Aden Rage: Mwigulu Siyo msemaji Wa Lowassa

Aden Rage: Mwigulu Siyo msemaji Wa Lowassa

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2009
Posts
3,444
Reaction score
265
akitoa komenti kuhusiana na kauli ya mwigulu kwamba rais, lazima awe lowasa na wala siyo membe wala sita. Bw. Rage kajibu mapigo akisema ni mke wa Lowassa tu ndiye angetamka maneno kama yale. hizo ni ndoto za mchana, Lowassa hawezi kuwa rais. alafu mwigulu akome kumtaja Membe kila kitaka kupitisha ujumbe wake kwa bosi wake
 
Mungu ataamua mwenyewe kuhusu mateso wanayopata watu wasio na hatia wanaofungwa kwa amri za Mwigulu Nchemba.

Watakulana wao kwa wao mpaka wamalizane.
 
Last edited by a moderator:
vita ya panzi kunguru hufaidi, walitulia sasa wameanza tusubiri kuona siri nyingi za mwigulu adharana sasa
 
vita ya panzi kunguru hufaidi, walitulia sasa wameanza tusubiri kuona siri nyingi za mwigulu adharani sasa
 
Mwigulu ni msemaji wa Chama Cha Manyang'au (Mafisadi na Magaidi)
 
Mungu ataamua mwenyewe kuhusu mateso wanayopata watu wasio na hatia wanaofungwa kwa amri za Mwigulu Nchemba.

Watakulana wao kwa wao mpaka wamalizane.


Damu ya Msafiri Mbwambo, Mbwana Masoud, Daudi Mwangosi, Yohana Mpinga (yule kiongozi wa UVCCM kule Ndago), na wengine wengi, zitakaa kichwani.

Damu za majeruhi wa matukio mbalimbali, zitamwandama. Machozi ya watoto yatima, machozi ya wajane...machozi ya wananchi wasiofurahishwa na mambo haya, zitakuwa kichwani...
 
Last edited by a moderator:
Damu ya Msafiri Mbwambo, Mbwana Masoud, Daudi Mwangosi, Yohana Mpinga (yule kiongozi wa UVCCM kule Ndago), na wengine wengi, zitakaa kichwani.

Damu za majeruhi wa matukio mbalimbali, zitamwandama. Machozi ya watoto yatima, machozi ya wajane...machozi ya wananchi wasiofurahishwa na mambo haya, zitakuwa kichwani...

Mkuu Makene, bila kusahau damu ya yule jamaa anayezurura naye Mussa Tesha.
 
Mungu ataamua mwenyewe kuhusu mateso wanayopata watu wasio na hatia wanaofungwa kwa amri za Mwigulu Nchemba. Watakulana wao kwa wao mpaka wamalizane.
Rage mzee wa kutukana/mzee wa bastola fsad alyekula pesa za FAT/TFF Rage mwiz na mlamba viatu vya Samwel Sita na Membe anaongea nini mwz tu Rage hana cha kuongea..
 
Last edited by a moderator:
Hakuna wa kumzuia lowasa kuwa rais wa tanzania iwe ndan ya ccm au nje me npo radh kutoa mali zangu zote kuhakiksha lowasa anakua rais akna membe na sta maskn watahamishia familia zao ikulu kutapanya mali lowasa mirad yake tu kwa sku anaingza bilion 5..membe milion 5 sta milion 3.5 lowasa anaenda ikulu kutumikia watanzania wengne wote waganga njaa
 
watanzania tumefikia pabaya sana hivi kweli tunajadili hata EL kuwa rais kweli nchi hii watu wake wamefilisika akili
 
Hakuna wa kumzuia lowasa kuwa rais wa tanzania iwe ndan ya ccm au nje me npo radh kutoa mali zangu zote kuhakiksha lowasa anakua rais akna membe na sta maskn watahamishia familia zao ikulu kutapanya mali lowasa mirad yake tu kwa sku anaingza bilion 5..membe milion 5 sta milion 3.5 lowasa anaenda ikulu kutumikia watanzania wengne wote waganga njaa
Hizo project zake ni zipi? Na yeye mbona hajawahi kuwa mfanya biashara?
Lowasa hafai kuwa Raisi na Arusha ndo wanamjua vyema
 
Damu ya Msafiri Mbwambo, Mbwana Masoud, Daudi Mwangosi, Yohana Mpinga (yule kiongozi wa UVCCM kule Ndago), na wengine wengi, zitakaa kichwani.

Damu za majeruhi wa matukio mbalimbali, zitamwandama. Machozi ya watoto yatima, machozi ya wajane...machozi ya wananchi wasiofurahishwa na mambo haya, zitakuwa kichwani...
kweli mkuu
 
watanzania tumefikia pabaya sana hivi kweli tunajadili hata EL kuwa rais kweli nchi hii watu wake wamefilisika akili
Lakini kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake juu ya nani anafaa kuwa raisi?
Nchemba katumia haki yake ya kikatiba.
 
Hakuna wa kumzuia lowasa kuwa rais wa tanzania iwe ndan ya ccm au nje me npo radh kutoa mali zangu zote kuhakiksha lowasa anakua rais akna membe na sta maskn watahamishia familia zao ikulu kutapanya mali lowasa mirad yake tu kwa sku anaingza bilion 5..membe milion 5 sta milion 3.5 lowasa anaenda ikulu kutumikia watanzania wengne wote waganga njaa

Na wewe pia ni MLAMBA MIGUU. Hiyo miradi unayomsifia nayo yote ni fedha za wizi (ref. J.K. Nyerere)
 
ningekuwa na uwezo ningewachochea kina Rage, Mwigulu na wenzao wapingane zaidi na kurushiana shutma mbalimbali

.
Uwezo unao mkuu ila hutaki kuutumia kwa makusudi tu! Mtu kama wewe unajiondolea uwezo ina maana unawapa uwezo huo kina Ndenshao wa Kishumundu? Think twice my dude.
.
 
Back
Top Bottom