Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Vyama vya upinzani ni sawa na comedy.
Wakuu gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa eti Mh.Mrema ametimuliwa katika chama lake la TLP.
Mtanzania limeandika kuwa,akiongea na gazeti Mwenyekiti wa kamati ya Maridhiano TLP Bwn.Kinanda amesema kamati ya maridhiano imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha na ukiukwaji wa taratibu za kuendesha chama.
Mh.Mrema ni mmoja kati ya waliovuliwa uanachama wa TLP.
Pia Tanzania Daima imeripoti Hivyo.
Ina maana hata aya.tolah mmiliki wa ACT ni msanii?
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi
Wakuu gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa eti Mh.Mrema ametimuliwa katika chama lake la TLP.
Mtanzania limeandika kuwa,akiongea na gazeti Mwenyekiti wa kamati ya Maridhiano TLP Bwn.Kinanda amesema kamati ya maridhiano imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha na ukiukwaji wa taratibu za kuendesha chama.
Mh.Mrema ni mmoja kati ya waliovuliwa uanachama wa TLP.
Pia Tanzania Daima imeripoti Hivyo.
CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi
--------- ndio mmiliki wa Chama. Majukumu yote kajipa yeye.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Huna aman moyon bila kuitaja cdm
Tanzania hakuna vyama vya upinzani kabisa. Kuna vyama vya watu binafsi, mfano mzuri ni chadema na TLP.
Wewe njaa itakupelekea kuvuliwa pichu na wakijani
umeamka salama lakini?Hivi hamuoni aibu kuwa kwenye vyama vya watu binafsi.........
Karibuni CCM chama tawala mjifunze siasa!!