Agustino Mrema atimuliwa TLP

Agustino Mrema atimuliwa TLP

...lazima atimuliwe maana hazingatii taratibu za chama, muda wa ruzuku umeisha so hana thamanj tena, hana ubavu wa kurudi bungeni tena . sasa in mzigo tu anafaa kwa kutimukiwa....
 
ahahah Mbatia kweli umeamua kummaliza mwinzio hivihivi? Yesuuu!
 
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.

Hv ww mbowe alikuchukulia mke mbona kila post yako bila kumtaja mbowe una kuwa haujalizika.
 
Hivi hamuoni aibu kuwa kwenye vyama vya watu binafsi.........

Karibuni CCM chama tawala mjifunze siasa!!
Mbona kuna taarifa kuwa hicho ni chama cha yule aliyekuwa mbunge wa jumbo moja kule Tabora mkaja kumwita gamba akakaa pembeni. Ila yeye ndie anachagua kio gozi
 
Last edited by a moderator:
Hoja Ni Mrema lakini naona kila mtui ni Mbowe na Chadema hahahahhaa aiseee inawanyima raha kabisaaaaaa
 
CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi
Kijani ni mali ya nani? Baba mbunge, waziri... mama mbunge wa kuteuliwa na wazili, mtoto mjumbe wa NEC, binti katibu wa UVkijani!!! angalia nyumbani kwako kwanza kabla ya kuangalia yanayotokea kwa jirani...
 
Dah siasa bwana! Ndio watamuua mzee wa watu na presha.
 
sasa bado mbowe na slaa wafukuzwe na chadema
 
Hili ni juha tena janajike halina hata uwezo wa kutumia akili. Limewekwa hapa Mtandaoni kuropoka against CHADEMA na kupalilia ccm kwa malipo. Akili zake hazifanyi kazi ila huwa lilnarumia maneno ya kuiga kwa watu wengine ili liongeza kura ya "Ndiyoo", kama alivyokuwa Asha Bakari na wabunge wa ccm MBK.

Achana nalo mkuu lisikupotezeee muda!


Hv ww mbowe alikuchukulia mke mbona kila post yako bila kumtaja mbowe una kuwa haujalizika.
 
mremaWAKO.jpg

alivokuwa 2000 na sasa alivyo - 2015
 
Back
Top Bottom