- Thread starter
- #61
mama yako ndiye mtamu, wewe huwezi kumjua , maana ww ni mtoto wake labda kama umetenda incestrySawa mke wangu mtam
mama yako ndiye mtamu, wewe huwezi kumjua , maana ww ni mtoto wake labda kama umetenda incestrySawa mke wangu mtam
Kwa hiyo mkuu unalalamikia hadi mchango wa msosi? Mbona haya masuala ya vyakula huwa yanaamuliwa kwenye vikao vya uongozi wa shule na wazazi? Au huko kwenu waliibuka tu?Hili hata mkoa wa pwani lipo,shule ya msingi misugusugu ushahidi wangu wa kwanza,ongezea na mchango wa msosi
Hakuna kitu sipendi Kama mtoto kushinda shule na kurudi nyumbani saa 12,Kisha kila jumamosi mitihaniKwa hiyo mkuu unalalamikia hadi mchango wa msosi? Mbona haya masuala ya vyakula huwa yanaamuliwa kwenye vikao vya uongozi wa shule na wazazi? Au huko kwenu waliibuka tu?
Hii IPO kwenye manispaa zote walimu wa shule za msingi Wana ukwasi kuliko za sekondari1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.
2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?
4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.
OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.
2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?
4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.
OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Pamoja na mambo yote lakini mtoto anatakiwa apate muda wa kupumzisha mwili na akili. Ashiriki kufanya kazi za nyumbani hata kwakiasi kidogo sana.
Ukitazama hao wanao wasaidia wanafunzi muda wa ziada(WENGI WAO) wanalenga hela kwahiyo kama hamna hela huduma haipo.
Maisha yanataka kwenda kwa kazi na kupumzika. Mtatia watoto
Wazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.
2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?
3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?
4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.
OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Stop that unsubstantiated statements! Kwa shule zipi? shule darasa lina watoto 200 kuna uangalizi hapo? Kuna kusoma hapo? Unaleta mzaha kenye maisha ya watotoWazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!
Watoto wa siku hizi hawahitaji hata kanafasi kanachokosa uangalizi wa maana na usimamizi.
Akirudi mapema nyumbani na kukosa uangalizi wa michezo ya hapo nyumbani hatari sana kuliko unavyofikiria.
SHULE NI SOCIAL ORGANIZATION KUBWA AMBAPO KILA KITU KWA MTOTO ANAKIPATA kwani hata michezo ipo na inakuwa na uangalizi bora kutoka kwa walimu.
Kipi bora kwa mtazamo wako!Stop that unsubstantiated statements! Kwa shule zipi? shule darasa lina watoto 200 kuna uangalizi hapo? Kuna kusoma hapo? Unaleta mzaha kenye maisha ya watoto
Mtot anayesoma darasa la watu 200, nyumbani hakuna shamba boy! shamba boy ni kwa matajiri watoto wao hawaendi huko1Kipi bora kwa mtazamo wako!
Ni bora hilo darasa lenye watoto 200 lenye uangalizi wa huyo mwalimu mmoja kuliko atoke mapema ili akalindwe na shamba boy.
Hakika wewe ni fala sana.Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.
Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
Haya yote yana sababishwa na wazazi pindi watoto wanapo feli. Pili ni makaripio ya viongozi wa juu wa elimu kwa waliopo chini Yao. Kwa ujumla viongozi hadi walimu wamekuwa wakifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa iwapo matokeo ya mkoa au wilaya yako ni mabovu. Walimu nao wamekuwa wakiambiwa watahamishiwa vijijini km hawatafaulisha (utadhani wao ndiyo wanafanya mitihani). Ndio maana liliibuka suala la makambi kwa darasa 4 na kidato cha 4. Kitu ambacho utekelezaji wake basi tu.Kuna shule inaitwa Diamond na mwenzie Olympio. Hawa jamaa mpaka jumapili watoto wa darasa la saba wanakwenda shule na wasipoenda walimu wanapiga kama wanapiga mwizi. Ukihoji kama mzazi unaambiwa ndio tushapanga kama shule.
Serikali kuna haja wakaja na kauli moja kuhusu swala la elimu na masaa ya masomo. Tunakoelekea watoto watakuwa hawapati hata muda wa kulala.
Hata kama iweje lakini sio kama muda wrote niwakusomatu.Wazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!
Watoto wa siku hizi hawahitaji hata kanafasi kanachokosa uangalizi wa maana na usimamizi.
Akirudi mapema nyumbani na kukosa uangalizi wa michezo ya hapo nyumbani hatari sana kuliko unavyofikiria.
SHULE NI SOCIAL ORGANIZATION KUBWA AMBAPO KILA KITU KWA MTOTO ANAKIPATA kwani hata michezo ipo na inakuwa na uangalizi bora kutoka kwa walimu.
ASANTE SANA UBARIKIWE.Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.
Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
Kuna kitu hakiko sawa sehemu, serikali kwa sasa ni kama imeamua acha liwalo na liwehili jambo huwa naliwaza na kulisema kila siku. Nimesoma msingi miaka ya 90. Tuliingia shule saa 2 mpaka saa 8 na hii ilikuwa ni Jumatatu mpaka Ijumaa, darasa la kwanza mpaka la saba.
Sasa najiuliza leo wanafundishwa nini cha ziada kiasi kuwekwa mashule mpaka saa 1 usiku, Jumapili wanakwenda shule pia. Matokeo yakitoka na uoza ule ule.
Walimu ndo wanafundisha wanaelewa changamoto za watoto wanapojifunza kama hutaki mtoto wako afundishwe muda wa ziada wasiliana nao watamruhusu mapema arudi nyumbani apumzike kama unavyotaka usitafute justification kuharibu mipango mizuri ya walimu kwa hawa watoto.Wewe acha hizo mambo! Nadhani kila mtu hapa amesoma, hamna cha kusaidia wala cha rafiki yake na kusaidia, mtoto anatakiwa kupumzika siyo kila mara anasoma, we angalia ule muda rasmi tu wa wanafunzi kuwa shuleni yaani saa mbili hadi saa tisa na nusu, unakuta wanafunzi wengi wamepiga usingizi, sasa uje uwasomeshe mpaka saa 12 jioni kuna wa kuelewa hapo!! Acheni utani
Kuna Shule moja mpaka mwalimu aliona Kuna kelele hizohizo akawa anawatangazia wale ambao wanaitaji kusoma muda wa ziada anawafundisha muda huo na hao wengine walikua wanakatazwa na wazazi wao aliachana nao wabaki na wazazi Hakua hata na muda wa kuwafatiliaWalimu ndo wanafundisha wanaelewa changamoto za watoto wanapojifunza kama hutaki mtoto wako afundishwe muda wa ziada wasiliana nao watamruhusu mapema arudi nyumbani apumzike kama unavyotaka usitafute justification kuharibu mipango mizuri ya walimu kwa hawa watoto.