nini maana ya demokrasia, lakini ninaona sio mara zote unaachia demokrasi kama kiongozi na kiongozi aliye bora ni lazima aangalie mazingira yakoje na kundi la watu wake likoje kabla ya kuachia demokrasia kutamalaki.
Tunasoma katika historia juu ya akina Stalin, akina Mao, akina Mousolin na tuliaminishwa kuwa walikuwa madikteta lakini mazingira ya wakati ule ya ushindani wa kisiasa na kiuchumi kati ya mataifa yalilazimu viongozi wawe hivyo kwani ilikuwa rahisi tu kuhujumiwa na taifa lingine kwa maslahi ya kiuchumi - hasa utafutaji wa rasilimali za dunia. Leo hi ukiziangalia China, Urusi zimeweza kujinasua katika ubabe wa MArekani kwa sababu ya kuhakikisha hawaachii demokrasia kiholela ambayo ingemuwezesha MArekani kupenyeza mamluki wake ambao wangetumika kuhujumu jitihada za Warusi na Wachina kusonga mbele kimaendeleo na hivyo kukwaza ushindani wa mataifa hayo kwa Marekani. NA sasa China imeanza kuachia demokrasia kidogo kidogo baada ya kuona mahali walipofikia kimaemdeleo MArekani haiwezi kuwa kitisho tena.
Kwa maana hiyo ninaona na uongozi wa CHADEMA unafuata mfano huo wa viongozi waanzilishi wa mataifa haya makubwa sasa. PAsipo kufanya hivyo kwa kipindi hiki cha mpito CCM mpinzani mkubwa wa CHADEMA ambayo haitapenda kuona Chadema ikisimama na kutoa upinzani wenye nguvu na kukipokonya madaraka ya kuongoza nchi. Chadema wakiachilia kiholela demokrasia wanaweza kujikuta wana mapandikizi wa CCM kama ilivyokuwa NCCR na hatimaye ikafa kama vinywa vya viongozi fulani wa CCM walivyokuwa wanajigamba kuwa Chadema ingekufa kabla ya 2014.
Tunaamini kuwa ili Chadema ikue na kufikia hatua ya kuiondoa madarkani CCM ni lazima kuachia demokrasia kidogo kidogo kwa kuwachunguza vilivyo wote wanaoutaka uongozi. Kwanini CCM ndio ipige kelele sana juu ya demokrasia ndani ya Chadema, wakati kwao hakuna demokrasia kama tulivyotegemea kwani tunaambiwa Uenyekiti ndani ya chama hiki hauogombaniwui na ye yote na hii ilimgharimu Shibuda wakati fulani - nadhani hapa Shibuda anaweza kutukumbusha yaliyomkuta alipoonyesha nia ya kugombea uenyekiti wa chama kitaifa.
Chadema mwendo ni huo huo watoto wa mjini wanasema ''mdogo mdogo''. Itakapofika wakati muafaka achieni demokrasia itamalki ndani ya Chama lakini kwa sasa ni lazima muwe makini sana.

akina Mao, Stalin na wote uliowataja na wao walikuwa bize na kesi za UZINZI? acha kujitoa akili dogo
 
Hakuna anayekataa kuwa CHADEMA imefanya mema mengi. Christopher Mtikila ametoa mchango mkubwa sana katika siasa za nchi hii lakini haina maana kuwa anafaa kuwa rais wetu.

Wote hao niliowataja walifanya kama CHADEMA walipokuwa nje ya serikali. Watu walikuwa na matumaini kuwa watakuwa tofauti lakini walipoingia tu ikawa kama kazi.

Unfortunately, CHADEMA imeanza kutupa wasiwasi wengine kuwa hawatakuwa tofauti na CCM wakishika usukani.

Tutavuta subira mpaka atokee au kitokee chama kitakachotupa imani.Na kama CHADEMA kitashinda kama mnavyotaka basi nacho tutakiangalia kwa makini ili kisitupeleke tusikotaka kwenda.

Amandla.....
cha umbulula cdm kwisha kabisa tusubiri tu mazishi

A
 
Unachosahau ni kwamba tatizo la CHADEMA ni la huyo kirus msaliti mkubwa. Ukiondoa tatizo la huyo ndani ya CHADEMA hakuna tatizo jingine lolote na kuna mshikamano wa hali ya juu. Wewe unataka kulikuza swala la Kirus halina ukubwa wowote zaidi ya kukuzwa na MACCM kwa kutaka kuingilia mambo ya ndani ya CHADEMA. CUF walimfukuza Hamad Rashid na wenzake na MACCM hawakutoa hata mguno lakini hili la kirus mliyekuwa mnamtumia kuwaletea nyeti za CHADEMA mnataka kulikuza kuliko inavyostahili ili kutimiza nia yenu ya kuiyumbisha CHADEMA.

Hao Wazee MACCM wamefanya lipi la maana pamoja na kuwa madarakani miaka chungu nzima!? Uchumi hovyo hovyo, huduma muhimu kama maji, elimu, afya hovyo hovyo, ulinzi wa mali na maisha ya Watanzania hovyo hovyo, usafiri wa barabarani, majini na angani hovyo hovyo hakuna hata kimoja ambacho tunaweza kusema hiki kina ahueni. Sasa huo uwepo wenu madarakani kwa miaka chungu nzima umetunufaisha vipi Watanzania zaidi ya kuona madudu yale yale yanajirudia miaka nenda miaka rudi?

Slaa yupo kwenye kesi ya mapenzi na kutelekeza familia-huyu ana uchungu gani na Taifa kama familia imemshinda? mbona upenzi umewaemelea mpaka mnapoteza akili? huyo Mbowe kamzalisha Matiko na juzi kashifa ya Dubai-anamkatisha ziara mbunge kwa ajili ya Uzinzi-huyu atakuwa na nguvu gan za kuitumikia jamii? at this infant stage, hawataki Uchaguzi wa Chama, Mapato na Matumizi ni habr ya watu wachache, M/kiti ndio kamati ya manunuzi-huyu si atataka manunuzi ya nchi afanye yeye na familia yake? acheni kujitoa akili-CDM hawajafikia hatua ya kuachiwa nchi
 
Back
Top Bottom