Afisa Elimu Jiji La Tanga, wazazi tunaomba ufafanuzi wa hii michango ya fedha

Hili hata mkoa wa pwani lipo,shule ya msingi misugusugu ushahidi wangu wa kwanza,ongezea na mchango wa msosi
Kwa hiyo mkuu unalalamikia hadi mchango wa msosi? Mbona haya masuala ya vyakula huwa yanaamuliwa kwenye vikao vya uongozi wa shule na wazazi? Au huko kwenu waliibuka tu?
 
Kwa hiyo mkuu unalalamikia hadi mchango wa msosi? Mbona haya masuala ya vyakula huwa yanaamuliwa kwenye vikao vya uongozi wa shule na wazazi? Au huko kwenu waliibuka tu?
Hakuna kitu sipendi Kama mtoto kushinda shule na kurudi nyumbani saa 12,Kisha kila jumamosi mitihani
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Hii IPO kwenye manispaa zote walimu wa shule za msingi Wana ukwasi kuliko za sekondari
 
1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.


 
Mitoto ya siku hizi imekalia season tu basi bora muda mwingi ibanwe na ratiba nyingi za shuleni siku nzima ili irudipo majumbani iwe hoi ni kula na kupumzikia njozini
 
Pamoja na mambo yote lakini mtoto anatakiwa apate muda wa kupumzisha mwili na akili. Ashiriki kufanya kazi za nyumbani hata kwakiasi kidogo sana.

Ukitazama hao wanao wasaidia wanafunzi muda wa ziada(WENGI WAO) wanalenga hela kwahiyo kama hamna hela huduma haipo.

Maisha yanataka kwenda kwa kazi na kupumzika. Mtatia watoto

1. Kila asubuhi watoto eti wanafanya mitihani. Mtoto anawajibika kuripoti shuleni saa 12 asubuhi na kuanza mtihani saa 12.30 asubuhi. Ada shiling 200 kila asubuhi.

2. Jumamosi mtihani. Toka saa 1 mpaka saa 7 mchana. Ada ya mtihani shilingi 1,200. Hii ndiyo utaratibu kutoka ofisini kwako? Au ni invention ya walimu kwamba kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake?

3. Mtoto anarudi saa 11 jioni. na break ya saa nne ni kama haipo maana wanapewa dakika 5 kwenda kujisaidia. Shule inafungwa saa ngapi?

4. Wazazi tujue shule inafungwa saa ngapi tuweze kuwafuatilia watoto vema kama wanafika nyumbani inavyotakiwa.

OMBI: Waacheni watoto Jumamosi wapumzike na kuwasaidia wazazi.
Wazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!
Watoto wa siku hizi hawahitaji hata kanafasi kanachokosa uangalizi wa maana na usimamizi.
Akirudi mapema nyumbani na kukosa uangalizi wa michezo ya hapo nyumbani hatari sana kuliko unavyofikiria.
SHULE NI SOCIAL ORGANIZATION KUBWA AMBAPO KILA KITU KWA MTOTO ANAKIPATA kwani hata michezo ipo na inakuwa na uangalizi bora kutoka kwa walimu.
 
Wazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!
Watoto wa siku hizi hawahitaji hata kanafasi kanachokosa uangalizi wa maana na usimamizi.
Akirudi mapema nyumbani na kukosa uangalizi wa michezo ya hapo nyumbani hatari sana kuliko unavyofikiria.
SHULE NI SOCIAL ORGANIZATION KUBWA AMBAPO KILA KITU KWA MTOTO ANAKIPATA kwani hata michezo ipo na inakuwa na uangalizi bora kutoka kwa walimu.
Stop that unsubstantiated statements! Kwa shule zipi? shule darasa lina watoto 200 kuna uangalizi hapo? Kuna kusoma hapo? Unaleta mzaha kenye maisha ya watoto
 
Stop that unsubstantiated statements! Kwa shule zipi? shule darasa lina watoto 200 kuna uangalizi hapo? Kuna kusoma hapo? Unaleta mzaha kenye maisha ya watoto
Kipi bora kwa mtazamo wako!
Ni bora hilo darasa lenye watoto 200 lenye uangalizi wa huyo mwalimu mmoja kuliko atoke mapema ili akalindwe na shamba boy.
 
Kipi bora kwa mtazamo wako!
Ni bora hilo darasa lenye watoto 200 lenye uangalizi wa huyo mwalimu mmoja kuliko atoke mapema ili akalindwe na shamba boy.
Mtot anayesoma darasa la watu 200, nyumbani hakuna shamba boy! shamba boy ni kwa matajiri watoto wao hawaendi huko1
 
Wazazi acheni lawama, mia 200 kwa mwezi ni elf 6 ukitoa weekends haifiki hata elf 5 kwa mwezi, kama unamjali mtoto unalia Lia elf 5 je vitabu mnanunua kweli???

Unapata kishipa mwalimu akipata hivo vi mia mbili mbili ilhali mtoto wako anapata msaada wa kuchangamsha akili kwa Kukutana na maswali Kila siku

Wakifeli mnawalaumu walimu, stupid!
 
Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.

Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
Hakika wewe ni fala sana.
Inaelekea huna elimu yoyote ktk bichwa lako.
Shule kama hiyo na zingine za namna hiyo hakuna elimu yoyote wanayopata watoto hapo. Ni mateso na kukonda tu.
Sana sana wanakaririshwa maswali tu. Baada ya miezi 2 au 3 Kila kitu hakuna kichwani.
Walioweka mapumziko ya likizo Kwa ajili ya mtoto walikuwa na akili sanaaaa .
 
Kuna shule inaitwa Diamond na mwenzie Olympio. Hawa jamaa mpaka jumapili watoto wa darasa la saba wanakwenda shule na wasipoenda walimu wanapiga kama wanapiga mwizi. Ukihoji kama mzazi unaambiwa ndio tushapanga kama shule.

Serikali kuna haja wakaja na kauli moja kuhusu swala la elimu na masaa ya masomo. Tunakoelekea watoto watakuwa hawapati hata muda wa kulala.
Haya yote yana sababishwa na wazazi pindi watoto wanapo feli. Pili ni makaripio ya viongozi wa juu wa elimu kwa waliopo chini Yao. Kwa ujumla viongozi hadi walimu wamekuwa wakifanya kazi kwa hofu ya kutumbuliwa iwapo matokeo ya mkoa au wilaya yako ni mabovu. Walimu nao wamekuwa wakiambiwa watahamishiwa vijijini km hawatafaulisha (utadhani wao ndiyo wanafanya mitihani). Ndio maana liliibuka suala la makambi kwa darasa 4 na kidato cha 4. Kitu ambacho utekelezaji wake basi tu.

Ila sisi wazazi nao vigeugeu, wanafunzi wakifeli maneno, wakifaulu sana eti mitihani ya siku hizi mirahisi sana wanafunzi wanakaririshwa tu lakini uwezo mdogo. Walimu wakitumia njia za kivita kufaulisha wazazi wanasema eti wanafunzi wananyanyasika. Sasa Walimu washike lipi. Acheni Walimu wapige kazi.
 
Wazazi wengi wanapambana kiuchumi kuliko malezi ya watoto!
Watoto wa siku hizi hawahitaji hata kanafasi kanachokosa uangalizi wa maana na usimamizi.
Akirudi mapema nyumbani na kukosa uangalizi wa michezo ya hapo nyumbani hatari sana kuliko unavyofikiria.
SHULE NI SOCIAL ORGANIZATION KUBWA AMBAPO KILA KITU KWA MTOTO ANAKIPATA kwani hata michezo ipo na inakuwa na uangalizi bora kutoka kwa walimu.
Hata kama iweje lakini sio kama muda wrote niwakusomatu.
Shuleni watoto hawafundishwi kupika,kuosha vyombo,kufua, no

Muda wa kupumzika na kufanya mambo yake binafsi nimuhim sana
 
Wazazi sijui mnataka nini? Watoto wakifeli mnalalamika waalimu wakiwasaidia watoto kujiandaa na mitihani mnalalamika. Hizo shule za private mnaona wanavyoandaa watoto na mitihani. Watoto hao wa private wanashindana na hao watoto wenu.

Wazazi msipende vya bure wajibika kwa elimu ya mtoto wako kughalamia shilingi elfu tatu kwa wiki kwa ajili ya elimu ya mtotk wako unaona ni gharama?
Unataka mwalimu afanye kazi ya ziada lakini usimlipe. Wasikilizeni wana siasa wenyewe watoto wao wako private wanawalipia wewe wanakudanganya.
ASANTE SANA UBARIKIWE.

Wazazi waliposikia elimu bure wakahisi serikali inawapenda sana mbona viongozi hawapeleki watoto wao kweny hio bure. Mzazi elimu ni haki ya msingi kwa mtoto kuchangia ni lazima kama hutaki michango ya 200 nenda private ukalipe 7m alafu unyooshe miguu hakuna vya bure. Alafu hata kama walimu wanakula hizo 200 mnalalamika kweli mbona viongozi wanakula bilioni za fedha hamlalamiki.
 
hili jambo huwa naliwaza na kulisema kila siku. Nimesoma msingi miaka ya 90. Tuliingia shule saa 2 mpaka saa 8 na hii ilikuwa ni Jumatatu mpaka Ijumaa, darasa la kwanza mpaka la saba.

Sasa najiuliza leo wanafundishwa nini cha ziada kiasi kuwekwa mashule mpaka saa 1 usiku, Jumapili wanakwenda shule pia. Matokeo yakitoka na uoza ule ule.
Kuna kitu hakiko sawa sehemu, serikali kwa sasa ni kama imeamua acha liwalo na liwe
 
Wewe acha hizo mambo! Nadhani kila mtu hapa amesoma, hamna cha kusaidia wala cha rafiki yake na kusaidia, mtoto anatakiwa kupumzika siyo kila mara anasoma, we angalia ule muda rasmi tu wa wanafunzi kuwa shuleni yaani saa mbili hadi saa tisa na nusu, unakuta wanafunzi wengi wamepiga usingizi, sasa uje uwasomeshe mpaka saa 12 jioni kuna wa kuelewa hapo!! Acheni utani
Walimu ndo wanafundisha wanaelewa changamoto za watoto wanapojifunza kama hutaki mtoto wako afundishwe muda wa ziada wasiliana nao watamruhusu mapema arudi nyumbani apumzike kama unavyotaka usitafute justification kuharibu mipango mizuri ya walimu kwa hawa watoto.
 
Walimu ndo wanafundisha wanaelewa changamoto za watoto wanapojifunza kama hutaki mtoto wako afundishwe muda wa ziada wasiliana nao watamruhusu mapema arudi nyumbani apumzike kama unavyotaka usitafute justification kuharibu mipango mizuri ya walimu kwa hawa watoto.
Kuna Shule moja mpaka mwalimu aliona Kuna kelele hizohizo akawa anawatangazia wale ambao wanaitaji kusoma muda wa ziada anawafundisha muda huo na hao wengine walikua wanakatazwa na wazazi wao aliachana nao wabaki na wazazi Hakua hata na muda wa kuwafatilia
 
Back
Top Bottom