Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Abou Shaymaa

JF-Expert Member
Oct 19, 2022
1,425
3,077
Naam Kwa Wale Wapenzi Wa Simulizi Mtumzi Wetu EDGAR MBOGO ametuandalia Kigongo Kingine Hichi Sio Cha Kukikosa Kitakujia Hapa Hapa Jamii Forums,

Kwa Wale Ambao Wamesoma Simulizi Ya (Asali Haitiwi Kidole) Huyu Deusi Frank Nyati Atakaetajwa Humu Ndio Kaka Yake Edgar Na Shemeji Yake Radhia Sasa Baada Ya Kutoka Huko Zanzibar Tumerud Dare es salaam,

Pia Simulizi Hii Imehaririwa Ili Kuleta Ladha Mzuri Ya Kiswahili Kutokan Na Malalamiko Mengi Ambayo Yametolewa,

Kwa Ambao Hawajasoma Simulizi Ya Asali Haitiwi Kidole Link Hiyo Hapo Nayo Sio Ya Kukosa.
SIMULIZI: Asali haitiwi kidole
Twende pamoja hadi mwishoooo

NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI : Mbogo EDGAR

Naam mschana Zamda Simba, alifungua macho yake taratibu, toka kwenye usingizi mzito, uliosababishwa na sindano aliyochomwa masaa kadhaa yaliyopita, na kuruhusu mwanga hafifu wa rangi ya blue upenye kwenye mboni zake, huku pua zake zikiruhusu harufu ya sigara, na pombe kupenya puani mwake, kitu ambacho kinampa ishara mbaya, kwamba sehemu aliyoletwa siyo salama kwake.

Hiyo anayapa nafasi macho yake na kuweza kuona, ile sehemu mpya aliyokuwepo, kwanza kabisa Zamda binti Simba ana jikuta akiwa juu ya kitanda kikubwa kizuri cha kifahari, kilicho tandikwa vyema kwa shuka za kupendeza, ndani ya chumba kizuri chenye vitu vingi vizuri vya kifahari, vitu ambavyo kutokana na maisha ya chini ya familia yao, hakuwahi kuota kwamba ange wahi kuwa navyo karibu kiasi kile.

Lakini hakuona kuwa ni bahati kwake, kuwa juu ya kitanda kile kikubwa cha kifahari, maana ukweli alijuwa fika kuwa alikuwa katika hatari kubwa sana siku ile, ni kile ambacho alikishuhudia masaa kadhaa yaliyopita, wakati ule kabla haja pitiwa na usingizi mzito,

Ukweli mschana huyu alikuwa mwenye khofu kubwa sana, hasa baada ya kujikuta akiwa juu ya kitanda hiki ndani ya chumba tulivu chenye ubadiri mkari, kama yupo pande za njombe au makete, Zamda anatazama mikono na miguu yake, ambayo mara ya mwisho ilikuwa imefungwa kamba, lakini sasa anaona haikuwa na kamba yoyote, baada yake imebakia alama za sehemu iliyopita kamba ile.

Hapo mschana Zamda mwenye umri wa miaka kumi na sita, ana vuta kumbu kumbu ya watu waliomchukuwa kwanguvu mbele ya baba yake, wakidai kuwa yeye ndio fidia ya deni la kitu ambacho yeye Zamda akuwa anakifahamu, kitu ambacho inadaiwa baba yeke alikichukuwa toka kwa mtu ambae, ni boss wa vijana wanne waliomchukuwa Zamda kwanguvu, Zamda anakumbuka jinsi alivyopiga kelele za kilio kuomba watu wale wasimchukuwe, “jamani mnanipeleka wapi, mimi sitaki hukooo” lakini haikusaidia kitu, maana Zamda anakumbuka jinsi watu wale walivyo mpakiza kwenye gari, huku mama yake akilia kwa uchungu, kiasi cha kuishiwa nguvu, na kupoteza fahamu, huku baba yake Zamda, yani mzee Simba, akipiga magoti, kuomba vijana wale wasi mchukue Zamda, “jamani tafadhari naomba mwacheni binti yangu, bado mdogo sana” aliongea mzee simba kwa sauti ya kuombolea iliyokaribia kuangua kilio, “Simba sisitumetumwa mzigo au tumchukue binti yako, hayo mengine hayatuhusu” alisema mmoja kati ya vijana wanne wenye miili iliyojengeka kimazoezi zikiambatana na sura za kutisha, “naomba mumwache binti yangu, nyie mkaongee Songoro, mwambie nitampatia mzigo wake” alisisitiza mzee Simba, huku anamshika mmoja wawale vijana akiwa na lengo la kuomba umakini na usikivu wake.

Hapo Zamda alishuhudia baba yake mzazi, akisukumiwa teke zito na kujibwaga chini kama kiroba dhaifu, kisha wao wakaingia kwenye gari na kuondoka zao, wakiwa na Zamda, ambae muda wote alikuwa anaangua kilio, cha khofu na kuomboleza kwamba aachiwe, japo haikusaidia hata kidogo, maana gari lilizidi kuyoyoma, huku na wale jamaa wakimkodolea macho mschana huyu mdogo na kuongea maneno yaliyo zidi kumtisha na kumhogofya Zamda, “sidhani kama boss ata muacha huyu mtoto” Zamda alikumbuka maneno ya mmoja kati wale vijana kipindi kile wakiwa kwenye gari.

“tena katika watoto ambao amewahi kuwala, huyu ni mkali kuliko wote, halafu mbichiiii” alisema kijana mwingine, na kumbukizi ya kauri hiyo ilimfanya Zamda, haraka sana apeleke mikono yake sehemu kwenye ufungu wa mapaja yake, na kujipapasa sehemu zake za siri, yani kitumbani kwake, sehemu ambayo, haikuwai kutumika kabisa, toka amezaliwa, bahati nzuri akaikuta ikiwa salama kabisa, “Binti umeamka” Zamda anashtuliwa na sauti nzito iliyojawa na mikwaluzo mingi sana, kama speeker iliyo toboka.

Hapo Zamda anageuza uso wae kwa haraka kutazama ilikotokea sauti, ile ya kiume yenye kuogofya, anamwona mtu mmoja alie kuwa amekaa kwenye kochi dogo zuri la kisasa, huku mbele yake kukiwa na meza ndogo yenye kusimamisha chupa moja kubwa ya pombe kari, na grass ya kunywea kinywaji hicho, na mdomoni mwake mtu yule ukikionekana kufuka kwa moshi mwingi sana wa sigara aliyo kuwa ameishika mkononi mwake.

Pengine Zamda hakuwai kugundua mwanzo kuwa kulikuwa na mtu mle ndani, kutokana na ukubwa wa chmba na uhafifu wa mwanga, wa mle ndani, “tafadhari baba yangu, naomba uniache niende, najuwa baba yangu awezi kuwadhlumu vitu vyenu, lazima atawalipa tu” alisema Zamda kwa sauti ya kulalamika na kupembeza, huku akianza kuangua kilio chenye kutia huruma, “binti nivyema ukakaa kimya ukisubiri kinachofwata” ilisikika tena ile sauti yenye mikwaruzo ambayo pengine imesababishwa na matumizi ya pombe kali.

Hapo Zamda akazidi kuingiwa na khofu, hakuwa na chaguo zaidi ya kuanza kuangua kilio, huku moyoni akimlaumu baba yake, kwa kuchukuwa kitu toka kwa mzee, aliekosa huruma, maana Zamda alijuwa fika kuwa lazima aingiliwe kimwili na mzee huyu, kitu ambacho kilibashiriwa na wale vijana wanne waliomchukuwa nyumbani kwao, siyo kwamba Zamda alikhofia kuingiliwa kimwili, kwa sababu tu ilikuwa ndiyo mala yake ya kwanza, maana tayari alikuwa na rafiki wa kiume, ambae walikuwa katika kushawishiana kupeana dudu, na mala kwa mala alisha tamani kufanya hivyo, lakini alijizuwia kufanya hivyo katika umri mdogo, kama alivyo onywa na mama yake, lakini pia binti huyu, hakuwai kufikiria kuingia katika uwanja wa ngono, katika hali kama hii, hapo Zamda akaiona dunia yake kuwa ndogo ndani ya chumba hiki kipana, “naomba unihurumie baba yangu” alisema Zamda kwa sauti iliyoambatana na kilio, huku moyoni mwake akifikilia kile anachotaka kufanyiwa.

Lakini hiyo aikusaidia, kumlegeza mtu huyu, ambae mpaka sasa akuwa ameonekana sura yake, baada yake, akazidi kugonga msumari, “nenda kamtulize huyo kahaba mtoto” alisema yule mtu mwenye sauti ya mikwaluzo, akionekana kumweleza mtu mwingine mle ndani, Zamda anashangaa, na kukaza macho yake kutazama pale alipokuwepo yule mzee.

Hapo Zamda anamwona mwanamke alie chuchumaa usawa wa meza, pembeni kidogo upande wapili, huku kichwa chake, kikiwa juu ya mapaja ya yule mwanaume, kama alikuwa anakula kitu flani mapajani kwa yule mtu, hakika Zamda mwili unamsisimka, kwa kuona kitu ambacho, hakuwai kukiona kwa macho yake moja kwa moja, kitu ambacho aliwahi kukiona siku moja kupitia simu ya boy friend wake, yani mwanamke yule alikuwa ananyonya dudu ya mwanaume huyu.

Zamda alithibitisha hilo, mala baada ya mwanamke yule kuinua kichwa chake, na kuruhusu macho ya mschana mdogo Zamda, kuona dudu ya mwanaume huyu, ikichomoka mdomoni kwa mwanamke huyo, ambae baada ya kusimama, Zamda anagundua kuwa, mwanamke huyu, alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa.

Hapo zamda anazidi kupata uhakika wa kuliwa kitumbua chake kipya, anazidi kulia, huku anamtazama yule mwanamke, ambae sasa anatembea taratibu kusogelea kitanda kwamwendo wa madaha, huku uso wake ukitawaliwa na tabasamu, mwanamke haonekani kujali kilio cha Zamda, baada yake anafikia kitanda na kupanda juu yake, huku Zamda anajisogeza pembeni kwa uoga, “usogope mschana, nitakusaidia ufurahie sikuyako ya kwanza” alisema yule mwamke, kwa sauti ya taratibu, iliyojaa ukahaba, huku anaramba midomo yake kwa ulimi wake mrefu, wakati huo anapeleka mkono wake kwenye kifua cha mschana Zamda, na kukamata titi moja, la binti huyu, na kuanza kuchezea chuchu zake.

Zamda anazidi kuogopeshwa na kuingiwa na simanzi, kwa kitendo kile, cha mwanamke huyu kahaba, na kuzidi kuangua kilio, lakini hakisaidii kitu, maana mschana yule anaendeea na mchezo wake, na sasa anaenda mbali zaidi, kwakushusha kidogo gauni la Zamda usawa wa kifua, na kuanza kunyonya chuchu zake, zilizo simama za mschana huyu, “niache we dada, mimi sijawai fanya hivyo, naomba unionee huruma” alipiga kelele Zamda, huku anazidisha kilio, lakini haikusaidia kitu, maana sasa mwanamke huyu, aiekuwa anaendelea kunyonya chuchu za Zamda, alishusha mkono wake na kuanza kupapasa mapaja laini ya mschana huyu, mtoto wa mzee Simba.

Yap! wakati mwanamke kahaba ana mfanyia hayo Zamda, mara Zamda akamwona yule mwanaume akiinuka na kusogelea kitandani, huku zip ya suruali yake iliyokuwa wazi, ikitoa nafasi ya dudu yake kuonekana wazi ikining’inia, na kuzidi kumuogopesha Zamda ambae sasa alijuwa wazi kuwa anakuja kuingiziwa kitu, hapo alizidi kuangua kilio, “binti kilio chako kitasababisha mambo kuwa magumu zaidi, ukiendelea kulia kwa sekunde moja tu, baba yako atapokea kichwa chako ndani ya mfuko” ilikuwa sauti ya ukali yenye mikwaluzo toka kwa yule mwanaume, ambae sasa anaonekana kwa uwazi kabisa, akiwa amesimama pembeni ya kitanda.

Naam huyu anaitwa Uledi Songoro, ni mmoja kati ya watu wanao ogopwa sana hapa jijini dar es salaam, na mikoa ya jirani, hasa linapokuja swala la umbea katika biashara yake ya dawa za kulevya, ambayo inampatia fedha nyingi sana, ambazo umsaidia kuhonga baadhi ya watendaji wenye uchu wafedha, na maendeleo ya haraka, ambao waliweza kumpa nafasi na ulinzi katika kufanya mambo yake maovu, ikiwa ni kuuza dawa za kulevya, na tabia yake nyingine ya kufadhiri maovu kama vile utekaji wa magari na uporaji wa kwenye mabenk.

Songoro baba mwenye watoto watatu kwa mke wake na watoto saba nje ya ndoa, yani kila mtoto na mama yake, alikuwa ni mtu hatari sana, mtu ambae kutoa roho ya binaadamu mwenzie ni kitu rahisi lama kumsukuma mlevi, hasa linapokuja swala la fedha.

Songoro, mkimbizi wa zamani wa Zaire, kabla haijaitwa Congo, kwasasa alikuwa ni mmoja wa matajiri wakubwa, wenye kumiliki, majumba makubwa na magari ya kifahari, huku akiwa na silaha dogo dogo, kama vile pistor na Uzi gun, na zile size ya kati, yani SMG ak 47, modoel 81, ambazo mara nyingi hupatiwa na washirika wake toka barani Asia nchi kama Urusi na China, na pia alikuwa anamiki vijana zaidi ya khamsini, ambao walikuwa makini kwenye kazi yao hii ya kuuza na dawa za kulevya na wizi wa gari, huku wote wakiwa ni wepesi wa kuuwa pale wanapotakiwa kufanya hivyo.

Tabia kubwa inayo ogopwa ya bwana Songoro, ni kuchukia kuharibiwa biashara yake, kama vile kuto kufikisha mzigo wa dawa za kulevya, sehemu iliyo kusudiwa, mzigo kukamtwa na polisi, au chombo chochote cha usalama, pia kuto kuwakilisha fedha kwa wakati, au pesa pungufu, na jambo la mwisho, bwana Uledi Songoro, alikuwa ana penda sana ngono, hasa ngono za ovyo ovyo, yaani angekuwa tayari hata kulala na wanawake sita kwenye kitanda kimoja, na kufanyanao ngono, ilimradi kiu yake itulie, na lipokuja swala hilo la ngono, huwa harudi nyuma, hata kama kingetokea nini, nikama leo alivyo mchukuwa, binti wa mshirika wake, bwana Simba.

Hapo Zamda anasitisha kilio chake cha sauti, lakini bado alia kwa kwi kwi, “naomba unisamehe mzee wangu, mimi ni sawa na binti yako” anasema Zamda kwa sauti ya kuomboleza, huku anainua usowake kumtazama yule mwanaume kwa macho yaliyojaa hurum, anaweza kumwona vyema yule mwaname, ambae ni mtu mzima, na pengine amemzidi umri mzee Simba, yani baba yake, kisha anashusha macho yake usawa wa zip, anashudia kiungo cha uzazi cha kiume cha mzee huyu, mwenye mkadirio wa miaka arobaini na tano, kikiwa kime tazama chini, kwa maana ya kwamba, hakikuwa kime simama, lakini kilimtisha Zamda, “siyo binti yangu, unaweza kuwa mjukuu wangu pia” alisema mzee yule na wakati huo huo, ikasikika sauti ya mlango ukigongwa, “ingia” alisema yule mzee, huku yule mschana akiacha kunyonya maziwa ya mschana Zamda, na kaunza kumvua gauni lake.

Hakika ilimwogopesha sana, ambae ali shuhudia yule kahaba akimaliza kumvua gauni na kufatia chupi, wakati huo mlango ukagongwa tena, “nimesema ingia mbwa wewe” alijibu yule mzee kwa sauti ya ukali, huku macho yake yakiwa kwenye mapaja manono ya Zamda, kiasi kwamba Zamda anaweza kuona matanio ya wazi kwa mzee huyu, ambae sasa dudu yake inasimama kwa fujo, na yule kahaba anamaliza kumvua nguo Zamda na kuigeukia dudu ya mzee yule na kuidumbukiza mdomoni, pasipo kujari mlango uliokuwa unafunguliwa, na kuingia kijana mmoja alie valia tisheti jeusi na suruali jeusi, na viatu vya shingo ndefu, maarufu kama buti, viatu ambavyo huvaliwa na askari.

Kahaba anaendelea kuyonya dudu, Zamda anashindwa kutazama zaidi, anatazama pembeani, “boss kuna mgeni wako, anasema ametumwa na mzee Simba” alisema yule kijana, ambae mwili wake ulikuwa umejengeka kimazoezi.

Hapo Zamda alijikuta akisisimkwa kwa furaha, akijuwa kuwa hii ndiyo saa ya kuokolewa kwake, “kum.. make, kwanini amekuja wakati siyo sahihi, lakini hainuzuwii kumaliza haja zangu” aling’aka yule mzee, kwa sauti iliuojaa hasir na chuki, wakati huo yule mwanamke kahaba anaendelea kunyonya dudu ya mzee yule, “mleteni huyo mpuuzi aje ashuhudie anachofanyiwa mtoto wa huyo fala mwenzie” alisema yule mzee kwa sauti iliyolegea kidogo, lakini yenye kumaanisha, na yule jamaa anatoka nje na kufunga mlango.

Furaha Zamda inaisha matumaini ya kuepuka na tukio la kuingiliwa kinguvu, yakiyeyuka kama kipande cha siagi kwenye kikaango, “naomba uniache baba tangu amesha tuma mtu kukuletea vitu vyako” alisema Zamda huku anajiinua toka kitandani kwa lengo lengo la kushuka chini, “unaenda wapi wewe, hebu kuja hapa” alisema yule mzee huku anamshika Zamda, kwa kumvuta nywele zake, kisha anamgeuzia uso wake usawa wa dudu, “hebu nfanya kile mwenzio alikuwa anafanya” alisema yule mzee, huku anaitoa dudu yake mdomoni kwa kahaba na kuisogeza kwa Zamda ambae alifumba mdomo na macho kwanguvu sana, “we Malaya mdogo, hebu fumbua ilo domo lako, kabla sija fumua ubongo wako, na kusababisha kilio kwa wazazi wako, unazani ili linatosha kufikidia millioni mia mbili alizo poteza baba yako?” alisema yule jamaa, huku anaishika dudu yake, vizuri na kutaka kusogeza zaidi mdomoni kwa Zamda, ambae bado alikuwa amefumba macho na mdomo.

Lakini ghafra mlango ukasukumwa kwanguvu, na kufanya yule mzee asitishe lile zowezi lake, “pumbavu, nani anaingia kwafujo ndani chumba ambacho mimi nipo?” aliuliza yule mzee kwa sauti yenye hasira na chuki, huku anamwachia Zamda na kugeuka taratibu kutazama kule mlangoni, ambako yule kahaba alikuwa tayari amesha tazama, na wote wawili walimwona kijana mmoja mwenye umbo la wastani, mrefu kiasi kifua kipana kiasi, mwenye kuvaa tishet, ya rangi ya kijivu, na jinsi rangi ya blue, chini raba nyeupe, nyuma yake akifwatiwa na yule jamaa alie kuja mwanzo, alieonekana kufadhaishwa na kitendo cha kijana huyu, kusukuma mlango kwanguvu, “samahani mzee nilidhania unafahamu juu ya ujio wangu” alisema kijana huyu, ambae mkono mwake hakuwa na kitu chochote, kwasauti tulivu, ambayo ungeshindwa kuiweka upande gani, kwamba ni upole au dharau…. Naaaam ni #NYUMA_YA-MLANGO_WA_ADUI, hapo ndiyo inaanza, tuna kumbu kumbu ya majina na matukio, ili twende sawa, katika mkamsa huu mpya wa #NYUMA-_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa, kwa hadithi ZA MBOGO EDGAR, kwa hisani ya watu wa Mbogo land, kwa KING Elvis.
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA PILI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
ILIPOISHIA SEHEMU YA KWANZA: “samahani mzee nilidhnia unafahamu juu ya ujio wangu” alisema kijana huyu, ambae mkono mwake hakuwa na kitu chochote, kwasauti tulivu, ambayo ungeshindwa kuiweka upande gani, kwamba ni upole au dharau….endelea….


Jibu lile lilimkasirisha mzee huyu, ambae alimkazia macho kijana huyu, aliekuwa anamtazama bila uoga wowote, “kijana nadhani Simba hajakueleza kuwa hapa alipokutuma siyo sehemu salama kwako, na unabahati kuwa hai mpaka dakika hii” alisema mzee yule, huku yule mwanamke kahaba, anaacha kumtazama kijana anaishika dudu ya yule mzee, ambayo sasa imelegea, na kuipeleka mdomoni, kisha anaanza kuangaika kuinyonya.


Kijana mgeni anatazama tukio lile kisha anapeleka macho kitandani ambako anamwona Zamda alie kuwa amekaa kwa uoga kitandani, kisha anamtazama tena bwana Songoro, “nimetanguliza samahani mzee, vipi sasa tunaweza kuingia katika biashara” aliuliza yule kijana, ambae sauti yake unaweza kuzania anaongea kwa dharau, ila ukweli ni kwamba, sauti imejaa upole sana, kama sura yake, “ok! kaa hapo hakikisha una million mia mbili, wakati mimi nafidia usumbufu alioniletea huyu mpuuzi” alisema yule mzee huku ana geuka na kumtazama Zamda ambae alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa.


Ukweli Zamda ambae alishapata matumaini ya kutoka kwenye janga ili, sasa akaona kuwa kitumbua kinaliwa na fedha zinaondoka, Zamda akamtazama yule kijana, huku akiombea kuwa, kijana yule asikubaliane na jambo lile, japo alijuwa wazi kuwa kijana huyu, asingeweza kupingana na maamuzi ya mzee Songoro, mzee katili mwenye vijana shupavu na wakorofi, kama wale waliokuja kumchukuwa nyumbani kwao.


Zamda akamwona kijana yule, mwenye sura ya upole na yakuvutia anatikisa kichwa kwa masikitiko, “mzee uwezi kufanya hivyo, nimeagizwa kumfikisha huyo mschana salama nyumbani kwao” alisema yule kijana kwa sauti tulivu kama kawaida yake.


Hapo Zamda anainua tena uso wake kumtazama yule kijana, anae dai ametumwa kuja kumchukuwa yeye amrudishe nyumbani kwao, anamwona anamtazama mzee Songoro, Zamda anapeleka macho kwa mzee Songoro, ambae sasa anaonekana kukasirika, ni wazi hapendi kupingwa katika maamuzi yake au jambo analotaka kulifanya, “wewe ni nani mpaka usema hapana mbele yangu?” aliuliza mzee Songoro, huku anageuka tena kumtazama yule kijana, ambae bado alikuwa anamtazama mzee Songoro, ila wasi wasi wowote, “halafu mbona sioni chochote ulicho beba, fedha yangu ipo wapi?” aliuliza mzee Songoro kwa sauti yenye uzito mkubwa wa hasira.


Zamda akamtazama kijana yule, ni kweli hakuwa na kitu chocho mkononi mwake, na kiwango cha fedha alicho sikia mzee Songoro akikitaja yani millioni miambili, kisingeweza kukaa kwenye mfuko wa suruali, hapo Zamda akaona kuwa kijana huyu, akuja kumsaidia, ila amekuja kufanya mambo kuwa magumu zaidi, na sasa akaanza kuvuta picha jinsi atakavyo bakwa kwa hasira, “mkataba wangu na mteja wangu ni kuja kumchukuwa Zamda siyo kuleta fedha” alisema yule kijana kwa sauti ile ile tulivu.


Siyo bwana Songoro alietoa macho ya mshangao, kwa kujiamini kwa kijana yule, hata yule jamaa alikuwa nyuma ya kijana huyu, alishangaa sana, “Kenny hivi mmemtoa wapi huyu mtu, mbona kama anaonekana kuwa anaupungufu wa akili hivi anaweza kuongea ujinga mbele yangu?” aling’aka mzee Songoro, huku anamsukuma yule kahaba alie kuwa anafaamia dudu yake ungesema inatoa asali, na kudondokea pembeni, akiwa mtupu kabisa, kisha mzee Songoro akaanza kutembea kusogelea mlango huku anarudisha dudu yake surualini, na kufunga zip.


Hapo hata Zamda akajuwa kuwa kinacho fwata ni kuona yule kijana anafanyiwa kitu kibaya cha kutisha, maana mzee huyu, alionekana kukasirika kupita kiasi, “kijana pengine leo ni siku yako ya bahati, maana mpaka sasa tayari ningekuwa nimesha kutawanya ubongo wako, sasa ninakutuma kwa Simba, nenda kamwambie kuwa ninamalizana na binti yake, kisha na kuja kumchukuwa mke wake” alisema mzee Songoro, kwa sauti iliyo jaa hasira huku anamtazama kijana huyu, ambae akuonyesha dalili yoyote ya uoga wala wasi wasi, “hakuna mpango juu ya mpango, huo ni utaratibu wangu namba nne” alisema yule kijana kwa kujiamini, “unamaana gani utaratibu wako, kijana unalazimisha kifo” alisema mzee Songoro kwa sauti yenye kughadhibika, “maana yake namaliza jukumu la kumrudisha Zamda kwa baba yake, ndipo nitaweza kupokea kazi nyingine ya kupeleka ujumbe wako kwa mzee Simba” alisema yule kijana, ambae kwa haraka haraka ata wewe msomaji angekutia hasira, maana nikama alikuwa analeta utani kwa mzee huyu asiependa utani.


Hapo mzee Songoro aka shindwa kuvumilia upuuzi wa kijana huyu, akamtazama yule kijana anaeitwa Kenny ambae alikuwa anamtazama kijana huyu, kwa macho ya mshangao, “Kenny, huyu mjinga hapaswi kuuliwa humu ndani, nenda kamuulie nje, nazani mwili wake unaweza kutusaidia kupelekea mzigo Zanzibar” alisema mzee Songoro, kisha akageuka na kuanaza kutembea kurudi kitandani, huku Zamda akimwona yule kijana kijana wa Songoro, yani Kenny, akipeleka mkono wake kiunoni, usawa wamakalio, na kuibuka na bastora, “khaaaa! sipendi bunduki” alisema yule kijana, safari hii akionekana kuchukia kidogo, “mpeleke mpumbavu, na hakikisheni mnaifadhi vizuri huo mwili wake” alisema mzee Songoro.


Na hapo Zamda akamwona Kenny, akimwonyeshea bastora kijana mpole na kumwamlisha atoke nje, “toka nje we fala, unataka sisi tuonekane malofa kama wewe, kumbe ujaja na mzigo wa boss” alisema Kenny, ambae bado alikuwa amemnyooshea bastora kijana huyu mpole, “mzee pengine sijakuambia utaratibu wangu namba tisa” alisema yule kijana, akimweleza mzee Songoro, huku wanatoka nje, na Kenny akifunga mlango.


Hapo sasa Zamda akajuwa kuwa kuwa kinachofwata, nikusukumiwa dudu kwa hasira, nikama kijana yule mpole, amekuja kufanya mambo kuwa mabaya zaidi, “utaniambia kuzimu” alijibu mzee Songoro kwa sauti ya juu sana, yenye kasiriko kuu, huku anafikia kitanda na kufungua tena Zip yake na kutoa sehemu yake ya siri, kisha anashika nywele za Zamda na kumvutia kwake, huku mkono wake mwingine anaishika dudu yake na kusogeza kwenye mdomo wa binti huyu, mdogo ma mrembo, ambae anafumba mdomo wake kwa nguvu, “we Malaya mdogo, hebu fungua ilo domo lako kabla sija badili mawazo yangu, umeona baba yako anavyo nichezea” alisema mzee Songoro, huku ana zivuta nywele za binti huyo asie na hatia, ambae sasa analia kwa kugugumia maumivu ya nywele na uonga, pasipo kufumbua mdomo wake.


Hapo sasa, Zamda alikuwa ameongeza hasira za mzee huyu, maana alimsukuma kwa nguvu kitandani, “we mpuuzi hebu mgeuze huyu kahaba mtoto” alisema mzee Songoro, akimweleza yule mwanamke mwingine, huku yeye akimalizia kushusha suruali yake, na kuivua kabisa, na yule mwanamke akamshika Zamda kwanguvu, na kumlaza kifudi fudi, kisha akamkandamiza kwa kumwekea mguu wake mgongoni, na mikono ameishika vizuri kabisa, na hapo Zamda akajuwa nini kinataka kumtokea, hasa baada ya kumwona mzee Songoro anajiandaa kupanda kitandani, hakika Zamda alipiga kelele za kuomba msaada, pasipokuwa kujuwa kama kuna mtu yoyote anaweza kuja kumpatia msaada.


Naam lakini kabla mzee Uledi Songoro, ajapanda kitandani, mala ghafla wakasikia kishindo kikubwa nje ya mlango, nikishindo cha mtu akianguka, mzee Uledi akashtuka na kusitisha kupanda kitandani, “Kenny, nimesema siyo hapa bwana, nendeni nje, mukamuue huyo mshenzi…” kabla hajamaliza kuongea mara wakasikia tena kishindo kikubwa sana, safari hii kilikuwa nikishindo cha mlango ambao, ulipepea na kujibwaga chini, huku Kenny akifwatia juu yake, ni wazi yeye ndie alie ungoa mlango ule, baada ya kuuangukia, au kusukumwa na kitu kizito.


Hakika mshtuko alioupata mzee Uledi Songoro, siyo wa nchi hii ya maziwa na hasari, unge mwona baada ya kumhurumia nadhani ungecheka, maana ulikuwa ni mshtuko ulio ambatana na mshangao wa mwaka, huku akitoa macho kumtazama Kenny, ambae alikuwa amelala juu ya mlango ule pasipo kujitikisa, akibakia anakodolea macho mlango, ambako mzee Songoro alipo tazama, akamwona yule kijana anaingia kama vile kwake, na kumfwata moja moja mpaka pale alipokuwa amesimama, yani karibu na kitanda.


Hapo Zamda akamwona kwa ukaribu kijana yule, ambae ni kweli alikuwa na sura ya kuvutia, mwili wa kutamanisha kila mwanamke, ambae anapenda vitu vizuri, tatizo ni kwamba, safari hii kijana huyu alikuwa amelowa damu, katika mikono na nguo zake, ambae sasa alikuwa amesimama karibu kabisa na mzee Songoro, ambae alikuwa anatetemeka kwa uoga, “siku nyingine kumbuka huwa siachi mpango njiani, huo ni utaratibu namba tisa” alisema kijana huyu, kisha akamgeukia Zamda ambae alikuwa uchi kama aliyo zaliwa, “Zamda Simba siyo?” aliuliza yule kijana, wakatihuo yule kahaba, akiwa amesha mwachia Zamda, na kubakia pembeni akitetemeka kwa uoga, Zamda ambae alianza kumwogopa kijana huyu, akaitikia kwa kichwa kukubali, “ok! inuka twende” alisema kijana huyu, na hapo Zamda akainuka kwa haraka pasipo kujari hali aiyokuwa nayo, akamsogelea kijana huyu, ambae alivuta shuka moja pale kitandani na kumpatia Zamda, pasipo kusema kitu.


Na hapo Zamda akaelewa lile shuka lina maana gani, hivyo akajifunika haraka na kuanza kumfwata kijana wetu, ambae alianza kutembea kutoka nje, akimwacha mzee Uledi Songoro, akiwa ametoa macho kwa mshangao mkubwa, na kumtazama kijana huyu, mpaka alipotokomea kolidoni, “hawa washenzi wanamwachaje huyu mpuuzi anafanya hivi, ngoja nimwonyeshe kilicho mnyonyoa nyani manyoya makalioni” alisema mzee Songoro, huku anavaa haraka suruali yake na kufwata bastora yake kwenye mmfuko wakoti la suit aliloliacha kwenye kochi, kisha akatoka nje ya kile chumba, akimwacha yule kahaba, akiwa anastaajabu kwakile alicho kiona leo, kikimtokea boss wake Songoro, maana hakuna mtu yoyote mwenye jeuri ya kumfanyia hivi mzee Songoro.


Mzee Songoro, anapoibukia kwenye korido, akiwa amemwacha Kenny amelala juu ya mlango, anakutana na miili ya vijana wake watatu, ambao siku zote ufanya kazi ya kulinda kolido, hasa yeye akiwa ndani ya chumba kile, wakiwa wamelala sakafuni, juu ya vidimbwi vya damu, wametulia kimya kabisa, “mungu wangu, nini hiki” alishangaa Songoro, huku anatembea kuelekea nje, ambako alicho kikikuta ndio kilimshangaza zaidi, “hivi huyu ni binadamu au shetani” alijiuliza Songoro, ambae alisahau kabisa uovu aliowahi kuufanya kwa binadamu wenzake, na kuushangaa alicho kiona mbele ya macho kilicho watokea vijana wake…… Naam sehemu ya pili ndiyo imekatika hiyo, unazani huyu kijana ni nani, na kwanini amekubali kufanya kazi hii ya kuja kumchukuwa Zamda, ilikuwa sote basi cha kufanya like, comment, kisha endelea kufwatilia mkasa huu wa #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa, Jamii Forums kwa hisani ya watu wa Mbogo land, kwa KING Elvis
 
Tupo pamoja mkuu ,,, tayari kwa kufuatilia simulizi hii tamu toka kwa mtaalamu mwenyewe Edger mbongo
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA TATU
MTUNZI : Mbogo EDGAR
ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI: Mzee Songoro, anapoibukia kwenye kolido, akiwa amemwacha Kenny amelala juu ya mlango, anakutana na miili ya vijana wake watatu, ambao siku zote ufanya kazi ya kulinda kolido, asa yeye akiwa ndani ya chumba kile, wakiwa wamelala sakafuni, juu ya vidimbwi vya damu, wametulia kimya kabisa, “mungu wangu, nini hiki” alishangaa Songoro, huku anatembea kuelekea nje, ambako alicho kikikuta ndio kilimshangaza zaidi, “hivi huyu ni binadamu au shetani” alijiuliza Songoro, ambae alisahau kabisa uovu aliowai kuufanya kwa binadamu wenzake, na kuushangaa alicho kiona mbele ya macho kilicho watokea vijana wake……endelea….


Ambao walikuwa wamelalachini kama wanaugulia maumivu, huku damu zikiwavuja toka kwenye majeraha makubwa katika sehemu ambali mbali za miili yao, wakati huo huo, mzee Songroro, akiwa analishuhudia gari aina ya BMW jeusi la kisasa, likiondoka kwenye eneo la nyumba yake hii, iliyozungukwa na miti mirefu na vichaka vilivyo jifunga, “ninani huyu mpuuzi, Simba amemtoa wapi?” alijiuliza Songoro, swali ambalo wengi wetu tungependa kulipata jibu lake, huku anatoa jipapasa mfukoni kutoa simu yake, ambayo aliikosa, “huyu mshenzi lazima ni mjulishe kuwa mimi siyo wa mchezo” alisema hivyo bwana Songoro, huku anarudi ndani kwa haraka.*******


Naam, mashariki mwa pwani ya afrika, barabara ya mji mwema, pembezoni mwa jiji la dar es salaam, lilioneka, gari aina ya BMW 7 likitembea kwa mwendo wa kasi ya kilometer mia themanini kwa saa kati ya miambili themanini zilizo ainishwa kwenye dash board ya gari hilo la kisasa, kuelekea upande wa kigamboni, ambako lilitumia dakika tano kutembea kilomita nane, mpaka kufika kivukoni, yani upande wa kigamboni.


Ndani ya gari, Zamda binti Simba, alie kaa seat ya nyuma, ndani ya gari ili la kifahari, lenye kiyoyozi, chenye kuleta ubaridi wakupendeza, huku akiwa amejivirigia shuka, mwilini mwake, alimtazama kijana huyu kwa macho ya uoga na wasi wasi, maana kile alicho kishuhudia kwa macho yake ndani ya jumba la Songoro, siyo cha mchezo, “hata afanani na mambo aliyo ya fanya” aliwaza Zamda, huku anamtazama dereva wa gari, ambae licha ya kumtoa katika mikono ile hatari ya Songoro, lakini bado alikuwa hajaamini kama yupo sehemu salama, “kaka unanipeleka wapi?” aliuliza Zamda, wakiwa wamesimama mita chache toka kwenye lango la kivuko, wakisubiri pantoni, imalize kushusha ili waingie tayari kuvuka, “kwa mteja wangu” alijibu yule kijana kwa sauti tulivu, pasipo kuongeza neno.


Hapo zamda akashtuka kidogo, “mteja wako nani, kwanini usiniachie niende zangu?” aliuliza Zamda kwa sauti ambayo ilianza tena kutengeneza kilio cha kwikwi, “utaratibu wa 9 unanilazimu kukufisha sehemu usika” alisema yule kijana ambae siyo sauti tu, ata sura yake ni ya upole, na kama ungemwona kwa sasa, usinge dhania kuwa alikuwa ametoka kufanya shambulizi la kuuwa, “mteja wako anaitwa nani unaweza kuongea na baba yangu akakulipa fedha, uniachie niende nyumbani” alisema Zamda kwa sauti ye kuomboleza.


Wakati huo tayari magari yalikuwa yanaanza kuingia kwenye pantone, na dereva wa BMW nae akaondoa gari kuingiza kwenye pantone, “mteja wangu ni baba yako, unaweza kukaa kimya sasa” aliuliza kijana yule, wakati huo kuna ujumbe ukaingia kwenye simu yake, nae akaegesha gari alipo stahili, kisha akachukuwa moja ya simu yake kati ya simu nne zilizokwepo kwenye dash board ya gari lake, na kuitazama, akaufungua ujumbe ule ilioingia kwa njia ya whatsapp, “happy birth day pacha, habari za siku nyingi” kwa mara ya kwanza Zamda akamwona kijana yule anaachia tabasamu ambalo alikudumu kwa muda mrefu, “kumbe leo ni birthday yangu?” alijiuliza kijana huyu kwa sauti ya kunong’ona, huku tabasamu lake usoni likiyeyuka.


Nayeye akaandika ujumbe “Pacha kumbe bado unanikumbuka, Happy birthday na wewe” alipomaliza akautuma kwenye namba ile iliyoandikwa Pacha, na picha ya jarida ilikuwa ni ua jekundu la waridi, “ajabadiri hii picha” alijisema yule kijana, wakati huo watu wanamaliza kuingia kwenye pantone na lile pantone linaondoka taratibu kuelekea ng’ambo ya bahari, yani upande wa magogoni, maarufu kama ferry, huku ndani BMW kimya kikiwa kimetawala, sasa Zamda ambae alianza kuamini kuwa anapelekwa kwa baba yake, akimtazama kijana huyu kwa macho ya kipekee, akitamani kumwuliza swali moja la mwisho.********


Naam hii ilikuwa ni mwanzoni mwa mwaka 2014, yani tarehe 26 mwezi wa pili, kipindi ambacho tetesi za vita zilikuwa zimeenea kila kona ya afrika, vyombo vya habari vilikuwa zinazungumzia habari za machafuko ndani kwa ndani ya nchi nyingi za afrika, migogoro baina ya mataifa kwa mataifa, huku mengine yakijaribu kutupiana maneno, na kutunishiana misuri, nchi kubwa zikijaribu kukemea matendo hayo, huku baadhi yao wakifadhiri machafuko hayo, ambayo yalienda sambamba na kusambaa kwa biashara haramu ya silaha na madawa za kulevya, vilivyo sababisha matukio ya kiharifu kuongezeka, kama vile ujambazi, utekaji nyara kwa matajiri na watu mashuhuri, kama familia zao, yaani wake zao basi na watoto wao, utekaji ambao uliisha kwa mtekaji kudai fidia kubwa ya fedha ambayo, isipotolewa au muhusika akitaarifu jeshi la polisi, basi angekutana na mwili wa mpendwa wake, ambao ungekuwa umetenganishwa na kichwa, sambamba na matukio mengine mengi ya kudhalilisha, kama vile ubakaji na mengine mengi kwa wanawake.


Hofu zilikuwa zime tapakaa kila kona ya afrika, hasa kwenye majiji makubwa, kama vile Goma na Beni huko DRC, Kigari nchini Rwanda Mombasa na Nairobi nchini Kenya Kampala na Entebe nchini Uganda, Brantaya huko Malawi, Maputo huko msumbiji, hakika nikaribu sehemu nyingi za afrika, kasoro nchi za Tanzania na #Mbogo_land, ambako serikari zao zilichukuwa tahadhari kubwa sana za kiusalama, japo tetesi za kuwa nchi hizo zimegeuka kuwa maficho ya viongozi na watu watu wanao jiusisha na matukio hayo ya kiharifu, zilikukuwa zinazidi kusambaa, na serikari kuanza kuwasaka watu hao.


“hivi hawa watu wamechoka ugali katika amani?” aliuliza mzee mmoja wa makamo, alie kuwa amekaa juu ya kochi moja kubwa la watu watatu, huku pembeni yake wakionekana watoto wadogo, ambao kwa haraka haraka ni kama walikuwa na miaka kuanzia mitatu mpaka sita, ambao usingeweza kusema ni watoto wake, ila pengine ni wajukuu, ambao awakuwa na uwezo wakumjibu mzee huyu, alie kuwa anatazama habari kwenye television kupitia shirika moja kubwa la habari duniani.


Wakati huo taarifa iliyokuwa inazungumzia machafuko na maovu yanayoendelea duniani, mara simu yake iliyokuwa mezani, ikaaanza kuita, akaishukuwa na kutazama jina la mpigaji, “Sngoro anajipya gani usiku huu?” aliuliza mzee huyu wa makamo, kabla ajapokea simu na kuiweka sikioni, “hallow niambie mkurugenzi” alisema mzee huyu, huku anatazama kwenye moja kuta zake, akilenga sehemu yenye picha tatu.


“kaka naomba msaada wako” ilisikika sauti toka uande wapili, sauti ambayo ilionyesha wazi kuwa katika mshangao au mshtuko mkubwa sana, “niambie Songoro, msaada gani unaitaji” aliuliza mzee huyu, huku anaitazama picha ya upande wa kushoto, ambayo ni picha ya mama mmoja mtu mzima, chini yake kukiwa na maandishi Ester Mwanya, “kaka sikutegemea kuona mtu kama huyu hapa Tanzania, ni maajabu kwakweli” alisema sema tena bwana Songoro, ambae ni wazi alikuwa katika mshtuko kubwa sana, kiasi cha kumshangaza ata mzee huyu alie kuwa ameganda na simu sikioni mwake, maana akuwai kumwona mbabe au kumsikia huyu jamaa akiwa katika hali kama hii.


“sijakuelewa bwana Songoro, nini kime tokea, ebu nieleze kinaga ubaga, ilinijuwe na kusaidiaje” alisema mzee huyo, huku anaamishia macho yake kwenye picha ya upande wa kulia, na kuitazama picha ya mwanamke mwenye mkadilio wa umri kati ya miaka 32 mpaka 34, yenye maandishi Agness Ulenje, “kaka kuna mpuuzi amevamia hapa kwangu, amefanya vurugu ya ajabu, yani sikutegemea kama kuna mtu anaweza kuchezea korodani za simba kwa dharau namna hii” alisema Uledi Songoro, wa sauti ile ile, ambayo ilionyesha wazi kuwa leo amepata mbabe wake.


Hakika mzee wetu hapa, alijikuta anatajitabasamulia mwenyewe, huku ana tazama picha ya kati kati, ambayo ni picha yake mwenyewe, inayo mwonyesha, akiwa amevalia mavazi ya jeshi la polisi, huku nyota zikiwa zina ng’aa mabegani mwake, na chini ya picha hii kulikuwa na maandishi ya makubwa, CP Keneth Paul Ulenje, “Songoro, nakuja sasa hizi, nieleze upo wapi” alisema mzee huyu huku anainuka toka kwenye kochi, nakuanza kutembea kuelekea upande wa vyumbani, akipishana na mama mmoja mtu mzima, aliekuwa anatokea upande wa jikoni.


“kabla ujaanza safari ya kuja huku, ebu hakikisha, una tuma polisi wawahi, barabara ya posta ya zamani, wakalikamete BMW 7 jeusi, namba sija zikariri. maana aliondoka kwa speed kali sana, ila ndani kuna watu wawili, dereva ambae nahitaji nimuuwe kwa mkono wangu, na mschana ambae lazima pia nimpate akiwa hai, nataka nimbake mbele ya baba yake” alieleza Songoro, kwa sauti iliyomaanish alicho kisema, wakati huo bwana Ulenje akiwa anafungua mlango wa chumbani kwake na mke wake, “usijari bwana Songoro, sasa hivi napiga simu, na wengine watakuja hapo hakikisha unafagia uchafu” sasa sauti ya bwana Ulenje inasikika toka chumbani, huku mama yule ambae ndie mwenye picha ya upande wa kushoto, yani Ester Mwanya, akitoa macho kwa mshangao, kutazama mlango wa chumba chao… endelea kufwatilia mkasa huu wa #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa, jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA NNE
MTUNZI : Mbogo EDGAR
ILIPOISHIA SEHEMU YA TATU: na mschana ambae lazima pia nimpate akiwa hai, nataka nimbake mbele ya baba yake” alieleza Songoro, kwa sauti iliyomaanish alicho kisema, wakati huo bwana Ulenje akiwa anafungua mlango wa chumbani kwake na mke wake, “usijari bwana Songoro, sasa hivi napiga simu, na wengine watakuja hapo hakikisha unafagia uchafu” sasa sauti ya bwana Ulenje inasikika toka chumbani, huku mama yule ambae ndie mwenye picha ya upande wa kushoto, yani Ester Mwanya, akitoa macho kwa mshangao, kutazama mlango wa chumba chao… endelea…


Alitamani kuuliza lakini hakuona sababu ya kufanya hivyo kwa haraka, maana vitu kama hivi utokea mara nyingi sana toka afahamiane na bwana Ulenje, hasa kutokana na kazi zake za kijeshi la polisi, “OCD toa askari, kumi wawahi poster, target gari aina ya BMW 7 jeusi, linatokea kivukoni, fanya haraka sana, pia wasiliana na askari wapale ferry, wahakikishe wanalizuwia gari hilo” ilisikika sauti ya Mzee Ulenje, toka chumbani, ambako alitumia dakika tatu tu, akafungua mlango na kutoka nje, huku anaendelea kuongea na simu, “pia chagua askari wengine sita waambie tukutane kivukoni, naenda nao kigamboni” kisha akakata simu, na kumtazama yule mwanamke mtu mzima, “mke wangu mimi natoka mara moja, kuna dharula imejitokeza kazini” alisema Cammission wa Polisi Ulenje, kisha pasipo kusubiri mke wake atajibu au kuongea nini, akachukuwa funguo zagari juu ya kabati, na kuondoka zake, kutoka nje.*****


Naam dakika tano baadae, tayari kituo kidogo cha kivukoni kulikuwa kimesha pata taarifa ya kuzuwia gari aina ya BMW 7, ambalo lilikuwa linatarajiwa kuvuka kwa Pantoni, muda mfupi ujao, wakati askari wawili wa jeshi la polisi wenye vyeo vya constable, wakiwa wametulia kwenye gate la chumba tayari kukagua gari moja baada ya jingine, litakalo pita toka kwenye pantone, macho yao yakiwa baharini kulitazama pantone lililokuwa linaachia gate la upande wa pili ya ni wakigamboni, na kuanza kuja upande huu wa kivukoni.


Wakati polisi hawa wanatazama lile Pantone, mara wakaliona gari aina ya land Rover puma likiingia, kwa kasi na kusimama kwenye maegesho ya magari ya kituo kidogo cha ferry, kilichopo karibu kabisa na yanaposimama ma gari ya abiria, yaani dala dala, kisha wakashuka polisi kumi, wakiongozwa na askari mwenye cheo cha A-lnsp, wote wakiwa na bunduki aina ya SMG mikononi mwao, na kutembea kwa haraka kuingia ndani ya eneo la kivuko, bunduki zao wametazamisha chini, kwa mwendo wa kutawanyika, mwendo ambao, kiutendaji unaitwa mwendo mchanganyiko, ambao mara nyingi hutumika kupita kwenye kwenye makundi salama ya raia, sharti lake mtutu wa bunduk ziwe zimetazama chini, kama walivyo fanya hawa askari.


Raia waliwatazama askari mara moja na pasipo kuwashangaa wakaendelea na safari zao, maana nchi hii ya amani, raia wasinge tilishaka lolote kuonekana kwa polisi hawa, ambao waliingia kivukoni, kupitia barabara ya magari, wakiwafwata wale askari wawili, wakati huo pantone ikiwa inazidi kusogea, na kuukabiri ufukwe wa magogoni, katika ghuba hii ya bandari ya salama.


Askari wanafika pale kwenye geti, ambalo mara zote huachwa wazi, kwaajili ya magari kutoka, lakini leo lilikuwa limefungwa, constable mmoja kati ya wale wawili anasalimia kwa salamu ya kijeshi, kwamana ya salout, “jambo afande” alisema yule constable, huku kiganja cha mkono wake wa kulia, kikiwa usawa wa jicho lake la kulia, “jambo, Constable, nadhani taarifa mmesha zipata ndio maana mpo hapa kwenye gate” alisema yule afisa wenyewe alama ya nyota moja moja kila upande wa bega lake, huku nayeye anapiga saluti na wote wakashusha mikono yao.


“ndiyo afande, tena kwa bahati nzuri, wakati taarifa inakuja ndio pantone lilikuwa linaondoka kuelekea ng’ambo, na ndio ilo lina geuka” alisema yule polisi Constable, “ok! sikia toka kwangu askari, target ni gari BMW jeusi, ndani kuna watu wawili, mwanaume na mateka wakike” alisema yule A-insp wakati huo askari walikuwa wamesimama kwa kujipanga mstari ambao, xtended line, kutazama kule pantone liliko, yani baharini, ambako sasa pantone lilionekana linakuja taratibu, kulenga gati, la kushushia abiria.
Naam wakati polisi hawa wanaendelea kutazama lile pantone lililokuwa lina shusha mlango wake kwaajili ya kushusha abiria, mala wakaliona gari jingine la polisi, ambalo lilikuwa na na askari watano, nao pia wakiwa na bunduki zao mikononi, nyuma yao kukiwa na gari jingine dogo la kiraia, aina ya Toyota Prado, ambalo walilitambua mala moja, kuwa ni gari binafsi, la kamanda wa polisi, mkoa wa kipolisi mashariki.


Hapo yule A-insp akalisogelea gari hilo la kiraia, ambalo sasa linaonekana kwa uwazi kabisa, kioo cha upande wa dereva ukishushwa, na kutupa nafasi ya kumwona bwana Ulenje, huku insp anapiga saluti kikakamavu, “shikamoo afande, sisi tupo hapa, bado tunasubiri pantone ili kulikamata hilo gari lililoshukiwa” alisema yule inspector msaidizi, huku ameganda na salut yake kichwani, “vizuri inspector, wacha na mimi nishuhudie kabla sijavuka” alisema Ulenje, na hapo insp akaonyesha ishara ya kufunguliwa kwa gate, yani lile la upande wa kutokea magari, na magari yale mawili yakaingia, yani la polisi, na hili la bwana Ulenje.


Naam dakika chache baadae, Ulenje na askari aliokuja nao, wakiwa wamesha shuka toka kwenye magari na kuungana na wenzao, wakawaona watu wanaanza kushuka toka kwenye pantone, sambamba na magari yaliyokuwa yana anza kutoka taratibu, na wao wakafungua geti kidogo, huku wakiruhusu gari moja moja, ni baada ya kujiridhisha kuwa siyo lile walilo lihitaji, muda wote wa zoezi askari walikuwa makini, kwa ukaguzi, huku bunduki zao zikiwa tayari mikononi mwao, kukabiliana na jambo lolote ambalo lingeweza kutokea.


Zoezi lilitumia dakika ishirini tu, lakini ukweli ni kwamba mpaka gari la mwisho linatoka, hawakuwa wameliona gari linalofanana na lile ambalo walitajiwa, “imekaaje hii inspector, mnauhakika toka taarifa itolewe pantone haikuvuka?” aliuliza CP Ulenje, kwa sauti ya mashaka, “ndiyo afande, mara tulipo pigiwa simu, tulikuja hapa mara moja na kufunga hili geti, wakati huo panton, lilikuwa linaondoka kuelekea Kigamboni” alie jibu alikuwa ni yule constable wa kituo cha Ferry, “pengine sasa hivi ndiyo atakuwa anasubiri pantone, hebu ingzeni gari kwenye panton, mkatazame upande wapili” alisema CP Ulenje kamanda wa kanda maalumu ya mkoa wa kipolisi wa Mashariki, kisha akaliwasha na kuingiza gari lake kwenye pantone, huku gari la askari alio kuja nao, likifwata nyuma yake, wakiwaacha wale wengine wanaigia kwenye gari lao, wakiongozwa na insp, na kuingia kwenye pantone, kama walivyo agizwa.*******


Ukweli ni kwamba mawazo yao hayakuwa sawa, maana mida hii tayari gari aina ya BMW 7, lilikuwa kwenye foleni ya magomeni usalama, likisubiri taa ya kijani, liweze kuendelea na safari.


Ndani ya gari Zamda ambae alikuwa amesha baini kuwa dereva wake siyo mtu hatarishi kwake, alijikuta ana pata hamu ya kumfahamu kijana huyu, mwenye sura ya upole, na pengine kujenga nae urafiki, japo yeye akujuwa ni urafiki wa aina gani anautamani kwa kijana huyu, ila alijikuta akivutiwa nae, maana alicho kiokoa, ni kikubwa na chenye maana kubwa kwake.


Zamda akiwa seat ya nyuma amekumbatia shuka, lililohifadhi utupu wake, alimtazama kijana dereva, ambae ni mvivu wa kuongea, alionekana kuwa makini na barabara muda wote, japo mara kadhaa alimwona akishika simu yake na kusoma ujumbe, kisha kujibu, huku akiwa katika mwendo mkali, “samahani kaka, kwani wewe unaitwa nani?” aliuliza Zamda huku anajitabasamulisha, na wakati huo huo, ukaingia ujumbe kwenye simu ya kijana wetu, ni ile ile aliyokuwa anawasiliana na mtu anae mwita Pacha, “unashrehekea wapi leo birth day yako?” ndivyo ilivyo uliza ile sms, nae akaijibu kwa haraka, “nipo ofisini, tena nilisha sahau kama leo ni siku ya kuzaliwa kwangu” alimaliza kuandika na kutuma, kisha akatulia na kutazama mbele, ambako sasa magari yalikuwa yameshaanza kutembea, kuelekea Kinondoni.


Hapo Zamda akajuwa kuwa akukuwa na dalili ya kujibiwa, “dereva jamani si nimekuuliza, unaitwa nani jamani” aliuliza Zamda Simba, ambae mpaka sasa alikuwa amesha ona dalili ya kuelekea nyumbani kwao, “hakuna kujuwa majina, huo ni utaratibu wangu namba moja” alijibu kijana yule, ambae umri wake nikati ya miaka 23 au 24, huku anachukuwa simu yake na kutazama ujumbe uliingia, akaufungua huku anazidi kukanyaga mafuta, “kwani wifi hajakufanyia surprise, au ndio bado hujampata?” mwisho wa ile sms dereva alitabasamu kidogo, alafu akatulia kidogo, kabla ya kujibu ile sms, “kwahiyo we dereva hata mwanamke wako hakujuwi jina” aliuliza Zamda, huku anajaribu kucheka kidogo, maana alidhania kuwa kijana huyu, mwenye uwezo wa kupigana, alikuwa anafanya utani katika utoaji wa majibu yake.


Kijana wetu akujibu kitu, zaidi alikuwa busy na ujibuji wa sms, toka kwa pacha wake, “bado” alijibu kwa kifupi kijana wetu, na kuituma ile sms, kisha akaandika nyingine “samahani Pacha, wacha nimalizie kazi hapa ofisini, halafu nikifika nyumbani nita kuchek” halafu akaituma kwenye namba ile ile, yenye picha ya ua ridi, alafu alipomaliza akaiweka simu pembeni, huku ana achia pedor ya mafuta na kukanyaga blake kidogo, pamoja na clutch, halafu akapunguza gia toka namba tano kwenye nne kisha tatu, na kusa babisha gari lipunguze mwendo, wakati wakikatiza maeneo ya kinondoni studio kwenye kituo cha dala dala, na alipokivuka tu, akaongeza mwendo, huku anapanga gia, kama anafanya mchezo wa utani, na kulifanya gari lizidi kukimbia na wakati huo huo akasikia moja kati ya simu zake nne ikiita.


Hapo kijana wetu hakuangaika kutazama jina la mpigaji, akachukuwa kitu flani mfano hear phone toka kwenye dash board yake, na kupachika sikio moja, halafu akabofya kitufe cha kupokelea kwenye ile simu yake kubwa ya kisasa, “hallow dereva hapa, nakusikiliza tafadhari” alisema yule kijana, akutulia kusubiri upande wapili, “mambo suka?” ilikuwa ni salam toka kwenye sauti tamu ya kike, yenye pose la kumbembeza, sauti ambayo ingepaswa apewe mume au mchumba, mwenye kutoa huduma, “poa tu nakusikiliza tafadhari” alisema yule kijana wetu, huku anatazama ile simu, kama ni kweli simu ya kazi au amefananisha.


Nikweli ilikuwa simu ya kazi, simu ambayo huitumia kuwasiliana na wateja wake wanaoitaji huduma ya usafiri, “nimefurahi kusikia hivyo jamani” alisema yule mwanamke, ambae kama ungepata bahati ya kumsikia jinsi avyo kuwa anaongea kwa namna ile, ungesema ni watu wanao shiriki mapenzi na kijana huyu, “yah! nakusikiliza, nipe jukumu” alisema Dereva ambae alijuwa kuwa mpigaji hajakosea namba, na anafahamu fika ile simu ni kwaajili ya kazi tu.


“ok! suka kesho naitaji unisafirishie mzigo wangu, unatoka Mwenge karibu na NMB, kwenye duka lime andikwa MAMA SPACE, jitambulishe Dereva, mzigo utapelekwa shekilango, pale Sistafada Motel, muda ni saa mbili usiku, chumba namba nane ghorofa ya nne” ilisema yule mwanamke mwenye sauti ya kike, ya kupenda, kubembeleza iliyo jaa ushawishi, na hamasa katika harakati za kitandani, “ok! nipe hali ya uzito wa mzigo, daraja la mzigo, na usalama wa usafirishaji” aliuliza kijana wetu, ambae alikuwa anaendelea kuendesha gari kwa speed kama vile analazimika kwenda na muda flani, wakati huo walikuwa wanakaribia njia panda ya Moroco, “uzito, haufiki hata kilo, usalama ni mkubwa sana, thamani yake laki mbili” alijibu yule mwanamke kwa sauti ile ile, ambayo kama unauwezo wa kujaji mtu kupitia sauti ungejuwa kwa, uzuri wa mwanamke huyu, siyo wataratibu, na ni mwanamke wa mjini, mwenye maisha ya hali ya juu. endelea kufwatilia mkasa huu wa #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa jamii forums
 
Haya waungwana usiku mwema tukutana kesho tumjue dereva ni nani hasa na huyo pacha ni nani na baada ya mpango huu kuna mpango gan? Vp mzee songoro na askari wa ulenje watampata dereva wa BMW nyeus?
 
Haya waungwana usiku mwema tukutana kesho tumjue dereva ni nani hasa na huyo pacha ni nani na baada ya mpango huu kuna mpango gan? Vp mzee songoro na askari wa ulenje watampata dereva wa BMW nyeus?
Huwenda dereva akawa kaka yake Edgar
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA TANO
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WATSAPP: 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA NNE: “ok! nipe hali ya uzito wa mzigo, daraja la mzigo, na usalama wa usafirishaji” aliuliza kijana wetu, ambae alikuwa anaendelea kuendesha gari kwa speed kama vile analazimika kwenda na muda flani, wakati huo walikuwa wanakaribia njia panda ya Moroco, “uzito, haufiki hata kilo, usalama ni mkubwa sana, thamani yake laki mbili” alijibu yule mwanamke kwa sauti ile ile, ambayo kama unauwezo wa kujaji mtu kupitia sauti ungejuwa kwa, uzuri wa mwanamke huyu, siyo wataratibu, na ni mwanamke wa mjini, mwenye maisha ya hali ya juu. endelea

Hapo dereva wetu akashusha pumzi ndevu ya kuchoka, maana yeye amezowea kusafirisha mizigo ya hatari, lakini sasa anaambiwa kuwa, mzigo hakuwa na hatari yoyote, na thamni yake ni laki mbili, hapo akaona kuwa ni utani, lakini kutokana na utaratibu wake namba 7, hakutakiwa kudharau kitu wala mtu, “ok! malipo elfu hamsini, utanipatia nikifisha mzigo, lakini utatakiwa kuzingatia kuwa, hakuna ujanja, huo ni utaratibu namba 5” alisema dereva, akitaja elfu hamasini kwa kutegemea kuwa mwanamke huyu, angeona bei kubwa, na kughairi mpango, “wala usiwe na wasi wasi, natukienda sawa, nita kuongezea mala dufu ya elfu hamsini” alisema yule mwanamke, huku akizidi kuipooza sauti yake, “ok! mpango umekubaliwa” alisema dereva na kukata simu, wakati huo, anapunguza mwendo kuingia njia panda ya Moroco, na kukata kushoto kuelekea barabara ya mwenge, kisha akaongeza mwendo, pasipo kujari sms zilizokuwa zinaingia kwenye ile simu yake nyingine, muda wote mschana mdogo Zamda akiwa anamtazama kijana huyu, kwa macho ya viulizo, na kushindwa kupata jibu.*******

Yap! wakati kama huu, kusini mashariki mwa Tanzania, pembezoni mwa mto Ruvuma, kaskazini mashariki mwa msumbiji, ndani ya nchi ndogo ya kifalme, nchi iliyosaahulika katika ramani ya dunia, kutokana na kuchelewa kutambuliwa na umoja wa mataifa, nchi ya mbogo #land_land, inayoongozwa na mfalme Elvis Mbogo wa kwanza, mwenye makazi yake katika ngome ya dhadhabu, kwamaana ya Golden Castle, iliyopo ndani ya jiji la Treanch Town, kwa maana ya Treanch Town City.

Tuachane na King Elvis, twende kusini mwa mji huu wa TT, mpaka nje kidogo ya jiji Hilo la Trench Town, ni pembezoni mwa barabara ya kuelekea upande wa msumbiji, katika kitongoji kidogo cha Mmajile, (mmemaliza), mji ulikuwa umechangamka kwa burudani, kama ujuwavyo mji huu, jioni na nyakati kama hizi, watu hutumia muda wao na familia zao, au wapenzi wao, kupata burudani katika bustani za viunga vya jiji, huku wakipata vinywaji na vitafunwa mbali mbali.

Hayatuhusu hayo, sisi twendeni moja kwamoja mpaka kwenye jengo moja kubwa, la ghorofa kumi na mbili, ambao lilikuwa alijamaliziwa ujenzi wake, lililokuwa limezungushiwa uzio wa mabati, kama wafanyavyo wakandarasi wengine wanapofanya ujenzi mkubwa kama huu.

Ndani ya uzio huo yana onekana magari nane ya kifahari, ni jambo la kawaida kwa nchi hii kuona magari kama haya, maana wanachi wengi ni mtajiri, lakini licha ya magari hayo nane, pia kulionekana vijana kumi na tano, walio valia nguo nyeusi, kwa maana ya suruali nyeusi za jinsi, na tishert nyeusi, zilizo kamata miili yao, kichwani kofia nyeusi za cap, waswaili uita kapelo, mikononi mwao wakiwa na bunduki aina ya HECKLER &KOCH G95 toka GERMANY ASSAULT RFLE 5.56MM, H K G 95, yaani hecler & koch G 95, iliyotengenezwa nchi germany assault refle yenye mtutu wa mzingo mill miter 5.56, kwa faida ya msomaji, ni aina ya silah iliyotumika kumuuwa Osama bin laden mwaka 2011.

Wakionekana kuwa makini sana, katika ulinzi wa eneo hilo, lenye mwanga hafifu, vijana hawa walionekana wakiwa wamejipanga kwa kuachiana nafasi ya mita kati ya kumi mpaka kumi natano eneo lote la mbele.

Achana na eneo ili kwa nje, huko ndani katika moja kumbi za jengo hilo, lenye giza, zilionekana taswira za vimvuli vya giza, vya watu kama sita hivi, ambao kiukweli usingeweza kuona sura zao, walionekana kuwa katika mpango flani mzito sana, “bwana James Carvin, alitoroka nchini mwaka 1988, na kukimbilia tanzania, ambako anaalianzisha tena biashara zake na kuwa mfanyabiashra mkubwa na tajiri” alisema mmoja wao, aliekuwa amesimama mbele yao, huku wengine watano, wakiwa wamesima kwa kutengeneza nusu mwezi, huku wakionekana kumsikiliza kwa umakini mkubwa sana.


“bwana James Carvin, ambae kwa sasa anamiliki viwanda vikubwa vya vyakula unga na vinywaji, huko Tanzania, alikimbia nchini, akikwepa tuhuma za uhaini, alionekana kuwa alikuwa anafadhiri kikundi cha kijeshi cha waasi wa zamani, kilicho fahamika kwa jina la harakati za uhuru kwa damu” alisema tena yule ambae walikuwa wanamtazama, ambae kwa haraka alionekana kuwa na umri mkubwa zaidi yao, “naamini bwana James atakuwa na hasira kali sana na serikali, hivyo akielezwa anachotakiwa kufanya juu yetu, lazima ataungana na sisi, na kutusaidia kulipia kontena ishirini za silaha mabomu na risasi, kwaaajili ya mapinduzi, pamoja na kutusaidia chakula kwaajili ya askari wetu waliopo msituni” alisema yule jamaa, ambae licha ya kuwa gizani, na rangi yake kuwa nyeusi, pia alikuwa amevalia koti refu jeusi, suruali nyeusi, viatu vyeusi, na kofia ya duara yeusi yenye kuziba uso wake.


“Lakini mheshimiwa, itakuwaje kama atakataa, maana Jemes nikama mtu wa kufata sheria pia” aliuliza mmoja kati yao, ambae alionekana kuvalia nguo zinazofanana na wale vijana wa nje, “sikia bwana Tambwe, fanya kama nilivyo kuagiza, mweleze kwamba, mimi nimesema, kuwa, endapo tutachukuwa nchi hii, yeye atakuwa huru kuchimba dhahabu, kufanya biashara bila ushuru wowote, pia atapewa eneo kubwa sana la kufungua biashara yake na pia atapewa kandarasi ya kuchimba gass na mafuta, lazima atakubari tu, na kumbukeni kuwa mzigo hupo njiani, sikutatu baadae unatia nanga Queen Irine Bay, lazima tuwe na fedha ya kulipia kwa wale jamaa watukabidhi mzigo wetu” alisema yule alie itwa Mheshimiwa, safari hii akionyesha msisitizo mkubwa, “lakini mheshimiwa, nadhani itakuwa vizuri kama tukiwa na mpango mwingine, maana uwezi kujuwa James atasemaje” safari hii alishauri mtu mwingine, na siyo yule alie itwa Tambwe, huyu alikuwa amevaa suit nyeusi na kofia nyeusi.


Hapo mheshimiwa akatulia kidogo kama sekunde tano hivi, kisha akamtazama yule alie shauri, “sasa nimekuelewa, bwana Kadumya, mpango wapili upo, na utatekelezwa muda mchache sana baada ya huu wa kwanza kushindikana” alisema mheshimiwa ambae mpaka sasa hatuja mfahamu kwa jina, huku wale wengine wakimsikiliza kwa umakini mkubwa sana, “Kadumya hakikisha vijana wako wanafwata maelezo, ikiwa pamoja na endapo huu wakwanza utashindikana, wamuuwe James, kisha watahamia kwenye mpango wa pili, ambao nita wapa muda mfupi baada ya mpango wa kwanza, japo sitegemei kama James akiona mitutu ya bunduki usoni mwake, ataweza kusema hapana” alisema Mheshimiwa akionekana kuwa mwenye uhakika zaidi.


Naam baada ya hapo hawa kutumia muda mrefu mahala pale, wakaagana, “Kadumya, hakikisha vijana wako, wanapanda ndege kesho mapema, kuelekea Tanzania, nguo na silaha watazikuta huko huko, kwa bwana Mbwambo, kule temeke kaburi moja” alielekeza Mheshimiwa, kabla hawajaondoka zao, kwa namna ya siri kama vile Hawakuwa pamoja.******


Naam turudi kigamboni, ambako tayari polisi walisha kagua magari yote yaliyokuwa yana subiri kuingia kwenye kivuko yani Pantoni, pasipo kuliona BMW jeusi, na kuamua kurudi walikotoka, huku CP Ulenje akitoa maagizo askari wasambae maeneo yote kulisaka gari ilo, na yeye pamoja na askari watano wakaelekea upande wa mji mwema, kwenda kumwona bwana Songoro.


Ilikuwa ni safari ya dakika kumi na tano, mpaka kufika kwenye nyumba ya bwana Songoro, iliyo jitenga ndani ya eneo moja kubwa lililozingikwa na vichaka vifupi na minazi mirefu, sehemu ambayo walipofika tu, wakapokelewa na bwana Songoro alie simama sambamba na yule mwanamke, ambae sasa alikuwa amevalia chupi aina ya bikini na sidilia kifuani kwake, kati kati ya eneo la mbele la ile yumba kubwa, huku wakionekana watu waliokuwa wanagala gala chini kwa maumivu makali, huku wengine wakiwa wamepoteza fahamu zao, idadi yao ikifika zaidi ya kumi, huku zikionekana silaha mbali mbali zajadi na zile za kisasa, yani visu mapanga na bastora, vikiwa vimetawanyika eneo lile, huku baadhi ya ya watu hao wakionekana kuvujwa na damu , toka kwenye majelaha mbakubwa, katika sehemu mbali mbali za miili yao.


CP Ulenje alitoa macho kwa mshangao, “Songoro unasema alikuwa kijana mmoja tu?” aliuliza CP Ulenje kwa mshangao, “ukweli sikuwai kufikiria kama kuna mtu anaweza kuwa kama yule kijana, hakika namwitaji na tena namwitaji nimkate kiungo kimoja baada ya kingine” alisema Songoro kwa sauti iliyo jaa chukizo na kasiriko, “vijana tayari wapo kazini, naamini muda siyo mrefu watamtia nguvuni” alisema Ulenje, wakati huo wanaingia ndani, na kukagua watu wengine walio kuwa bado wanagala gala kwa maumivu, wapo waliolalamikia mbavu wapo waliolalamikia nyuso zao, na wapo walio lalamikia miguu yao, ilimradi kila mmoja wao alipata anacho stahili, “unampango gani na hawa watu Songoro” aliuliza Uledi , wakati wanaendelea kukagua mle ndani, “wajinga hawa wanawezaje kupigwa na mtoto mrembo kama yule” alisema Songoro ambae hakuonyesha dalili ya kuwa saidia vijana wake, waliokuwa wanataabika pale chini, “huyo kijana atakuwa tatizo hapa mjini, inabidi apatikane haraka sana” alisema CP Ulenje, huku anatoa simu, kubofya namba kisha akaipiga na kuweka sikioni.


Simu haikuita muda mrefu, ikapokelewa, “OCD mambo ni mazito, kuna uvamizi mkubwa umetokea huku mji mwema kigamboni, kwa mfanyabiashara Songoro, agiza gari la wagonjwa lije huku, pia peleka taarifa vituo vyote vya polisi, hapa mjini, msako mkali uendelee, malengo ni BMW jeusi, kamata kila anae hisiwa mpaka apatikane, na taarifa itolewe kuwa ni mtu hatari sana huyo” alisema CP Ulenje, mara tu baada ya simu kupokelewa, “sawa mkuu inatekelezwa” alijibu OCD, na hapo Ulenje akakata simu, kisha akamtazama Songoro, “hakiki hakikisha unaondoa hizo silaha hapo nje” alisema Ulenje, kwa msisitizo.*******


Naam barabara ya bagamoyo, mtaa wa tegeta, njia panda ya kwasharifu, linaonekana gari moja jeusi aina ya ford ranger likiwa limesimama pembeni ya barabara hiyo, huku mtu mmoja, mwenye mwonekano wa miaka 40, akiwa amesimama ubavuni mwa gari ilo, huku uso wake, ukionekana kujawa na mashaka mengi, mara kwa mara alikuwa anatazama saa yake, na kisha kutazama upande wa mjini, ni wazi alikuwa anatarajia kuona mtu au gari likitokea upande huo….. hivi huyo mzee James atakubari mpango wa mheshimiwa, ebu tuone kitakacho tokea. basi… endelea kufwatilia mkasa huu wa #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa jamii forums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom