Adhana Kupigwa Marufuku Denmark

Adhana Kupigwa Marufuku Denmark

Serikali ya Denmark imefungua upya ukaguzi wa pendekezo la sheria inayohusu wito wa kupiga marufuku 'Adhana' kusikika tena nchini humo, Waziri wa Uhamiaji Morten Bødskov alithibitisha kuwa serikali itaanza tena uchunguzi wa iwapo katazo la nchi nzima la kutangaza mwito wa Kiislamu wa sala kupitia vipaza sauti vya misikiti linaweza kutekelezwa,
-
Waziri Morten alisema 'Adhana haupaswi kusikilizwa juu ya paa za nyumba za raia wa Denmark, Haina nafasi nchini Denmark, na raia wa nchi hii hawatakiwi kuhisi kama wapo kwenye mitaa ya Islamabad kila wakati sababu ya adhana',
-
Mabishano ya jambo hili yanahusu haki za umma isiyo ya kidini huku wengine wakidai sheria hio itakiuka haki za kidini za kikatiba na kuwalenga Waislamu tu,
Source SamMisago
Dini zote ni utapeli wa kukaririshwa na kuwa brainwashed.
I had a friend some time back alikuwa anaweka alarm ⏰ kwenye simu yake yaani kila muda was swala alarm inamstua sasa haya mambo adhana ya stone age systems ni kelele na usumbufu.
 
Sasa sijui wanacho kifurahia kipi

WAZUNGU wanachuki na UISLAM inajulikana wazi👈

Lkn hata ikiwa ni kweli nyinyi
Je
Wakristo mnajua ULAYA Hakuna kabisa mambo ya YESU YESU Haleluyaaa

na sio kuwa Ukristo kumepigwa marufuku 👈

hapana manake waumini wa kumwamini uyo YESU ndio hakuna
yani unaweza sena Imani ya Ukristo imefirisika Kabisa Ulaya 👈

WAZUNGU wapo tu kuhusu MUNGU mawazo ya MUNGU
wameyatupa mbali uko!!!

Sasa japo bado UISLAM unawaumin
uko Ulaya kiasi unafanyiwa ujuma 👈

UKRISTO ndio bai bai kabisa

Uduma za kirohoo Mzungu hataki kuzisikia

Kama kapata Msiba
Uduma kuna kampuni za kuzika👈

Kuoa na kuolewa
Uduma kwenye kampuni za WAKILI
Post namba tatu umesema wazungu wanaukimlia Uislam.
Post namba Nne unasema; Wazungu wanachuki na uislam wich is wich?.
 
Sasa sijui wanacho kifurahia kipi

WAZUNGU wanachuki na UISLAM inajulikana wazi👈

Lkn hata ikiwa ni kweli nyinyi
Je
Wakristo mnajua ULAYA Hakuna kabisa mambo ya YESU YESU Haleluyaaa

na sio kuwa Ukristo kumepigwa marufuku 👈

hapana manake waumini wa kumwamini uyo YESU ndio hakuna
yani unaweza sena Imani ya Ukristo imefirisika Kabisa Ulaya 👈

WAZUNGU wapo tu kuhusu MUNGU mawazo ya MUNGU
wameyatupa mbali uko!!!

Sasa japo bado UISLAM unawaumin
uko Ulaya kiasi unafanyiwa ujuma 👈

UKRISTO ndio bai bai kabisa

Uduma za kirohoo Mzungu hataki kuzisikia

Kama kapata Msiba
Uduma kuna kampuni za kuzika👈

Kuoa na kuolewa
Uduma kwenye kampuni za WAKILI
Dini zote tu ni story za kusadikika fiction.
 
Waislamu kwao hawajali kuhusu imani za wengine ila wao kwa watu wanataka recognition na taratibu zao zizingatiwe!!

Juzi walikuwa wanataka manispaa zitenge maeneo ya kuzika waislamu na kwa sasa kila Ijumaa barabara baadhi zinafungwa watu wanafanya ibada barabarani.

Hata huku tumechelewa sana,waweke alarm simu zao.
 
Exactly makelele kinyama unakuta nyumba za Jirani Kuna wagonjwa au ni karibu na hospital watu wana magonjwa kibao mara mtu anasikia makelele ya kengele sijui adhana au hao walokole can you imagine!!!
Nilisahau na bar pia ,watumie sounds PROFF, izi baa zinazo weka ma speaker kama fridge huku nje wapigwe marufuku.
 
Kuna mji kwa Trump wasomali walitaka graduation day ibadilishwe shule yote kwa sababu ilikuwa sikukuu yao ya kiislam, sio watu hawa
 
Hao wanaelewa dini zilikujakuja tu kihuni ndomana wanaamua lolote, ila ukutane na mzenji hapo dini imemfia aisee hakulewi
 
Serikali ya Denmark imefungua upya ukaguzi wa pendekezo la sheria inayohusu wito wa kupiga marufuku 'Adhana' kusikika tena nchini humo, Waziri wa Uhamiaji Morten Bødskov alithibitisha kuwa serikali itaanza tena uchunguzi wa iwapo katazo la nchi nzima la kutangaza mwito wa Kiislamu wa sala kupitia vipaza sauti vya misikiti linaweza kutekelezwa,
-
Waziri Morten alisema 'Adhana haupaswi kusikilizwa juu ya paa za nyumba za raia wa Denmark, Haina nafasi nchini Denmark, na raia wa nchi hii hawatakiwi kuhisi kama wapo kwenye mitaa ya Islamabad kila wakati sababu ya adhana',
-
Mabishano ya jambo hili yanahusu haki za umma isiyo ya kidini huku wengine wakidai sheria hio itakiuka haki za kidini za kikatiba na kuwalenga Waislamu tu,
Source SamMisago
Nuanga mkono pendekezo hili. Kwanini kupigiana mikelele wakati wanapokwenda kazini hakuna anayewapigia azana kwenda kazini?
 
Utapasuka bule kwa chuki buddy,Waislamu mchi za Magharib hawatumii vipaza sauti ila wapo wengi mno,na wazungu wanaingia kwenye uislaam kila kukicha.
Mzungu huyo wa kujiunga na mudi akili zake zichunguzwe. Kwamba na yeye anataka mabikra 72 😂😂😂😂
 
Zote zipigwe chini kila mtu akasali kwa Siri na siyo kuitana kwa kelele za speeka na maspika makubwa nikiwa raid wa jamuhuri ya Malawi naanza na hili
 
Hapana, wazungu wanaongezeka kwa kiwango kidogo kutokana na kuzaa watoto wachache ila wahamiaji walio waislamu, kwa mila na ruhusa ya kuoa zaidi ya wake wawili wanazaliana kwa kasi.

Ninachokiona, ingekuwa enzi za kutokuwa na haki za binadamu, wazungu wangetumia force ili kuziondoa hizo jamii kwa sababu waislamu hawana kawaida ya kuishi kama wenyeji wao ila wana tabia ya kujaribu kuwabadilisha wenyeji wao wafuate imani zao.

Sasa hiyo kwa wazungu sio rahisi
Upo sahihi kidogo,ni kawaida ya watu wanaojielewa,siunaona wazungu walitukuta na mila zetu wakatubadirisha mpaka majina, mavazi . kweli wazungu hawazai ila waliowengi wanapenda kujuwa vitu kiundani,na kawaida ya uislaam ukiusoma deep hutoki utasilim tu. Mbona hili likowazi bro. Tujadili habari za nchiyetu na hawa makatili ssm haya ya adhana sijui nini yatatupotezea mda na kutugawa tu. wenyewe wazungu wanawathamini waarab kuliko sisi waafrika, kosa likifanywa na mweusi mmoja weusi wooote mtakiona,ila kwa waarab ipo tofauti.
 
Back
Top Bottom