Umekufa katika hali gani? Kuiba? Kuchoma mali za watu?UKifa umekufa tuu
Kwahiyo Kilwa adhana saa 11 asubuhi, wakisha swali wanaenda wapi?Kagame alishapiga marufuku hizi kelele. Kwa watu ambao waliwahi kufika kilwa au kuishi ndio wanajua kero za hizi adhana. Haswa wakati wa ahsubuhi.
Kilwa kila baada ya nyumba 15 kuna msikiti na yote inapiga kelele za adhana ahsubuhi ya saa 11. Wakati bado kuna watu wamelala wanawaamsha kwa kelele.
Mimi naona sawa tu.
Nenda kawaambie CCM waache kuapishana kwa hizo diniWAZUNGU Walikwishaacha biashara ya Mungu sijui YESU kitambo MAKANISA
mengi yapo kwenye matumizi mengine kabisa✍️
Lkn mizwazwa inashangilia kuzuiya kwa Adhana tu.🫎🫎🫎
Siku saudia ikiruhusu wakristo wajenge makanisa na kuabudu ndio siku nchi za kikirsto ziruhusu waislam kupaza adhana zao.Serikali ya Denmark imefungua upya ukaguzi wa pendekezo la sheria inayohusu wito wa kupiga marufuku 'Adhana' kusikika tena nchini humo, Waziri wa Uhamiaji Morten Bødskov alithibitisha kuwa serikali itaanza tena uchunguzi wa iwapo katazo la nchi nzima la kutangaza mwito wa Kiislamu wa sala kupitia vipaza sauti vya misikiti linaweza kutekelezwa,
-
Waziri Morten alisema 'Adhana haupaswi kusikilizwa juu ya paa za nyumba za raia wa Denmark, Haina nafasi nchini Denmark, na raia wa nchi hii hawatakiwi kuhisi kama wapo kwenye mitaa ya Islamabad kila wakati sababu ya adhana',
-
Mabishano ya jambo hili yanahusu haki za umma isiyo ya kidini huku wengine wakidai sheria hio itakiuka haki za kidini za kikatiba na kuwalenga Waislamu tu,
Source SamMisago
Dalili zaAliezuia Adhana utaona kitakachomtokea. Badala wazuie ushoga, madisco na ulevi wao wanazuia adhana.
Sema makaffir usiseme wakristo unakosea!Siku saudia ikiruhusu wakristo wajenge makanisa na kuabudu ndio siku nchi za kikirsto ziruhusu waislam kupaza adhana zao.
UKifa umekufa tuu
Mi sikuumbwa nilizaliwaPumzi uliyonayo inatoka kwa huyo huyo aliekuumba, anakufanya upumue na uishi, sasa endelea kuwa na kibri mzee baba
Ongezea nyingine nichagueUmekufa katika hali gani? Kuiba? Kuchoma mali za watu?
Mi sikuumbwa nilizaliwa
Mbona mujahidin hamtaki makanisa huko saudiaMakafri Hayataki Mchezo Na Nchi Yao Denmark
Mbona watu wadini mnapenda kutisha watu sanaPumzi uliyonayo inatoka kwa huyo huyo aliekuumba, anakufanya upumue na uishi, sasa endelea kuwa na kibri mzee baba