MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,952
- 10,510
sasa bado mbowe na slaa wafukuzwe na chadema
mpaka atakavyofukuzwa CCM fisadi LOWASA ndo labda iwe unavofikiria
sasa bado mbowe na slaa wafukuzwe na chadema
Mrema na Zitto wanamatch sana
Vunjo hatumtaki hata aje kivingine sisi ni Ukawa kwa kwenda mbele.magamba na vizazi vyake tupa hukohakawii kusema ni njama za mbatia!!!!!!!
Kumbe Mrema naye ni Msaliti!
Nyie ndo mnaliwa kila hamkos kuitaja chadema, semen kama mna wadudu macha wanatekenya hapo nyuma kwako, na mwaka huu mtaliwa balaa maana vihere here vimewazi kama mke wa baloz wa ccm, nakuuliza ww gasho Mbowe anahusikaje na mtu anaekaribia kufa?
Kila ulimi utakiri usipoitaja CHADEMA nisawa na kukosa uzima wa milele maana hatakama habari aiusiani wewe lazima utaje.
Mrema kwa kuwa anavaa kibaragashea nadhani akija kwenye chama chetu cha Kigoma tutambadilishia kabira tu awe mbembe au muha atakula bata kama afande Sere na Kaijage
Wamtimue tu, maana yule mzee akili zake anazijua mwenyewe sijui hata wanaomchagua huwa wanawaza nini.
Hili ni juha tena janajike halina hata uwezo wa kutumia akili. Limewekwa hapa Mtandaoni kuropoka against CHADEMA na kupalilia ccm kwa malipo. Akili zake hazifanyi kazi ila huwa lilnarumia maneno ya kuiga kwa watu wengine ili liongeza kura ya "Ndiyoo", kama
alivyokuwa Asha Bakari na wabunge wa ccm MBK.
Achana nalo mkuu lisikupotezeee muda!
mbona zitto humsemi au kwa kuwa ni mungu wenu?mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na chadema imvue uanachama mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Habar ya Mrema na Mboye anahusika nn hapo, yaan nyie watoto wa Lumumba huwa mnawashwaga huku nyuma kuna kidudu mtu kinakutekenya nn unataka kuliwa liwa tu.