ACT (Alliance for Change and Transparency) kuisambaratisha chadema

ACT (Alliance for Change and Transparency) kuisambaratisha chadema

Status
Not open for further replies.
chadema ni mpango wa Mungu,wanajichosha bure. laana itakuwa juu yao watakaopanga mipango isiyopangika kwa chadema.
Mungu yupi huyo? Swali hili huwa nauliza mara nyingi lakinimsipati jibu
 
Tunawakaribisha kwenye league ila kama wanakuja kwa ajili ya CHADEMA tu na sio kwa ajili ya ukombozi mtanzania tunawapa pole!
 
Chama kinaundwa ili kuisambaratisha CHADEMA?!! Kwenye katiba na Sera zao sijui inaeleza nini ili kutimiza malengo yao. Walianza SAU,sasa ni ACT;maana waanzilishi wao walitoka CDM. Hivi CDM ni chama tawala? ACT ni wapinzani au wajukuu wa CCM?
 
Sasa ni wazi Chadema itabakia na wa wakaskazini watupu na vibaraka wao.
 
ngoja nikusaidie chadema ni taasisi zitto kaisha na ukitaka kujua moto wa cdm angalia matokeo ya huu uchaguzi mdogo wa madiwani
 
Chama kinaundwa ili kuisambaratisha CHADEMA?!! Kwenye katiba na Sera zao sijui inaeleza nini ili kutimiza malengo yao. Walianza SAU,sasa ni ACT;maana waanzilishi wao walitoka CDM. Hivi CDM ni chama tawala? ACT ni wapinzani au wajukuu wa CCM?
Hayawezi kuwepo kwenye katiba. Ila cha muhimu ni kuwa wale waliochoshwa na ndoa na chadema, sasa wamepata mbadala.
 
ngoja nikusaidie chadema ni taasisi zitto kaisha na ukitaka kujua moto wa cdm angalia matokeo ya huu uchaguzi mdogo wa madiwani
Amini usiamini. Katika uchaguzi huo, chadema hamtaambulia hata kiti kimoja
 
Wakuu, haya tena ni Maajabu ya Siasa za Nchi yetu! Vyama Vipya vya Siasa (Upinzani) Badala ya Kupambana Kuung'oa Utawala wa Chama tawala (CCM) Ili Kiondolewe Madarakani na Wananchi Wapate nafuu ya Maisha na Maendeleo yao Kwa Ujumla, badala yake Vinaanzishwa na Kupewa Usajili wa Muda ili Kuingia Uwanjani Kuviua na Kuvisambaratisha Vingine!!?. Mfano:Kimetajwa Kuanzishwa Chama Kipya ACT Ili Kipewe Usajili wa Muda na Kuanza Kazi ya Kuimaliza CHADEMA Kabla ya 2015. UJUMBE:KUBEBA MIMBA SI KAZI, KAZI NI KULEA MWANA. Wako wapi akina John Cheyo, Lyatonga Mrema n.k, Kumbuka Walianza harakati Miaka mingapi Iliyopita, Msikurupuke Mwishowe Muukose hapa Ubunge wa Vyama vyenu na Wengine Mharibu Kazi zenu Serikalini Kisa Kutumiwa na CCM Kuiua CHADEMA. Ni Ushauri wangu tu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom