hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
jogoo hawiki tena
Siyo mbaya akaungana na wazalendo (Zitto).
Mkuu msalani mrema hawezi kujiunga cdm kwa kuwa cdm ni chama cha upinzani.Kwakuwa ni Mchaga, anafaa kuwa CHADEMA.
Jamani fanyeni utafiti kabla hamjakirupuka, katiba Ya Tlp 2009 ibara 9.5 (c) kukOma uanachama akiwa raia za Nje. Mtu mwenye akili timamu unaweza kusema Mrema sio Mtanzania. WOTE mliochangia humu ndani WOTE mbuzi
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Mbona unaisifia ACT ya Zitto?Vyama vya upinzani ni sawa na comedy.
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Mkuu mbona huyu sasa hivi tunamtambua kama Mr Bean wa JF
Jamani fanyeni utafiti kabla hamjakirupuka, katiba Ya Tlp 2009 ibara 9.5 (c) kukOma uanachama akiwa raia za Nje. Mtu mwenye akili timamu unaweza kusema Mrema sio Mtanzania. WOTE mliochangia humu ndani WOTE mbuzi
Mbona unaisifia ACT ya Zitto?
'raia za nje' ni kitu gani hicho nadhai wewe ndio mbuzi wa ukweli?
Duh!! Hujaacha tu majungu? Nakumbuka walikusuta ulipong'ang'ania Mengi kaoa mjukuu wake kaoa mjukuu wake nikadhani wanakuonea kumbe unapenda majungu pole.chadema college:chuo cha matusi tanzania.kipo maeneo ya ufipa.
nyote mnakaribishwa.
Mwaka huu mpaka mpate mapacha kudadadeki.CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi