Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

He he he,naona siku hizi siasa zinaendeshwa kama mapenzi, hadi kususa?!

Yaaani kajamaa kamenisikitisha sana sasa sijui mkewe akiwa na.itikadi tofauti katamuacha???!!!
Yaani imagine baba yake ni chama tofauti???!!!!!
Au kawe kana soma halafu supervisor ni wa chama tofauti yaani mtu kama Prof Baregu akatae kusimamia PhD ya mwanafunzi mwanachama wa CCM au awatoe darasani???!!!
Au Lissu akatae kesi ya hivyo na Billicanas watu waingie kwa kadi!!!!!

Mtoto kama huyu bora ya jogoo utakunywa supu!!!!!!
 
HAYA NI MAPAMBANO MKUU , ukicheka na nyani UTAKUFA NJAA , UBAYA WA CCM UNAFAHAMIKA , KILA ANAYEIUNGA MKONO LAZIMA APIGWE VITA .

A poor strategy! !!!!!
Angalieni wakuu wenu wanavyohusiana kisiasa na kijamii na watu wa kambi hasimu then mtajifunza!!!!!
 
huu upinzani wa chuki umesambazwa na cdm. Watu wanadhan kuwa mpinzani ni kumchukia mshndani wako!
 
Chama mzigo hutoa viongozi mizigo,na viongozi mizgo huunda serikali mizgo,tangu kupatikana kwq uhuru wa nchi hii chama mzigo kimefanya nni ambacho kilitekelezeka kwa 100%,zaid ya kuziua hata zilizojili facillties walizoacha wakolon kama viwanda nk,tumewachoka na mwisho wenu unakuja,tuone kama mtaenda kuchuku elfu saba saba pale Lumumba...😎
 
Chama mzigo hutoa viongozi mizigo,na viongozi mizgo huunda serikali mizgo,tangu kupatikana kwq uhuru wa nchi hii chama mzigo kimefanya nni ambacho kilitekelezeka kwa 100%,zaid ya kuziua hata zilizojili facillties walizoacha wakolon kama viwanda nk,tumewachoka na mwisho wenu unakuja,tuone kama mtaenda kuchuku elfu saba saba pale Lumumba...😎


Weka mkakati wa hoja itajadilika sio kutoa hoja zisizotekelezeka!!!!!
Sasa kajamaa kanasema hata basi hakapandi eti sasa sijui kataenda TABOA na SUMATRA kupata listi ya wamiliki then kaende makao makuu kujua uanachama wa wamiliki???!!!!

Kuna watu wanatumia daladala, taxi, bhajaji na bodaboda huko kote mpango kama huu utafanikiwaje????!!!

Hata kama ni mwanachama mkereketwa sawa ila sasa hata kukuhoji atavyotekeleza azimio hamtaki!!!!
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Usiishie hapo, kuonyesha hasira zako, Shule na hospitali zao usiende, barabara zao usipite, bar/hotel zao usiingie...
 
Umeteswa na kunyanyaswa na CCM kwa zaidi ya miaka hamsini wakati CCM Yenyewe ina miaka 37. HAsira ni mbaya tupunguze jazba.
 
Ukereketwa wa chama usikufanye uwe kipofu hadi kujua ukweli.CCM haina miaka 50.CCM ilizaliwa 1977.Hiyo miaka hamsini ya CCM umeitoa wapi?

Halafu unasema ilivyotunyanyasa watanzania sema ilivyokunyanyasa wewe kama ni kweli usiwasemee watanzania wengine.Nani aliyekuteua wewe kuwasemea? Kuna ambao kama mimi binafsi CCM imenisaidia sana tena sana na ningependa itawale miaka 50 ijayo.

Anawafanya Watanzania hawana akili. Jisemee mwenyewe.
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

huwa naenda moro kila wiki nimeshagoma kupanda adood huwa napanda BM nikwavile simfahamu mmiliki akiwa kada wa ccm nazo nazimwaga.
 
Usiishie hapo, kuonyesha hasira zako, Shule na hospitali zao usiende, barabara zao usipite, bar/hotel zao usiingie...
mi natumia vitu walivyotengeneza wakoloni tu.
Shule ya kanisa
Hospital ya kanisa
barabara za kodi yangu na mikopo
Hotel na bar siingi hata kidogo
 
Usiishie hapo, kuonyesha hasira zako, bar zao usiingie...

Hapo mkuu utakuwa umeua CHADEMA.Wanachama wengi wa Chadema BAR ndio kama matawi ya CHADEMA kunakoongelewa sera za chama na kuponda serikali.Ukiwazuia kukanyaga bar iwe ya mwana CCM au mwana CHADEMA Utaua chama.Hata munkari wa kuongea au kushangilia CHADEMA huwa unakolea pale watu wakipata pombe ya viroba na bia za kilimanjaro.
 
huwa naenda moro kila wiki nimeshagoma kupanda adood huwa napanda BM nikwavile simfahamu mmiliki akiwa kada wa ccm nazo nazimwaga.

If the company knows of your absence/presence!!!!!!!
Ukitaka kuwakomoa tembea kwa mguu kabisa!!!!!
Hata BM kodi wanalipa TRA na inarudi serikali ya CCM!!!!
 
CCM ikiwa na mawazo kama yenu basi mjue kuwa hamtakuwa salama. Maana wao wanamiliki kila kitu

hakuna chochote nchi hii kinachomilikiwa na ccm , acha kujidanganya ! Mking'oka madarakani utalikumbuka andiko hili .
 
Mbona wenzako tulianza mapema? Mi sipandi gari la mwanaccm, sili hotel ya mwanaccm, sinunui kazi za Chegge pamoja na kuwa namkubali, siangalii tbc, sina chombo au kitu chenye rangi ya kijani. Kwa ujumla nachukuia Ccm na mambo yake na watu wake!!!!
 
Mbona wenzako tulianza mapema? Mi sipandi gari la mwanaccm, sili hotel ya mwanaccm, sinunui kazi za Chegge pamoja na kuwa namkubali, siangalii tbc, sina chombo au kitu chenye rangi ya kijani. Kwa ujumla nachukuia Ccm na mambo yake na watu wake!!!!
aaaaahaaa hata mboga za majani pia huli aaaahaaaa misukule kazi kweli kweli
 
Mbona wenzako tulianza mapema? Mi sipandi gari la mwanaccm, sili hotel ya mwanaccm, sinunui kazi za Chegge pamoja na kuwa namkubali, siangalii tbc, sina chombo au kitu chenye rangi ya kijani. Kwa ujumla nachukuia Ccm na mambo yake na watu wake!!!!

Kaburu mweusi wewe kwa uwongo hujambo.Angalia hapo juu kwenye JAMII FORUM.Kuna nembo ya FAST JET ina kijani mbona hujasusa jamii forums?

Kwa hiyo hata mboga za majani huli sababu zina rangi ya kijani.Na mbuzi na nyama choma huli kwa sababu huwa wanyama hao wanakula majani ya kijani? Naomba mwenye simu au e-mail ya wodi ya vichaa hospitali ya Vichaa Mirembe aitume kwako kwa msaada zaidi just in case ukereketwa ukizidi ukaona kichwa kimewaka ujue umtaarifu nani.
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Yaan mkuu nakuunga mkono kbs! Hiki chama cha nyundo na jembe, nyundo imetubondabonda sn na jembe limetufukia kbs, chama cha unga hiki kimeharibu vijana wetu,
 
Back
Top Bottom