Chama kikikosa umoja na mshikamano na kila mtu akawa ni msemaji wa chama ujue siku za kukaa madarakani zinahesabika.Acha wajigawe vipandevipande na baadhi waanze kutoa matamko ya kuhama chama ili wapate nafasi ya kuueleza umma yaliyojificha moyoni mwao ili kutengeneza mazingira ya kukubalika wakati huo wanajikaanga kwa mafuta.