Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,184
Sipati picha, hapa kitila mkumbo, kule zitto, kuleeeee samson mwigamba..
Alliance for Cowards and Traitors
Sipati picha, hapa kitila mkumbo, kule zitto, kuleeeee samson mwigamba..
Vyama vyote ni nyumba ndogo za ccm. Mpaka chademaHiko chama ni mke mdogo wa CCM.
Wakuu, haya tena ni Maajabu ya Siasa za Nchi yetu! Vyama Vipya vya Siasa (Upinzani) Badala ya Kupambana Kuung'oa Utawala wa Chama tawala (CCM) Ili Kiondolewe Madarakani na Wananchi Wapate nafuu ya Maisha na Maendeleo yao Kwa Ujumla, badala yake Vinaanzishwa na Kupewa Usajili wa Muda ili Kuingia Uwanjani Kuviua na Kuvisambaratisha Vingine!!?. Mfano:Kimetajwa Kuanzishwa Chama Kipya ACT Ili Kipewe Usajili wa Muda na Kuanza Kazi ya Kuimaliza CHADEMA Kabla ya 2015. UJUMBE:KUBEBA MIMBA SI KAZI, KAZI NI KULEA MWANA. Wako wapi akina John Cheyo, Lyatonga Mrema n.k, Kumbuka Walianza harakati Miaka mingapi Iliyopita, Msikurupuke Mwishowe Muukose hapa Ubunge wa Vyama vyenu na Wengine Mharibu Kazi zenu Serikalini Kisa Kutumiwa na CCM Kuiua CHADEMA. Ni Ushauri wangu tu!
SwadaktaaaaaHongera kwa waliobuni mkakati juu maana kwa hali ilivyokuwa isingekuwa rahisi kubadirisha chadema kuwa katika demokrsia ya kweli maana waazilishi walikua na malengo yao
Mkiona mnaegemea kwenye matusi, ni wazi kuwa hamna hoja
Hahahahahaaa. Mtahangaika sana na vitafsiri vyenuAlliance for Cowards and Traitors
Kwa fedha anazopewa na akina Nimrod Mkono na Lowasa!
Mkuu, mbona habari hii imeandikwa sana na Mtanzania? Au hujawahi kuisoma?Tatzo JF ukiwa na hoja watu wana kujibu matusi with time inabidi uende nao ivo ivo...Haiwezekani asubuhi asubuhi mtu uanzisha thread ya kubuni then unaweka na source...ukienda kwenye source habari io haipo...I hate siasa za maji taka,vilaza wanapost unverified story ili watu tuwachukie watu flani
Hata CHAUMA kilikua na malengo haya
Hahahahahaaa. Mtahangaika sana na vitafsiri vyenu
Kama hana hela, atawezaje kuwalisha wenyeviti wa vyama vingine? Hapo sasa unakubaliana nami kuwa Mbowe anapewa fedha na akina Lowasa, Rostam na Mkonomwenyekiti wetu hana hela lakini hana njaa...wenyeviti wenu (including wa ccm) hawana hela na wana njaa.
Hiyo ni kwa mtazamo wako. Ndo maanamhata ccm mmejaribu kutoa tafsiri mbadala lakini hamjafanikiwakawaambie wabadilishe jina, vinginevyo for now it stands that way
Hiyo ni kwa mtazamo wako. Ndo maanamhata ccm mmejaribu kutoa tafsiri mbadala lakini hamjafanikiwa
Ndiyo nyinyi vibaraka na misukule.mimi natoka nyanda za juu kusini na ndiko ngome ya chadema na ukitaka kujua wambie ccm wa na mwenyekiti wao taifa pamoja mwanamuziki wao daimond kinana na nape waitishe mkutano na chadema aitishe mwenyekiti wa kitongoji arafu uone wapi watajaa achana na cha chadema ni mpango wa mungu
Inategemeana mkuu, hata CHADEMA kilianzishwa kwa malengo ya kumkomboa Mtanzania, leo hii kimekuwa cha wahafidhina, malaya na saccoss ya wachagga tena wamachame , bora hata ingekuwa saccoss ya wachagga wote.