Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,269
Reaction score
473
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!
 
tunakushukuru sana kwa kujitambua , asante sana kwa kuamua kuweka shida zako kando na kuukumbatia uzalendo .
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo nabmashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

HAYA NI MAPAMBANO MKUU , ukicheka na nyani UTAKUFA NJAA , UBAYA WA CCM UNAFAHAMIKA , KILA ANAYEIUNGA MKONO LAZIMA APIGWE VITA .
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Ukereketwa wa chama usikufanye uwe kipofu hadi kujua ukweli.CCM haina miaka 50.CCM ilizaliwa 1977.Hiyo miaka hamsini ya CCM umeitoa wapi?

Halafu unasema ilivyotunyanyasa watanzania sema ilivyokunyanyasa wewe kama ni kweli usiwasemee watanzania wengine.Nani aliyekuteua wewe kuwasemea? Kuna ambao kama mimi binafsi CCM imenisaidia sana tena sana na ningependa itawale miaka 50 ijayo.
 
  • Thanks
Reactions: mge
Usile basi na mboga za majani kwa maana zina ranginya ccm
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.
Una umri gani?
 
Ukereketwa wa chama usikufanye uwe kipofu hadi kujua ukweli.CCM haina miaka 50.CCM ilizaliwa 1977.Hiyo miaka hamsini ya CCM umeitoa wapi?

Halafu unasema ilivyotunyanyasa watanzania sema ilivyokunyanyasa wewe kama ni kweli usiwasemee watanzania wengine.Nani aliyekuteua wewe kuwasemea? Kuna ambao kama mimi binafsi CCM imenisaidia sana tena sana na ningependa itawale miaka 50 ijayo.
Mkuu, misukule ya CHADEMA uwezo wake wa kufikiri ni mdoho sana. Inabwabwaja tu. jana Mburula mwenzao Henry Kileo alitangaza na kuhamasisha wasanii wasusie kazi za akina JB. Hii inanikumbusha Dr Slaa alivyokuwa analumbana na mchumba wake Rose Kamili eti kwa vile tu alikuwa ni Diwani wa CCM
 
Mim mwenyewe nimewapigia wazazi cm nyumban kama wana kadi za ccm siwahudumii tena.
Mawazo ya kipuuzi sana haya. Kwani kati ya chadema na wazazi wako, nani ni muhimu zaidi? Au kati ya wazazi wako na CHADEMA, nani ana umri mkubwa zaidi. Ndo maana huww tunasema kuwa wafuasi wa CHADEMA ni zaidi ya misukule
 
meza wembe, utakufa utaiacha ccm ikitawala,
 
HAYA NI MAPAMBANO MKUU , ukicheka na nyani UTAKUFA NJAA , UBAYA WA CCM UNAFAHAMIKA , KILA ANAYEIUNGA MKONO LAZIMA APIGWE VITA .
CCM ikiwa na mawazo kama yenu basi mjue kuwa hamtakuwa salama. Maana wao wanamiliki kila kitu
 
CCM ikiwa na mawazo kama yenu basi mjue kuwa hamtakuwa salama. Maana wao wanamiliki kila kitu
Hawa Bavicha wengi wao hawajitambui kiongozi wao Mbowe mwenyewe anachukua pesa kutoka CCM sembuse hawa Chadema-kata.
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.
Umeipata wapi hii CCM wametawala zaidi ya miaka 50?
 
Back
Top Bottom