BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,331
There you go again with your daily cra-. MACCM miaka yote hii wamefanya nini cha maana kwa Tanzania na Watanzania!? Umeme hovyo, maji hovyo, elimu hovyo, usafiri hovyo, uchumi hovyo, ulinzi wa rasilimali za Watanzania hovyo, kipato cha Watanzania walio wengi hovyo. Haya si mambo yanayostahili hata siku moja MACCM kupewa ridhaa nyingine na Watanzania kubaki madarakani. Uongozi wa nchi umewashinda na upo ushahidi wa kutosha kabisa.
Slaa yupo kwenye kesi ya mapenzi na kutelekeza familia-huyu ana uchungu gani na Taifa kama familia imemshinda? mbona upenzi umewaemelea mpaka mnapoteza akili? huyo Mbowe kamzalisha Matiko na juzi kashifa ya Dubai-anamkatisha ziara mbunge kwa ajili ya Uzinzi-huyu atakuwa na nguvu gan za kuitumikia jamii? at this infant stage, hawataki Uchaguzi wa Chama, Mapato na Matumizi ni habr ya watu wachache, M/kiti ndio kamati ya manunuzi-huyu si atataka manunuzi ya nchi afanye yeye na familia yake? acheni kujitoa akili-CDM hawajafikia hatua ya kuachiwa nchi