Habari wana jf,
Nimepata chimbo la kupata vioo original vya samsung kutoka China,, nakuagizia ndani ya siku 14 za kazi unapokea mzigo wako kwa bei nzuri kabisa..
Nicheki whatsapp 0657940974
S7 edge unapata kwa 290,000S7 edge kioo chake bei gani?
Samsung galaxy S9+ unapata kwa 250,000Ukianza kujibu comment nipe na bei ya kioo s9+
Hautajutia kuagiza nami mana vitu vingi nimeagiza kutoka uko na viko imara na ninavitumia kwa muda mrefu..ziite fake mzee, spare parts za samsung hazitoki China
A50 unaipata kwa 100,000Weka bei zake..
A50 je?
Hamna hiyo kitu.Samsung original kutoka Korea au china?
jipe moyoHautajutia kuagiza nami mana vitu vingi nimeagiza kutoka uko na viko imara na ninavitumia kwa muda mrefu..
Wewe ndio unazingua...uliamini zinatoka China kweli?Mtoa mada unazingua, bei unazotoa hata KKOO ziko chini ya hapo.