AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Huyu mama hajielewi si ndio huyu aliyesema kuwa namnukuuu " NI MARUFUKU KWA MWANA-ACT YEYOTE KUSHABIKIA UKAWA"
Kweli usaliti ni sawa na mchawi
Kweli usaliti ni sawa na mchawi
ndio maana aya.to.lla.h anataka aongee peke yake ili wafuatiliaji wa mambo wasijue uhalisia wa hiki chama. Anachosahau ni kuwa you can fool some people so some time but you can't fool all.....!Huyu mama hajielewi si ndio huyu aliyesema kuwa namnukuuu " NI MARUFUKU KWA MWANA-ACT YEYOTE KUSHABIKIA UKAWA"
Kweli usaliti ni sawa na mchawi
Chanzo: Habari247
MYTAKE:
1) yaani mbwembwe zote zile za zitto na wenzake kuzunguka nchi nzima wameambulia wanachama 700 tu??? hata kura za kata moja hawajafikisha?? huu sasa utani....ndio maana zzk amekata tamaa na ziara ya pili???
2) Kwani kiongozi Mkuu zitto sialisema Ukawa ni wasakatonge??? na yeye anataka kujiunga na wasakatonge ???
3) Huyu mama sialisema "Nimarufuku Mwana Act kushabikia Ukawa"???
.....................
Professor kilaza.
Magamba maji ndio yanagonga kifuani sasa na wanaona ndani ya ukawa hakuna kabisa dalili ya kusalitiana hivyo wanaamua kutumia gia ya kupandikiza hawa jamaa baada ya 'plan A' yao kwenda mrama!
Huyu mama hajielewi si ndio huyu aliyesema kuwa namnukuuu " NI MARUFUKU KWA MWANA-ACT YEYOTE KUSHABIKIA UKAWA"
Kweli usaliti ni sawa na mchawi
Watengue kwanza hiyo kauli hadharani ndipo wafikiriwe. Sasa kwa kiongozi wao yule, wakimkaribisha tu wamekwisha kwani yule yuko "kazini" Haaminiki yule na hakawii kugeuka. He is not opposition material! Mkimpokea tu, mtakuwa mmemuongezea ajenda za kwenda "kujadili kuhusu masuala ya nchi" na mkuu pale magogoni kama alivyosema yeye mwenyewe wanakutana mara kwa mara kujadili masuala ya nchi. Cha ajabu mwenzake ka kana kuwa huwa hawakutani. Sasa sijui nani mwongo hapo!Huyu mama hajielewi si ndio huyu aliyesema kuwa namnukuuu " NI MARUFUKU KWA MWANA-ACT YEYOTE KUSHABIKIA UKAWA"
Kweli usaliti ni sawa na mchawi
Kisingi kama ACT inataka kukua basi haina Budi kusimama chenyewe kwenye uchaguzi unaokuja,
Ila upande mwingine Ikisimama kama ACT itagawa kura za wana ukawa ambao wameamua kuungana.
Ila Ikiungana na ukawa watapa nafasi chache sana kusimamisha wabunge.
so Kila decision wanayoifanya itakua na pande ote kwa ACT na Ukawa.
Zitto yuko talented lakini hayuko organized, hajielewi na ametawaliwa zaidi na ubinafsi, kiburi na show!. Zitto unaweza kumhamisha kwenye mission yake kwa kumsifia na kumpamba. Ameonyesha kukosa sifa za uongozi kwa sababu haonyeshi nia ya dhati ya kufikia malengo wala uchungu wa kutokufikiwa malengo.
Hayuko tayari ku sacrifice personal interests kwa maslahi ya public ambayo baadaye ingemlipa satisfactions mara mia na historia ya nchi siku zote ingemtaja kuliko kiburi, maringo na kujaribu kuharibu maslahi ya umma bila chembe ya hisia. Anaamua kusaliti mission kwa sababu tu amekosa kuabudiwa kwa kiwango anachotaka ama amepata recognition kubwa hata kama ni flattering upande pinzania, na hivyo kuwa tayari kuwageuka na kuwaua Watanzania wote ili mradi atumikie kundi haram linalomsifia hata kama ni kwa njia haram.
Baada ya matusi kwa ukawa, anataka kujiunga nao ama kwa kuwa anahitaji kuendelea kuwa ndani ya adui ili aweze kummaliza vizuri, ama anajisikia kusalitiwa na waliokuwa wanamwabudu kwa kuwa hawezi kufanya madhara zaidi kwa CHADEMA na sasa UKAWA na hivyo anaamua kuwageuka, au anarudi baada ya kuona anakuwa mpweke kwa kutengwa na hivyo anatafuta peers, au inaweza kuwa sababu yoyote.
Lakini katika mazingira ya vita vya ukombozi, watu kama Zitto hakuna mtu generali mwenye akili timamu anaweza kuwaamini kwa lolote kwa sababu hawaaminiki. Zitto amejidhirisha ni namna gani hawezi kuthamini wala kujali commitments. Ni mtu irresponsible na hawezi kuwaza mara mbili kabla hajaamua kusaliti haki kwa sababu kwake KUSIFIWA NA KUABUDIWA ndivyo vya kwanza, mengine hayana thamani.
NINAOMBA UKAWA, KAMA KUNA SABABU YA KUMJIBU, NINASHAURI MU ACKNOWLEDGE RECEIPT YA MAOMBI YAKE, LAKINI MWAMBIENI MTAJIBU MWAKANI KWA SASA MNA TIGHT SCHEDULES KIASI CHA KUKOSA UWEZEKANO WA KUINGIZA mchakato wa USAJILI WA WANACHAMA WAPYA WA UKAWA.