Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Mkuu, misukule ya CHADEMA uwezo wake wa kufikiri ni mdoho sana. Inabwabwaja tu. jana Mburula mwenzao Henry Kileo alitangaza na kuhamasisha wasanii wasusie kazi za akina JB. Hii inanikumbusha Dr Slaa alivyokuwa analumbana na mchumba wake Rose Kamili eti kwa vile tu alikuwa ni Diwani wa CCM

View attachment 136842View attachment 136842

Halafu nasikia anagombea Uraisi kupitia CDM huyo mama. Sasa sijui anataka malumbano yaendelee.
 
Hakuna kucheka na nyani hapa,safi kwa kuliona ilo.Tunamchukia zitto sababu anacheka na kula na Nyani.Akina Ridhiwani na Makamba ni manyani tu.Kamanda wa cdm aliyeiva acheki na mafala hawa
 
naamini wana ccm wooooooote wanafanywa kinyume ......
 
hata mimi
stashiriki shughuri yoyote ya bongo muvi,wala kununua cd zao!!!!
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

...naunga mkono hoja 100°\°...
 
Pole mgonjwa kwa kusahau kumeza dawa sleepin pil umemeza asubuhi
 
Mbona unapokea bumu la chuo kutoka serikalini? Lema mwenyewe anaiponda CCM lakini anapokea pesa kutoka serikali ya CCM mpaka amefanikiwa kujenga nyumba ya kuishi kupitia fedha hizo hizo.
 
Upo sahihi maana utakuwa unaamini katika slogan inayosema...A friend of your enemy is also your enemy...
 
Mbona wenzako tulianza mapema? Mi sipandi gari la mwanaccm, sili hotel ya mwanaccm, sinunui kazi za Chegge pamoja na kuwa namkubali, siangalii tbc, sina chombo au kitu chenye rangi ya kijani. Kwa ujumla nachukuia Ccm na mambo yake na watu wake!!!!

usitembee kwenye barabara za lami sababu zote ni za sisiemu, usinunue kitu chochote dukan kwa sababu wafanyabiashara wote wanalipa kodi serikali ya ccm
 
Mawazo ya kipuuzi sana haya. Kwani kati ya chadema na wazazi wako, nani ni muhimu zaidi? Au kati ya wazazi wako na CHADEMA, nani ana umri mkubwa zaidi. Ndo maana huww tunasema kuwa wafuasi wa CHADEMA ni zaidi ya misukule

Lol....
 
Back
Top Bottom