Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Mtahangaika sana na bado tutawaibia kura mwakani
 
Viongozi wa ccm na vijipambe vyao kama wewe ndo empty skul

Ha ha haaaa typical one!!!!!!
Weka hoja bana mambo ya kibao kata ya nini hapa!!!!!!

Kuna tija ya kuwa maadaui sababu ya political inclination???!!
 
mkuu hayo nimapenzi yangu binafsi na naichukia abood kwakuwa ni kada hiyo nikweli na haizuiliki.
Sukari unatumia ya kiwanda gani mkuu? ???!!!!
Sabuni ya kufulia niaje???!!!!
Imported goods unajua wanaoingiza wote na nasaba zao ki vyama???!!!!!

Haya sasa uandike na list ya watakao kuzika kabisa maana watu watakuja mchanganyiko!!!!!!!
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.


Tuko pamoja Ndugu na hii ndio Slogani yangu sikuzote na itabadilika tu pale CCM itakapo kufa na kuzikwa.
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Msimamo wako binafsi kwa msukumo wa gongo..... Mchungaji Msigwa sadaka zitapungua mkiendekeza huu ujinga wenu
 
Acheni kutembea kwenye barabara zilizojengwa chini ya serikali ya ccm.... Ili tujue nyinyi mna msimamo wenu. Waseee....kweli nyie
 
Ndo kwanza wanasherehekea miaka 37 ya kuzaliwa ccm, wewe unaseam miaka 50, over exaggeration...
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Me too!!
 
Si utani, ndio maana avatar yako ni yajogoo aliye mzidi urefu bwana wake lakini anafugwa tu
 
bila shule ya ccm ungeweza wapi kuandika pumba zako hapa, kajifunze kwanza kusema asante CHAMA CHA MAPINDUZI wewe na wote wenye kuota ndoto za mchana
 
ccm na rushwa, ccm na ufisadi, ccm na magamba, ccm na mizigo, ccm na huduma mbovu za afya, ccm wazee wa division5, ccm mapedeshee wa kufelisha watoto na wadogo zetu kwa %61, ccm wazee wa kuwabaka wadogo eg kapuya, ccm ni kama shetani kwa sababu maovu yote kwao ni furaha tuwakatae Watz
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.

Kiapo hiki na kiheshimiwe na kufuatwa na wote .AMINA
 
Acheni kutembea kwenye barabara zilizojengwa chini ya serikali ya ccm.... Ili tujue nyinyi mna msimamo wenu. Waseee....kweli nyie
Kajifunze kiswahili kwanza, ukimaliza rudi kujenga hoja.
 
Back
Top Bottom