Mimi ningewashangaa sana viongozi wa Chadema kujadilia hoja za clandestine waraka wakati chama kina taratibu zake za kujadilia masuala. Hata Zitto na Kitila hawakutaka hoja zao zijadiliwe. Walitaka zifanyiwe kazi clandestinely kwa kuwanunua wafuasi mikoani. Huu ni mchezo wa CCM. Tusiupe nafasi ndani ya Chadema.
utaratibu ukoje?? ebu weka vifungu vya katiba vinavyoruhusu hivyo
chama gani kuanzia chacha wangwe kuna tuhuma za ubadhirifu, upendeleo na kutokuwa active kwenye higher politics kwa lengo la kuiondoa ccm?? ule waraka umeusoma?? umechukua kitu gani??
wewe Jasusi, kuna siku umehoji ubadhirifu wa mbowe?? nipe any post plz
kama hujafanya hivyo jua wewe ni mnafiki, na kinachokusumbua juu ya zitto ni wivu na chuk binafsi.
hivi unatofauti gani na mwana CCM anayempenda kikwete sana?? au anayempenda Nape na Mwigulu regardless their scandals and weakness?? ebu nipe tofauti>>>>
walewale
hili swala la zitto limewanajisisha wengi sana