ACT (Alliance for Change and Transparency) kuisambaratisha chadema

ACT (Alliance for Change and Transparency) kuisambaratisha chadema

Status
Not open for further replies.
wale waliokuwa wanasema kuwa ZITTO anatumika na CCM sasa wameumbuka

Wameumbuka au ukweli ndio umedhibitishwa! Eti chama cha upinzani kinaundwa kwa malengo ya kuwa chama cha upinzani dhidi ya chama kingine cha upinzani?
Nilikuwa sifahamu kuwa Chadema kumbe ndio chama tawala ambacho kwa vile hakiongozi vizuri basi watu wanajiunga kuunda chama ili kukabiliana nacho. Lweli huu ni wehu mwingine wa hali ya juu.
Hongera CCM kwa kuanzisha chama ANNEX ili iwe piga huku na kule vita yenu dhidi ya Chadema, ila kupambana na Chadema ni kupambana na raia wa nchi hii. Na bahati mbaya wanaonunulika sio wote bali wenye uchu ambao WANAFAHAMIKA.
Ila kuibadili mioyo ya hawa hapa chini yataka kazi ya ziada maana kanga na kofia hawawezekani.
ImageUploadedByJamiiForums1389763047.645480.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1389763132.404765.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1389763199.217120.jpg
 
Sipati picha, hapa kitila mkumbo, kule zitto, kuleeeee samson mwigamba..
 
Ndio yale yale ya ADC ya Hamad Rashid na CHAUUMA ya wakina Kafulila, Huwezi kujenga nyumba kwa usiku mmoja,
Uimara wa CHADEMA haukujengwa siku moja bali ilichukua muda wa kutosha, Majibu tutayapata mwaka huu kwenye uchaguzi wa serkali za mitaa pamoja na mwakani 2015.
 
Dhana nzima ya vyama vya upinzani (vyama vingi)Tanzania ni kengeufu...
 
nacho kitakuwa ni chama tu kama vingine,na kitasambaratishwa kabla ya kusambaratisha.
 
Sasa ni wazi Chadema itabakia na wa wakaskazini watupu na vibaraka wao.

mimi natoka nyanda za juu kusini na ndiko ngome ya chadema na ukitaka kujua wambie ccm wa na mwenyekiti wao taifa pamoja mwanamuziki wao daimond kinana na nape waitishe mkutano na chadema aitishe mwenyekiti wa kitongoji arafu uone wapi watajaa achana na cha chadema ni mpango wa mungu
 
mimi natoka nyanda za juu kusini na ndiko ngome ya chadema na ukitaka kujua wambie ccm wa na mwenyekiti wao taifa pamoja mwanamuziki wao daimond kinana na nape waitishe mkutano na chadema aitishe mwenyekiti wa kitongoji arafu uone wapi watajaa achana na cha chadema ni mpango wa mungu
Kanda ya nyanda za juu ipi mkuu. Kwani Songea si Kanda ya Nyandanza Juu Kusini? Kwani Rukwa si kanda za nyanda zq juu kusini? Fafanua Mkuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom