Na ukusanyaji wa kodi na re distribution unasimamia wewe!!!!!!!
Empty skull!!!!!
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!
Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!
Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!
Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!
Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!
Huku kupenda bwana na kuogopana kuambiana ukweli unatugharimu sana-Siasa hizi zimeanzishwa na Mwigulu Nchemba-Usijitoe fahamuhuu upinzani wa chuki umesambazwa na cdm. Watu wanadhan kuwa mpinzani ni kumchukia mshndani wako!
Acheni kutembea kwenye barabara zilizojengwa chini ya serikali ya ccm.... Ili tujue nyinyi mna msimamo wenu. Waseee....kweli nyie
mazuri si fadhira mabaya hatujawatuma.HAYA NI MAPAMBANO MKUU , ukicheka na nyani UTAKUFA NJAA , UBAYA WA CCM UNAFAHAMIKA , KILA ANAYEIUNGA MKONO LAZIMA APIGWE VITA .
skull is empty!!
Jifunze kutofautisha kati ya sisiemu na Serikali. Sisisem ikifa leo hivyo vyote vitaendelezwa chini ya chama kingine chochote kitakacho chukua nchi.
mazuri si fadhira mabaya hatujawatuma.
Mind u gari la KUB halijatolewa na CCM wala ruzuku za vyama hazitoki Lumumba