Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Adui yangu ni mtu yoyote anayeiunga mkono CCM

Mbona unapokea bumu la chuo kutoka serikalini? Lema mwenyewe anaiponda CCM lakini anapokea pesa kutoka serikali ya CCM mpaka amefanikiwa kujenga nyumba ya kuishi kupitia fedha hizo hizo.

Hela ya Bum sio hela ya ccm.Ni hela ya baba yangu anayokatwa kila siku akinunua vocha,mkaa,sukari na inarudishwa.Afu imeandikwa kwenye katiba kila mtu atapata ujira kutokana na kazi anayoifanya
 
Siwezi kucheka na mtu yoyoye anae iunga mkono ccm kwa namna yoyote ile , kwani na jua jinsi CCM walivyo tutesa na kutunyanyasa watanzania kwa zaidi ya miaka hamsini.

Hasira zangu zitaishia kuto kununua kitu chochote watakacho kua wanauza hata kama ni gari la abilia basi sita panda.Kwa sababu najua hao ndio wanao chelewesha mabadiliko nchini, mfano gazeti la jambo leo, bongo movie, clouds media na wengine.

Huu ni msimamo wangu binafsi na hausukumwi na mtu yoyote.
kwa maelezo yako basi hawa wote wametangaza uadui na wewe tangu jana.
9.jpg
 
mambo ya kibavicha bavicha..........mwacheni aropoke ropopke kama.....................
 
Naona hata kupata mitandao ya kijamii nayo imewafanya muwe na hasira ndomana tumekuwa hatuna uwezo wa kufikiri maisha mbele yatakuwaje tunakurupuka kila kukicha........
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

Maneno ya Hekima hayo!Siasa sio Uadui
CC#Ben Saanana#Mungi#Tundu Lisu#Mwita Maranya
 
Nimefikiria na kurudi upya, nadhani ni haki kwa hawa wasanii kujiunga Ccm! Hivi wanaokamatwa na madawa ya kulevya huwa wanatumwa na Chadema? Hawa watu wanajuana ila sema tu jana waliamua kuweka mambo hadharani.

Tuombe uzima kama hawa waliokabidhiwa kadi hawatakuja kukumatwa na madawa! Huna biashara haramu unatafuta nini Ccm?
 
Mbona wenzako tulianza mapema? Mi sipandi gari la mwanaccm, sili hotel ya mwanaccm, sinunui kazi za Chegge pamoja na kuwa namkubali, siangalii tbc, sina chombo au kitu chenye rangi ya kijani. Kwa ujumla nachukuia Ccm na mambo yake na watu wake!!!!

Nawe umezidi hata majani njiani utayaruka sasa......
 
Hapo mkuu utakuwa umeua CHADEMA.Wanachama wengi wa Chadema BAR ndio kama matawi ya CHADEMA kunakoongelewa sera za chama na kuponda serikali.Ukiwazuia kukanyaga bar iwe ya mwana CCM au mwana CHADEMA Utaua chama.Hata munkari wa kuongea au kushangilia CHADEMA huwa unakolea pale watu wakipata pombe ya viroba na bia za kilimanjaro.

Tatizo wa TZ twajifanya wajuaji sanaaaa......
 
huu upinzani wa chuki umesambazwa na cdm. Watu wanadhan kuwa mpinzani ni kumchukia mshndani wako!

CCM ni zaidi ya SHETANI!Mshindani gani atakutumia vijana wakulipue MABOMU kisa umemzidi hoja?

Sio kununua tu CD na tapes vijana wasusie hata kuingia kwenye matamasha Yao!!!!
 
Mbona unapokea bumu la chuo kutoka serikalini? Lema mwenyewe anaiponda CCM lakini anapokea pesa kutoka serikali ya CCM mpaka amefanikiwa kujenga nyumba ya kuishi kupitia fedha hizo hizo.

una mawazo ya kijinga na hujielewi!!! unadhani ccm ndo inamlipa???? analipwa kwa kodi yetu na ni haki yake tumlipe!
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

Mkuu,
Labda mimi sielewi hapa!Hivi kuna umeme wa CCM?Kuna barabara za CCM,Kuna shule za CCM?Eti hata KUB analipwa na CCM!!!!Hivi nyie vijana.wa Lumumba mmerogwa na nani?

Hivyo vyote ulivyovilist hapo juu vinafanyika kutokana na kodi tunayolipa!Tumeipa jukumu CCC la KUSIMAMIA etekelezaji tu!

Tatizo linakuja pale tu huduma tunazopata hazilingani na kodi tunayolipa,ndo maana tunasema.........


CCM HAIKUBALIKI,UNGANA NA WAZALENDO KUITOKOMEZA!
 
If the company knows of your absence/presence!!!!!!!
Ukitaka kuwakomoa tembea kwa mguu kabisa!!!!!
Hata BM kodi wanalipa TRA na inarudi serikali ya CCM!!!!
wewe akiri zako sijui ziko wapi unashindwa kutofautisha chama na serikali huu ni upumbavu.
MIMI MWENYEWE NALIPA KODI.
 
Mkuu,
Labda mimi sielewi hapa!Hivi kuna umeme wa CCM?Kuna barabara za CCM,Kuna shule za CCM?Eti hata KUB analipwa na CCM!!!!Hivi nyie vijana.wa Lumumba mmerogwa na nani?

Hivyo vyote ulivyovilist hapo juu vinafanyika kutokana na kodi tunayolipa!Tumeipa jukumu CCC la
KUSIMAMIA etekelezaji tu!

Tatizo linakuja pale tu huduma tunazopata hazilingani na kodi tunayolipa,ndo maana tunasema.........


CCM HAIKUBALIKI,UNGANA NA WAZALENDO KUITOKOMEZA!

Hebu tenganisha basi tuone ukomo wa CCM kwa serikali na kodi inayokusanywa! !!!??????
Kwa hoja yako hiyo sasa kama CCM hawana walifanyalo then unaunda wazo kuwa chama cha siasa hakina msukumo katika serikali husika????!!!!
Sasa CDM inakuwa ya nini tena????!!!!!

Weka weakness ya chama husika then angalia inavyopwaya katika kutimiza matarajio ya walio wengi!!!!!!
Ukimaliza hapo sasa ndio unakuwa na base ya ku argue kuwa say chanzo cha mapato ya nchi kutoka revenue authority iliyo chini ya serikali iliyoundwa na chama hiki hayatoshelezi so msimamizi atoke; the point is sio KUB tu hata ruzuku ya chama kizima inatokana na serikali ya chama hiko hiko!!!!!

Mafao yao hayo (yaliyoongezwa) yanapitishwa na waziri ambaye ni mbunge wa chama hiko hiko na hawajayakataa so far!!!!!!

Tafuteni mkakati mpya huu umefeli kabla ya kuanza!!!!!!!!
 
wewe akiri zako sijui ziko wapi unashindwa kutofautisha chama na serikali huu ni upumbavu.
MIMI MWENYEWE NALIPA KODI.

Kama chama na serikali ni vitu viwili tofauti basi wewe hujui tofauti ya "appearance and essence" ndio maana kila siku nasema hivi ukombozi unataka maarifa juu ya kujikomboa sio muhemko kama wako huu!!!!!!!! Mwerevu huwezi kushindwa kuangalia na kujua tofauti ya mambo yanavyosemekana au yanavyoongelewa na uhalisia wa jambo hilo hilo!!!!!

Weewe ndio wa kuniita mimi --------? ???!!!!anyway labda ina maana zaidi ya ninayoijua mimi ila sio neno kwa leo ngoja nikugeuze wewe uwe na jina hilo sasa!!!!!

Mwenyekiti wa chama ndio rais wa nchi na ndiye anampendekeza waziri mkuu then wanaunda baraza ,ndiye anateua wakuu wa nchi wote unaowajua wewe!!!!!!!

Kwa umri wako kuzingatia "unalipa kodi" hutakiwi upewe
torch ili kubaini fusion iliyopo!!!!!

Kalaga baho!!!!!!! Wakati wa kuunda tume ya uchaguzi ndio utajua nini nazungumza hapa kama hukusikia vilio vya walioshika akili yako wakati wa wajumbe wa bunge la katiba!!!!
 
Vipi kuhusu umeme na maji mkuu????!!!!
Hospitali nazo na mashule???!!
Vipi barabarani nako hutopita???!!
Main Sewer system utaweka yako au utachimba cha shimo???!!!!

Mind you KUB anatumia gari ya hao wewe unaowazungumzia na chama kinapata ruzuku kutoka huko mfuko mkuu na wakikutana wao wanapiga story kama kawaida!!!!!!Observe your limits bana!!!!!


Hebu kuwa na busara kidogo mkuu haya mambo yanataka mpango kazi wa kuondoka point A mpaka B,sio mihemko tu sasa kiasi cha kupangia na wengine jinsi ya kuishi,weka mkakati watu wakiona unatekelezeka watakufuata tu sababu hakina apendaye dhiki!!!!!

Andika urithi kabisa mkuu just incase!!!!!

hivyo vinatokana na kodi yangu, deni la taifa ambalo nnawajibu wa kulilipa na laslimali za nchi yangu, sio kweli kwamba vinatoka ccm
 
hivyo vinatokana na kodi yangu, deni la taifa ambalo nnawajibu wa kulilipa na laslimali za nchi yangu, sio kweli kwamba vinatoka ccm

Running away from your own shadow!!!!!!!
Ndio wanasimamia na kuratibu kila kitu kwa sasa mazuri na mabaya!!!!!

Once again the only way out kwa sasa kwa ultimatum uliyoweka ni kukatisha uhai wako tu,otherwise futa kauli na utafute njia inayotekelezeka!!!!!
 
Back
Top Bottom