Agustino Mrema atimuliwa TLP

Agustino Mrema atimuliwa TLP

Mrema ni Mwenyekiti mwadilifu kuliko mbowe anayetumbua maisha na ruzuku ya chadema Dubai na joyce mukya anatakiwa avuliwe na yeye.
 
Namwomba M/kiti wa taifa ccm amkumbuke sasa hivi kumpa kale ka pension kake anako lilia hivyo jamani. Lakini pia napinga kumwondolea uanachama wake TLP kwa sababu bado siku chache tu jamani alipwe kiinua mgongo cha bunge. Si unajua tena, yeye si kama zzk, Mrema ni mwaminifu sana kwa ccm, ulimwona alivyoitetea ile katiba Bambikizwa kwa nguvu zote, uliona alivyo tamani JK aongezewe kidogo siku za kutawala angalao naye aendelee kulamba sukari ya ubunge.
Hao walioona aondolewe TLP ni wauaji tena washitakiwe kwani Mrema ni mgonjwa wa Kisukari na BP hivyo kumpa mawazo ni kumsukumia kifoni. Akifa ghafla kwa shinikizo la damu mtashaa nyinyi. Ohooo. Sorry, nlikuwa nawaza tu
 
Huyu mzee mrema ni mgonjwa au akili zimeruka?
 
Namwomba M/kiti wa taifa ccm amkumbuke sasa hivi kumpa kale ka pension kake anako lilia hivyo jamani. Lakini pia napinga kumwondolea uanachama wake TLP kwa sababu bado siku chache tu jamani alipwe kiinua mgongo cha bunge. Si unajua tena, yeye si kama zzk, Mrema ni mwaminifu sana kwa ccm, ulimwona alivyoitetea ile katiba Bambikizwa kwa nguvu zote, uliona alivyo tamani JK aongezewe kidogo siku za kutawala angalao naye aendelee kulamba sukari ya ubunge.
Hao walioona aondolewe TLP ni wauaji tena washitakiwe kwani Mrema ni mgonjwa wa Kisukari na BP hivyo kumpa mawazo ni kumsukumia kifoni. Akifa ghafla kwa shinikizo la damu mtashaa nyinyi. Ohooo. Sorry, nlikuwa nawaza tu

Kwani ukisema NGOMA!
 
Duh ila si inawezekana wao kumtimua Mh Mrema uanachama kama chadema walivyofanya kwa zitto kabwe
 
Kwani ukisema NGOMA!


impongo;
Yaani weye ndo unataka afwe kabisa kabla ya kuzipokea hizo pesa zake za kiinua mgongo. Kama aliingia ITV na vyeti vyake mpaka vya India kuonyesha hana NGOMA sasa unanidanganya nimtangaze humu jf?? Hujui yule ni shushushu? Nakwambia atakufa na weye, Ohoooo!
Msee wangu Muhishimiu Mrema siyo mimi labda huyu jamaa kasema unachesa ngoma ya Kichakka kapisa msee sio ukonjwa atii. Pole zako mzee
 
Hivi huyu Mbatia naye alichaguliwa na Mh Rais kuwa mbunge viti maalum eti alafu pale Vunjo anaenda kuongea na wananchi kama nani eti jamani Mh spika tusaidiane mawazo. Ananiuzi kweli eti dah..
 
Safari hii ccm lazima wazae!Hizi kelele za Mbowe,Mbowe kila baada ya dk 5 ni dalilil ya uchungu! na wakichelewa kuzaa wanapelekwa theatre

VP kuhusu kelele za Zitto kila sekunde,dalili za nini
 
siyo mbaya akaungana na wazalendo (zitto).


ni kweli mrema ata fiti sana act juzi anamuomba kikwete ajiongezee muda kutawala asifanye uchaguzi kumbe anajua ndio nitolee ubunge uko mikononi mwa mbatia kachizika sana huyu mzee
 
Back
Top Bottom