Agustino Mrema atimuliwa TLP

Agustino Mrema atimuliwa TLP

Naitakavyokuwa ACT Wazalendo kwa Zitto habari ndio hiyo.

Mrema TLP sio tuu ni chama chake, pia ni mali yake!. Alikinunua kwa Lwekamwa!. Huwezi kufukuzwa kwenye chama chako!.Mrema ni life president of TLP!.
Kama ilivyo kwa chama cha UDP ni mali ya John Cheyo, hivyo Cheyo ni life president of UDP!.

Pasco
 
Mtanzania, Tanzania Daima hayaaminiki sana, tungoje uthibitisho mwingine,, hata hivyo Mrema siasa imeshamchoka kitambo!

Tuyaamini magazet yapi mkuu pls tujuze ili tukayanunue tusome kilicho andikwa juu ya chama chetu pendwa TLP
 
... Mrema ni mmiliki wa TLP kama ambavyo ZZK the supreme Leader and owner of Association of Criminals in Tanzania ...
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.

Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
 
Wanavunjo walimpenda lakini uzee ulimpenda zaidi.....................
 
Mrema na Zitto wote ni Mamluki wa CCM wenye kutekeleza TOR za CCM... Wote wanalipwa na CCM!!! Tofauti ni kuwa Mrema anazeeka sasa na ZZK anachukua nafasi yake ya kudhoofisha Upinzani nchini ...
ZITO na MREMA hawanatofauti katika siasa na matendo.labda umri tu ndo tofauti.
 
Mbona kuna taarifa kuwa hicho ni chama cha yule aliyekuwa mbunge wa jumbo moja kule Tabora mkaja kumwita gamba akakaa pembeni. Ila yeye ndie anachagua kio gozi

Kweli nakubali ccm mnajua siasa ndio maana unakuta kwenye familia baba ni Raisi, mtoto na mjumbe wa nec na mbunge wa jimbo alilokuwa baba mbunge na mama mjumbe wa nec. Demokrasia hoyee kwenye chama tawala!!!
 
mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo mbowe, hawezi kufukuzwa.

Ni sawa na chadema imvue uanachama mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.

iq yako ni 0000
 
CCM HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE:A S thumbs_down::A S thumbs_down::A S thumbs_down:
 
Mrema baba we we ni TLP uchwara nenda zako CCM au tawi lake ACT-ZITTO msaliti
 
CHADEMA ni mali ya MBOWE na ukoo wa ndesa, hata kabla ya uchaguzi mkuu , familia imeshateua wabunge wa viti maalumu toka kwenye ukoo, piga wale ndugu, wake na wenye ukoo na wenye kuimiliki CHADEMA lazima watakuwa wabunge wa viti maalumu chadema mwaka huu baada ya uchaguzi
Sasa wewe kinakuuma nini?
 
Mrema kwa kuwa anavaa kibaragashea nadhani akija kwenye chama chetu cha Kigoma tutambadilishia kabira tu awe mbembe au muha atakula bata kama afande Sere na Kaijage
Teeeh,teeeh,teeeh,mkuu mimi najitolea kupika mapipa mawili ya KAYOGA siku ya kumkaribisha act mh mrema,nipo hapa kakonko sokoni
 
ACT imepiga mwanachama

QUOTE=OKW BOBAN SUNZU;12660404]Wakuu gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa eti Mh.Mrema ametimuliwa katika chama lake la TLP.

Mtanzania limeandika kuwa,akiongea na gazeti Mwenyekiti wa kamati ya Maridhiano TLP Bwn.Kinanda amesema kamati ya maridhiano imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha na ukiukwaji wa taratibu za kuendesha chama.

Mh.Mrema ni mmoja kati ya waliovuliwa uanachama wa TLP.

Pia Tanzania Daima imeripoti Hivyo.

==========================


Chanzo: Mtanzania
[/QUOTE]
 
Hajaweka pingamizi mahakamani?
Jamani fanyeni utafiti kabla hamjakirupuka, katiba Ya Tlp 2009 ibara 9.5 (c) kukOma uanachama akiwa raia za Nje. Mtu mwenye akili timamu unaweza kusema Mrema sio Mtanzania. WOTE mliochangia humu ndani WOTE mbuzi
 
Back
Top Bottom