Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,535
Unazungumzia kitu ambacho kichatokea na wameshaenda extra mile. sasa hivi anatembea kajifutika kigunzi.!
Jamiiforum Raha sana. nimecheka hadi mbavu zinauma. Jamani mweeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!.
Unazungumzia kitu ambacho kichatokea na wameshaenda extra mile. sasa hivi anatembea kajifutika kigunzi.!
Kila ulimi utakiri usipoitaja CHADEMA nisawa na kukosa uzima wa milele maana hatakama habari aiusiani wewe lazima utaje.
Duh!! Hujaacha tu majungu? Nakumbuka walikusuta ulipong'ang'ania Mengi kaoa mjukuu wake kaoa mjukuu wake nikadhani wanakuonea kumbe unapenda majungu pole.
Duh!! Hujaacha tu majungu? Nakumbuka walikusuta ulipong'ang'ania Mengi kaoa mjukuu wake kaoa mjukuu wake nikadhani wanakuonea kumbe unapenda majungu pole.
Ni comments kama zako zinanifanya niendelee kuamini CDM ndo chama chenye upinzani na ushindani wa kweli hapa Tanzania,Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Soma Uhuru ndio inaaminika mkuu
Wakuu gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa eti Mh.Mrema ametimuliwa katika chama lake la TLP.
Mtanzania limeandika kuwa,akiongea na gazeti Mwenyekiti wa kamati ya Maridhiano TLP Bwn.Kinanda amesema kamati ya maridhiano imefikia hatua hiyo baada ya kujiridhisha na ukiukwaji wa taratibu za kuendesha chama.
Mh.Mrema ni mmoja kati ya waliovuliwa uanachama wa TLP.
Pia Tanzania Daima imeripoti Hivyo.
==========================
https://scontent-lhr.xx.fbcdn.net/h...=fb366a1423d484d3c10128d34dff0cda&oe=55E2B5DD
Chanzo: Mtanzania
Naomba kupata uhakika wa taarifa hizi wakuu.....nimeisikia kwa uchache sana na sijajua haswaa kilichotokea ndani ya chama hicho.
Asanteni.
Si kweli.
Nn haswa kilichotokea? Na nn chanzo cha hzi taarifa mkuu?
Amesha jichokea huyo mzee muacheni arudi kwao mambo ya siasa ya mekwisha.
Hana sera amekuwa mtetezi wa chama chetu CCM bado kuchukua kadi tu.
Siasa sio mchezo hata Mbowe Slaa wote watarudi chama kikubwa chenye watu walo soma na wanajielewa sio kama wapinzani huyu Mzee ameanza kusoma alama zanyakati bado Mbowe na Slaa
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.
Amesha jichokea huyo mzee muacheni arudi kwao mambo ya siasa ya mekwisha.
Hana sera amekuwa mtetezi wa chama chetu CCM bado kuchukua kadi tu.
Siasa sio mchezo hata Mbowe Slaa wote watarudi chama kikubwa chenye watu walo soma na wanajielewa sio kama wapinzani huyu Mzee ameanza kusoma alama zanyakati bado Mbowe na Slaa
Mrema ni mmiliki wa chama kama alivyo Mbowe, hawezi kufukuzwa.
Ni sawa na Chadema imvue uanachama Mbowe kwa kukibadilisha kinyemela kifungu cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama. Ni kitu kisichowezekana.