Kuna watu wanashindwa kutoa maoni yao chanya kisiasa hapa jukwaani kwa kuogopa kutukanwa ama kuitwa Ndumilakuwili.
Ngoja niseme kidogo, kama nitamkwaza somebody then It's my Opinion.!
Watu wazima hukaa chini na kuzungumza, Ni mazungumzo Makini hayo ndiyo yaliyotuweka hapa Wanaukawa tukijadiri namna ya kumuondoa ccm madarakani. Kwa hali ya kisiasa ilivyokuwa hapo mwanzo, hakuna aliyewahi kudhani itakuwapo siku Cdm watakaa chini na Cuf kupanga mikakati mbalimbali ya ushirikiano ili kumwondoa ccm. Iko hivyo kwa Nccr dhidi ya Cdm Na hata NLD ambacho ni chama kidogo sana kisiasa dhidi ya Chama kikubwa kikuu cha upinzani Bungeni na Nchini kwa ujumla Chadema. Kilichofanyika hapa ni umakini wa watu wazima kuzika tofauti zao na kuangalia Malengo na Vipaumbele vyao. Wakajikuta wote kipaumbele na Malengo yao ni mamoja, kumuondoa mtu/chama kimoja kilichoshindwa kuongoza na kuendelea kung'ang'ania kutawala. Kwa kweli ni Mazungumzo Makini toka kwa Watu Makini dhidi ya Malengo Makini, ndiyo yaliyo yifikisha hapa. Na hiki ndicho tunachokihitaji kwa wakati huu.
Kama ni kweli hili limefanyika kwa ACT kutuma Maombi ya kujiunga UKAWA, ni vyema maombi yao yakatathiminiwa na hatimaye kukubaliwa. Katika kipindi hiki ni wazi UKAWA hawatakiwi kukosa hata kura moja, iwe ya Urais,Ubunge au Udiwani. Ni wakati wa kuzileta kura za Wapinzani wote dhidi watawala. Ni wakati tunaohitaji nguvu za uhakika na zile za ziada hata zile ambazo hatuna ili kuhakikisha kweli Ccm inaondoka madarakani kama kweli tuna nia ya dhati kumuondoa huyu Mkoloni mweusi.
Kwa hapa ilipo UKAWA, hakuna siri ambazo kwa hakika zikijulikana na ccm zitaweza kuleta madhala kwa umoja huo kiasi tuogope kuwaingiza ACT kwa hofu ya kuuza siri za Umoja huo kwa Ccm. Mpaka sasa hakuna propaganda yoyote itakayofanikiwa kuwatenganisha UKAWA itakayokubalika kwa wananchi. UKAWA mpaka sasa inawapiga kura wengi ambao hawako tayari kubadirishwa kwa lolote, hawa wanaitwa wafia chama. (UKAWA) Kinachofanyika hapa ni kuwashawishi wale ambao hawana misimamo rasmi na wale ambao ni Die hard Ccm. Wapo wale ambao ni die hard Zitto ambao licha ya uchache wao, kura zao ni muhimu sana. Mtu hata kama ulikuwa na Bilioni moja mtu akaja kukuongezea Milliom moja, pesa zako zitakuwa zimeongezeka kiasi cha kukuhakikishia maisha kwa siku kadhaa kulingana na maisha unayoishi.
Kwahiyo wakuu tusiwe na Misimamo mikali, isiyoyumba kwani mara kadhaa huwa haina faida. Kama hawa jamaa wamejitambua na kuomba kujiunga waruhusiwe na kupimwa nguvu zao ikiwezakana wapewe kulingana na nguvu zao hasa ukizingatia wamechelewa kujiunga. Iko wazi, mtu ukitokea somewhere na kukuta watu wanakula na ukakaribishwa chakula, utakula kulingana na pale ulipokikuta chakula hicho. Hapa pia Cdm,Cuf,Nccr na Nld wawe tayari kupunguza matonge kwaajili ya mgeni aliyefika.
Nirudie tena hii ni kama kweli ACT wametuma maombi hayo, maana awali walidai kutuma maombi, ilhali viongozi wa UKAWA wakidai hawajapokea maombi toka kikundi chochote cha siasa. Hapa ilionekana kama ni ACT kujaribu kununua huruma kwa wananchi kwa kigezo cha kukataliwa na Viongozi wenzao toka UKAWA.
Ni hayo tu wadau.
BACK TANGANYIKA
Hawa wanatakiwa wakataliwe,wakikubaliwa watagawa ukawa nakujiita ukawa wazalendo
Alisema kuwa chama hicho kimepokewa
vizuri na wananchi wa mikoa mbalimbali
nchini na katika ziara ya awamu ya
kwanza walifanikiwa kuingiza jumla ya
wanachama wapya 700. yaan hii ni idadi ya wanachadema kijiji cha kibumbe na Ilundo tu Kata ya Kiwira. tukuyu
HAKUNA KUPOKEA WASALITI! Mmeona UKAWA inazidi kunawiri na mbinu zote za kuivunja zimeshindikana sasa ndio mnataka kujipenyeza ili ukifika wakati wa uchaguzi muuze majimbo na kufanya usaliti wa kila aina kama mlivyozoea! Mlikuwa mnajiona wenye akili na kupewa kichwa na CCM mlipokuwa ndani ya upizanzani sasa mmetoka hamthaminiwi tena wala hamsaidiwi tena ndio manataka kuja na mbinu ya kijinga mkifikiria watanzania wote wana akili fupi kama nyinyi! Mmegonga mwamba na mtaula wa chuya!
sawa na huyo wa Hamad Rashid wa CUF atake kujiunga na UKAWA lazima CUF ndo itakuwa na busara kubwa ya kumkubali au kumkataa kwenye muungano huo
Mwenyekiti Mwenza wa UKAWA, Bwana James Mbatia ni Mbunge aliyeteuliwa na Mwenyekiti wa CCM.
Kwahiyo we kwako neno uzalendo linashida sana kichwani mwako
lakini wahenga hawakumaanisha umoja wa paka na panya.ni umoja wa paka na paka.au panya na panya.Zito aungane na CCMWAHENGA: Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
hawafai hawa wanafik wa demokrasia na mabadiliko ya kweli#chanzo: Habari247
mytake:
1) yaani mbwembwe zote zile za zitto na wenzake kuzunguka nchi nzima wameambulia wanachama 700 tu??? Hata kura za kata moja hawajafikisha?? Huu sasa utani....ndio maana zzk amekata tamaa na ziara ya pili???
2) kwani kiongozi mkuu zitto sialisema ukawa ni wasakatonge??? Na yeye anataka kujiunga na wasakatonge ???
3) huyu mama sialisema "nimarufuku mwana act kushabikia ukawa"???
.....................
Professor kilaza.
Kama wamezunguka nchi nzima wameambulia 700 watuambie awali walikuwa na wanachama wangapi!!? Pole sana ZITO, sisi wengine tuliuona mwisho wako lakini wapambe wakakuponza! Hivi kwanini usijiunge na wenzako TLP, UDP na ADC?Yani hata mimi nimeshangaa sana,
Yani wanachama 700?
Namshauri Mwl. Kaijage afungue walau kijiwe cha kufundisha tuition.
Mkuu habari,
Hii hoja unamwelekezea nani? Mwanachama wa ACT siyo? Ila kwa bahati mbaya umeniquote mimi..!! Wenzako kabla ya kupanua mdomo na mbavu, hupanua kwanza akili. Na kama ungelijaaliwa akili kidogo tu kiasi cha kujaza kizibo cha soda, ungefuatilia michango yangu hapa Jukwaani na hapa ungekuwa unapanua mbavu na kinywa kwa amani kabisa..!!!! Pole kwa hilo
Hivi umepata wasaa wa kusoma nilichokiandika? We ni kupakachuka tu utafikiri Mipakacha ya kule Lindi, au umetokokea huko? Tuliza akili, kama unataka kuwa mchambuzi bora hapa tuliza mshono, kaa chini tafakari wenzako wanajengaje hoja, Wanahitimishaje na kuwasilishaje. Siyo kuropoka tu utafikiri umekula Mlenda usio na bamia wala Magadi kule Hanseketwa..!!!!
Tuliza mshono jenga hoja usikike.
Hivi nikikuuliza kwa hivi sasa UKAWA ni jambo gani litakalofahamika kwa ccm litavunja nguvu za umoja huo kuelekea uchaguzi mkuu utanijibu? Hivi wewe hapo propaganda gani ambayo kwa fikra zako yaweza kuugawanya na kuusambaratisha UKAWA? Kama ccm walishindwa kwa propaganda mbaya za Udini, Ukanda, Ukabila na Ugaidi lipi laweza kuwashawishi wananchi wakubaliane na Ccm na serikali yake chovu dhidi ya UKAWA?
Narudia, Jenga hoja usikwaze watu.
BACK TANGANYIKA
Hivi zzk anaweza kuungana na wasaka tonge??? Nitamdhalau sana aisee ukawa ni wasaka tonge maneno ya zzk sasa jamaa kawaje tena hadi aungane na hawa jamaa aisee zzk is political dead
Kuna watu wanashindwa kutoa maoni yao chanya kisiasa hapa jukwaani kwa kuogopa kutukanwa ama kuitwa Ndumilakuwili.
Ngoja niseme kidogo, kama nitamkwaza somebody then It's my Opinion.!
Watu wazima hukaa chini na kuzungumza, Ni mazungumzo Makini hayo ndiyo yaliyotuweka hapa Wanaukawa tukijadiri namna ya kumuondoa ccm madarakani. Kwa hali ya kisiasa ilivyokuwa hapo mwanzo, hakuna aliyewahi kudhani itakuwapo siku Cdm watakaa chini na Cuf kupanga mikakati mbalimbali ya ushirikiano ili kumwondoa ccm. Iko hivyo kwa Nccr dhidi ya Cdm Na hata NLD ambacho ni chama kidogo sana kisiasa dhidi ya Chama kikubwa kikuu cha upinzani Bungeni na Nchini kwa ujumla Chadema. Kilichofanyika hapa ni umakini wa watu wazima kuzika tofauti zao na kuangalia Malengo na Vipaumbele vyao. Wakajikuta wote kipaumbele na Malengo yao ni mamoja, kumuondoa mtu/chama kimoja kilichoshindwa kuongoza na kuendelea kung'ang'ania kutawala. Kwa kweli ni Mazungumzo Makini toka kwa Watu Makini dhidi ya Malengo Makini, ndiyo yaliyo yifikisha hapa. Na hiki ndicho tunachokihitaji kwa wakati huu.
Kama ni kweli hili limefanyika kwa ACT kutuma Maombi ya kujiunga UKAWA, ni vyema maombi yao yakatathiminiwa na hatimaye kukubaliwa. Katika kipindi hiki ni wazi UKAWA hawatakiwi kukosa hata kura moja, iwe ya Urais,Ubunge au Udiwani. Ni wakati wa kuzileta kura za Wapinzani wote dhidi watawala. Ni wakati tunaohitaji nguvu za uhakika na zile za ziada hata zile ambazo hatuna ili kuhakikisha kweli Ccm inaondoka madarakani kama kweli tuna nia ya dhati kumuondoa huyu Mkoloni mweusi.
Kwa hapa ilipo UKAWA, hakuna siri ambazo kwa hakika zikijulikana na ccm zitaweza kuleta madhala kwa umoja huo kiasi tuogope kuwaingiza ACT kwa hofu ya kuuza siri za Umoja huo kwa Ccm. Mpaka sasa hakuna propaganda yoyote itakayofanikiwa kuwatenganisha UKAWA itakayokubalika kwa wananchi. UKAWA mpaka sasa inawapiga kura wengi ambao hawako tayari kubadirishwa kwa lolote, hawa wanaitwa wafia chama. (UKAWA) Kinachofanyika hapa ni kuwashawishi wale ambao hawana misimamo rasmi na wale ambao ni Die hard Ccm. Wapo wale ambao ni die hard Zitto ambao licha ya uchache wao, kura zao ni muhimu sana. Mtu hata kama ulikuwa na Bilioni moja mtu akaja kukuongezea Milliom moja, pesa zako zitakuwa zimeongezeka kiasi cha kukuhakikishia maisha kwa siku kadhaa kulingana na maisha unayoishi.
Kwahiyo wakuu tusiwe na Misimamo mikali, isiyoyumba kwani mara kadhaa huwa haina faida. Kama hawa jamaa wamejitambua na kuomba kujiunga waruhusiwe na kupimwa nguvu zao ikiwezakana wapewe kulingana na nguvu zao hasa ukizingatia wamechelewa kujiunga. Iko wazi, mtu ukitokea somewhere na kukuta watu wanakula na ukakaribishwa chakula, utakula kulingana na pale ulipokikuta chakula hicho. Hapa pia Cdm,Cuf,Nccr na Nld wawe tayari kupunguza matonge kwaajili ya mgeni aliyefika.
Nirudie tena hii ni kama kweli ACT wametuma maombi hayo, maana awali walidai kutuma maombi, ilhali viongozi wa UKAWA wakidai hawajapokea maombi toka kikundi chochote cha siasa. Hapa ilionekana kama ni ACT kujaribu kununua huruma kwa wananchi kwa kigezo cha kukataliwa na Viongozi wenzao toka UKAWA.
Ni hayo tu wadau.
BACK TANGANYIKA