Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Acha kutumia na huduma zote za kijamii. Umeme, maji, barabara na vingine vyote. Nakuunga mkono jembe😀:sly:
 
9.jpg
 
kwa mtazamo huu nimekuweka katika kundi la watu wenye ulazima wa kuwaweka chini ya uangalizi wa karibu maana wanakaribia kuwehuka
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

Nadhani hazikutoshi. Hivyo ulivyovitaja vyote vimeletwa na kodi yake ambayo nyingi ya hiyo kodi yake imeingia matumboni mwa majambazi ccm. Fikiri kwa kutumia kichwa si m.a.k.a.l.i.o
 
Hela ya Bum sio hela ya ccm.Ni hela ya baba yangu anayokatwa kila siku akinunua vocha,mkaa,sukari na inarudishwa.Afu imeandikwa kwenye katiba kila mtu atapata ujira kutokana na kazi anayoifanya

mwambie huyo boya,hajui kama nalipa kodi,hata mamikopo yao mwisho ntarudisha mimi
 
Kama chama na serikali ni vitu viwili tofauti basi wewe hujui tofauti ya "appearance and essence" ndio maana kila siku nasema hivi ukombozi unataka maarifa juu ya kujikomboa sio muhemko kama wako huu!!!!!!!! Mwerevu huwezi kushindwa kuangalia na kujua tofauti ya mambo yanavyosemekana au yanavyoongelewa na uhalisia wa jambo hilo hilo!!!!!

Weewe ndio wa kuniita mimi --------? ???!!!!anyway labda ina maana zaidi ya ninayoijua mimi ila sio neno kwa leo ngoja nikugeuze wewe uwe na jina hilo sasa!!!!!

Mwenyekiti wa chama ndio rais wa nchi na ndiye anampendekeza waziri mkuu then wanaunda baraza ,ndiye anateua wakuu wa nchi wote unaowajua wewe!!!!!!!

Kwa umri wako kuzingatia "unalipa kodi" hutakiwi upewe
torch ili kubaini fusion iliyopo!!!!!

Kalaga baho!!!!!!! Wakati wa kuunda tume ya uchaguzi ndio utajua nini nazungumza hapa kama hukusikia vilio vya walioshika akili yako wakati wa wajumbe wa bunge la katiba!!!!

kwani lazima mwenyekiti wa chama awe raisi, HIYO NIKATIBA YENU MBOVU YA CCM KUMUONA JK NDO KILA KITU, NA usipojiangalia mkuu uteendelea kutumiwa tu na mijizi ya ccm.
 
acha kutumia na huduma zote za kijamii. Umeme, maji, barabara na vingine vyote. Nakuunga mkono jembe:d:sly:

ataachaje wakati kodi yake ndo inayofanya kazi? Majitu mengine hayana hata uwezo mdogo wa kufikiri. Kinachomsukuma zaidi ni kwamba hata hiyo kodi yake bado inaliwa. Kumbuka richmond, epa, iptl na aina zingine za wizi unazozijua.
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

Vp mkuu unaelewa maana ya kuunga mkono au umesukumwa kuandika Hyo comment yako? Mtoa mada amesema yeyote anaye unga mkono wewe unaanza kuorodhesha vitu nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
 
Nadhani hazikutoshi. Hivyo ulivyovitaja vyote vimeletwa na kodi yake ambayo nyingi ya hiyo kodi yake imeingia matumboni mwa majambazi ccm. Fikiri kwa kutumia kichwa si m.a.k.a.l.i.o

Na ukusanyaji wa kodi na re distribution unasimamia wewe!!!!!!!
Empty skull!!!!!
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Mi Napita Tu Ngoja Nikaangalie Kadi Yangu Ya Kupigia Kura Kama Ipo Salama Mahali Nilipo Iweka Mana Siku Zinaenda Na Sioni Taratibu Za Uboreshaji Wa Daftar La Wapiga Kura Ukifanyika.
 
Vp mkuu unaelewa maana ya kuunga mkono au umesukumwa kuandika Hyo comment yako? Mtoa mada amesema yeyote anaye unga mkono wewe unaanza kuorodhesha vitu nina wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri

Operational definition ya kuunga mkono katika mnakasha huu ni ipi!!!!!!?????
Hata hesabu zina matendo makuu matano lakini pia zipo integaration,log,geometry na kadhalika!!!!
Sasa wewe chagua topiki inayotosha ubongo wako mkuu!!!!!!Kama haina relevance piga mute!!!!!
Wasiwasi ndio akili yenyewe sasa ila ugeuze uwe udadisi kabla haujawa uoga!!!!!
 
kwani lazima mwenyekiti wa chama awe raisi, HIYO NIKATIBA YENU MBOVU YA CCM KUMUONA JK NDO KILA KITU, NA usipojiangalia mkuu uteendelea kutumiwa tu na mijizi ya ccm.

Sasa umeanza kuelewa na hata una hoji good step!!!!!!
Sasa kumbe unajua hoja za muhimu kama katiba na uzalendo wa kweli; kilichokufanya uzire Abood na kupanda BM kipo sehemu gani ya katiba????!!!!
Mimi kutumiwa na vyama vya siasa,ni ngumu kuliko wewe kufikiria kubadili jinsia yako!!!!!
Kama unaweza kufikiria kubadili jinsia yako basi fikiria pia mimi kuwa na kadi ya chama cha siasa!!!!!
 
Wanamziki wote waliyoifanyia ccm kampeni 2010 wako wapi.?
Hii siyo ngeni ilikuwa kimikimiya sasa we umeitoa wazi,wapi wazee wa TMK.? WAPI MARLAW,
Bend ya TOT,Wako wapi vijana wa manzese,
Na ili wala hakuna aja ya kupiga kelele.
 
Wanamziki wote waliyoifanyia ccm kampeni 2010 wako wapi.?
Hii siyo ngeni ilikuwa kimikimiya sasa we umeitoa wazi,wapi wazee wa TMK.? WAPI MARLAW,
Bend ya TOT,Wako wapi vijana wa manzese,
Na ili wala hakuna aja ya kupiga kelele.

Hivi diamond alikuwemo kwenye kampeni!!!!????
Hivi mafanikio ya Sugu kimuziki yakoje? ??!!!!

Hivi kweli kabisa mnaona hii ni hoja ya kuingilia watu reli zao za maisha walizohangaika kuziweka mpaka zikakaa sawa????!!!!!
Madaktari wangapi wanaunga mkono CCM na wanawatibu hamkatai???!!!!!
Unamaanisha Prof Baregu au Dr Kitila wawatoe wanafunzi wanaounga mkono CCM madarsani mwao!!!!!

Hebu tokeni kwenye usingizi na chuki zisizo na kichwa wala miguu!!!!!!
 
naungana naww. na hasie kubaliana nawe ana masilai binafs na ugamban ama hajielewi vizur. Copied
 
naungana naww. na hasie kubaliana nawe ana masilai binafs na ugamban ama hajielewi vizur. Copied

Mimi siungani naye!!!!!!!
Sina maslahi binafsi! !!!!!
Najielewa saba mara sabini!!!!

Ila uadui na kubaguana sababu ya siasa juu ya utashi wa mtu ni ajenda ya kishetani kabisa!!!!!
Haifai kupewa nafasi hata sekunde moja bila kukanushwa kwa hoja na uhalisia!!!!
 
Sasa umeanza kuelewa na hata una hoji good step!!!!!!
Sasa kumbe unajua hoja za muhimu kama katiba na uzalendo wa kweli; kilichokufanya uzire Abood na kupanda BM kipo sehemu gani ya katiba????!!!!
Mimi kutumiwa na vyama vya siasa,ni ngumu kuliko wewe kufikiria kubadili jinsia yako!!!!!
Kama unaweza kufikiria kubadili jinsia yako basi fikiria pia mimi kuwa na kadi ya chama cha siasa!!!!!

mkuu hayo nimapenzi yangu binafsi na naichukia abood kwakuwa ni kada hiyo nikweli na haizuiliki.
 
Back
Top Bottom