Kaka nafikiri kifo sio adhabu,ni ngumu kusema kifo ni kibaya wakati hakuna mtu aliyeenda na kurudi kutuambia jinsi kifo kilivyo kibaya,....
Hebu fikiria,mtu anlawiti vitoto,anaua watu kwa sababu na imani za kipuuzi,............hapa ni lazma mtu ajutie kile alicho kifanya
...Tena kunyongwa ingebadilika iwe kuchinjwa kwa msumeno.
Yaani una akili san wewe, nakugongea na "Like" ya mwaka mpya!
Ndiyo imepitwa na wakati, kwani tukiangalia lengo la hukumu ya kifo kama adhabu kwa wahalifu haijafaulu, adhabu ipo lakini watu bado wanaua labda kama llengo ni kulipiza kisasi(REVENGE) bas haijapitwa na wakati lakin kama ni (DETERENCE) IMEPITWA NA WAKATI