Aden Rage: Mwigulu Siyo msemaji Wa Lowassa

Aden Rage: Mwigulu Siyo msemaji Wa Lowassa

Kama mapumbu ndiyo yanampa kiburi Mwigulu na kuwa gaidi naunga mkono akatwe mapumbu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Mnaonyesha ni jins gani mlivyokuwa Mbugila..
 
Gooooooooooooo ..no.no Penaaaaaaaaaaaaaaaaaaat.......,,,,
Hapana ...amenawaaa!
 
Hakuna wa kumzuia lowasa kuwa rais wa tanzania iwe ndan ya ccm au nje me npo radh kutoa mali zangu zote kuhakiksha lowasa anakua rais akna membe na sta maskn watahamishia familia zao ikulu kutapanya mali lowasa mirad yake tu kwa sku anaingza bilion 5..membe milion 5 sta milion 3.5 lowasa anaenda ikulu kutumikia watanzania wengne wote waganga njaa

Wewe ndiye Chief Accountant/Treasurer wa Edward Lowasa?
 
Hivi lowasa kwa akili yake anaona kama mwigulu anaushawi kwa watz,kweli lowasa anatapatapa.
 
akitoa komenti kuhusiana na kauli ya mwigulu kwamba rais, lazima awe lowasa na wala siyo membe wala sita. Bw. Rage kajibu mapigo akisema ni mke wa Lowassa tu ndiye angetamka maneno kama yale. hizo ni ndoto za mchana, Lowassa hawezi kuwa rais. alafu mwigulu akome kumtaja Membe kila kitaka kupitisha ujumbe wake kwa bosi wake

Asante sana Rage, Maneno hayo yanamfaa Mwigulu!... "Msemaji wa Lowasa ni mkewe,.. vinginevyo afanye coup":A S thumbs_down:
 
watanzania tumefikia pabaya sana hivi kweli tunajadili hata EL kuwa rais kweli nchi hii watu wake wamefilisika akili

Mkuu usishangae kwa hili maana Makamba alishawahi kusema kwamba Watanzania ni wasahaulifu sana. Watu wameshasahau aliyoyafanya EL ndani ya nchi hii. Hawatabui kuwa ugumu wa maisha walio nao(siyo watanzania wote) unatokana na maamuzi yaliyofanywa na viongozi waliokuwepo na walioko madarakani. Kusaini mikataba mibovu na ya siri isiyo tija kwa taifa ni baadhi ya mifano ambayo viongozi wetu wamefanya kwa maslai yao na sasa yanatugharimu sasa kwa sababu ya usahaulifu na ushabiki bila kujali madhara ya kuwa na viongozi wabinafsi, fisadi, wanaopenda kutawala kuliko kuongoza. Tutafakari..
 
Damu ya Msafiri Mbwambo, Mbwana Masoud, Daudi Mwangosi, Yohana Mpinga (yule kiongozi wa UVCCM kule Ndago), na wengine wengi, zitakaa kichwani.

Damu za majeruhi wa matukio mbalimbali, zitamwandama. Machozi ya watoto yatima, machozi ya wajane...machozi ya wananchi wasiofurahishwa na mambo haya, zitakuwa kichwani...

mkuu wangu, tumwachie mwenyezi Mungu atahukumu kwa muda na wakati utakao mpendeza muumba wetu.
 
kwa kauli ya Rage! Kwa hiyo Mwigulu ni basha wa Lowassa! asante Rage!
 
msimamo wa mwenyekiti 2015 ndio utakao kifanya ccm kiendelee kuwa hai,la sivyo ya KANU yaweza jitokeza.
 
Hakuna wa kumzuia lowasa kuwa rais wa tanzania iwe ndan ya ccm au nje me npo radh kutoa mali zangu zote kuhakiksha lowasa anakua rais akna membe na sta maskn watahamishia familia zao ikulu kutapanya mali lowasa mirad yake tu kwa sku anaingza bilion 5..membe milion 5 sta milion 3.5 lowasa anaenda ikulu kutumikia watanzania wengne wote waganga njaa

Baba yetu Julius Kambarage Nyerere aliwakataa
1. John Samweli malechela - Ahsante Mungu amejichokea na kubwagwa na kibajaji!
2. Jakaya Mrisho Kikwete - Laana inawakumba wote waliomchagua rais kijana (miaka 50 sijui kijana gani!). Nchi haijulikani nani ni mtawala. mauaji yanaongezeka kila siku. Hakika chaguo la Mungu limekuwa laana Kutoka kwa Mungu!
3. Edward Ngoyai Lowassa - Mwalimu alimtaka atueleze mali ametoa wapi kwa umri alionao?
Hakika waliomuua nyerere wanataka kuachiana zamu! mpaka tutakaposhtuka tutakuwa tumechelewa. Watanzania amkeni sasa nchi inauzwa! WALIOLAANIWA NA KUKATALIWA NA BABA WANATULETEA LAANA WATANZANIA!
 
Migulu akatwe mapumbu nchi itulie..

Pamoja mkuu!! Huyu Mzinzi dawa yake ni hiyo tu halafu tuone yule malaya wake alietoroka Cdm kumfuata huko Ccm atafanyeje!!

Kama Rage kaongea hivyo basi itakuwa Mwigulu ni mke wa EL ndio maana anamsemea Mume wake. Yetu macho.
 
ningekuwa na uwezo ningewachochea kina Rage, Mwigulu na wenzao wapingane zaidi na kurushiana shutma mbalimbali

Mwanakijiji,

Sema kaka.Ndiyo tumemaliza kikao cha kamati kuu mda huu.

Tafadhali hiyo hoja ya kuwapiganisha akina Mwigulu usiiongee tena.Tutawasiliana zaidi kaka zaidi ya hapa.

Stay Blessed.
 
membe,lowas wote hamna kitu hawana misimamo wafuata upepo kutuzubaisha wananchi,
 
Back
Top Bottom