DOKEZO Achana na kunguni, UDOM ina vyoo vichafu sijawahi kuona

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unaonekana umetokea vijijini mkuu! kwahiyo kuna uhusiano gan hapo?
Hii nimetoa kukuthibitishia kuwa ulichaguliwa UDOM na bado unasoma UDOM ndio maana imekuwa rahisi kwako kutetea kuhusu chuo hicho,

Ungekuwa unasoma vyuo vingine kama ulivyoonesha jinsi ulivyochaguliwa usingeijibia UDOM,

Udoso bhana
 
Achana nae huyo ni mtoto alianza cho 2021, mo lazima akitetee chuo, hajui kuna watu huifahamu UDOM kuliko hao wanafunzi.

Hii nimetoa kukuthibitishia kuwa ulichaguliwa UDOM na bado unasoma UDOM ndio maana imekuwa rahisi kwako kutetea kuhusu chuo hicho,

Ungekuwa unasoma vyuo vingine kama ulivyoonesha jinsi ulivyochaguliwa usingeijibia UDOM,

Udoso bhana
Vyuo gani hivyo unavyozungumzia ebu taja kimoja.
 
wengi wasukuma pale, unategemea nini. Wasukuma mpaka wastaarabike mtangoja sana. Wanajichamba na vikaratasi na mpaka magunzi na hawaelewi. Oga yao yenyewe shida.
Hakuna,wagogo ndio mna Tabia ya kunya porini halafu mnachamba na mchanga au magunzi ya mahindi
 
Duh! Nkajua ni Mimi Tu ndio nmeshuhudia Hilo...nkiendaga interview Dodoma najitahid Sana nmalizane kabisa huko nakotoka kweny nyumba za wageni kuliko kwenda kunisaidia kweny vyoo vya chuo...nlishawai fanya mtihani pale informatics aisee vile vyoo Mavi na mkojo viko juu ya masink na ni vyoo vyote ... Vina Mavi na majaba yao hayana maji....Ila serkalin imejitahid kujenga vyoo vya kisasa Sana tatzo vichafu havingaliki...unaweza kuhahirisha kujisaidia hata kama Una tumbo la kuhara...Hicho chuo hamna maji kabisa...na ni km hakuna usimamizi...ni Bora waajiri makampuni ya usafi wawe wanawalipa kama vyuo vingine vinavyofanya...
 
Acha porojo na kupondea chuo mkuu, kwanza nina wasi wasi na degree yako na pili anaepaswa kutumia choo kwa ustaarabu ni mwanafunzi mwenyewe sio kazi ya chuo. wafanya usafi wanajitahidi kufanya usafi wa vyoo ila shida ni wanafunzi wenyewe wala sio chuo. pia umesomea degree gani hapo UDOM inaonekana kichwani mweupe kabisa hakuna msomi mwenye hoja za kipumbavu kama wewe. unataka ufundishwe hadi kutumia choo kistaarabu na chuo? vitu vingine sio vya kuleta huku ni kujitia aibu tu.
Itoshe kusema haujitambui
 
Uongozi wa Udoso wanabidi wajitafakari

Chooni na bafuni maji yanabidi yasikatike Sasa mwananfunzi abebe ndoo 😎✌️
 
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.

UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU

"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Asee numekumbuka kipindi tupo miaka ya jakaya mwanzon.daah asee UDOM hakina hadhi ya kuwa university kabisa vyoo vichafu,ustaarabu 0 yani ukiwa udom kama unasoma diploma ya mifugo Tu

Ingawaje nilimaliza salama

Tiba kulitulia Sana

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Hilo la vyoo siyo UDOM tu ni Tanzania nzima, Mtanzania hana kabisa utamaduni wa kuweka usafi wa vyoo.

Elimu kubwa sana kwa vitendo inahitajika hapo.
Umehitimu zako sekondari huko kwenu isungangwanda. Unaambiwa umepangiwa kwenda chuo kikuu XX.

Siku ya kwanza hapo chuo unasema uingie chooni unakuta choo cha hessian, wewe kwenu umezoeshwa ku.nya porini au choo cha kulenga shabaha.

Sasa hapo nani wa kulaumiwa wajameni (in magufuli's voice)
 
Unazungumzia maji gani hayo mkuu? nenda udom ukaone kila block kuna matenki makubwa mawili ya maji. ishu kubwa hapo ni wanafunzi wenyewe kutojitambua na haiwezekani chuo kikubebe maji hadi chooni ukajisaidie huo utakua ni upuuzi mkuu. Pili; ukisema kuwekwa kwa system za maji mpya ilo sio jambo dogo na linahitaji muda wa kutosha na fedha za kutosha. kukarabati miundombinu kwa kile chuo huwezi kukurupuka tu ukaanza ukarabati inahitaji fedha za kutosha. Tatu; wanafunzi wanashauriwa wanunue vyombo vya kuhifahia maji kama majaba na ndoo ila shida unakuta room nzima hawana ndoo wala jaba sasa unataka chuo kikununulie jaba la maji! unadhani vyoo havitokua vichafu kwa style hiyo?
Wewe utakuwa UDOSO tena kwa uandishi wako huu utakuwa CIVE.

Kamwambie yule rais wenu wa UDOSO ashughulike na kero za wanafunzi, asiwe chawa wa madame roda.

Chanzo cha taarifa mbaya kuibuliwa kuhusu UDOM linaanzia hapo kwenye idara ya fedha, kuna wanafunzi wakidai chuo pesa hamtaki kuwapa.

Baada ya hili mtasikilia lingine, hapatatulia hapo mpaka wanafunzi hao walipwe fedha zao. Si ilianza KUNGUNI, imefuatia VYOO, kitakachofuata unaweza kukihisi?
 
Tulikuwa hapo UDOM mwaka juzi kwenye kongamano la maombi ya kitaifa na Mwalimu Mwakasege,

Tulikuwa tunalala kwenye mabweni ya hicho chuo!
. Aisee tulkaa hapo wiki nzima ila muda wote nilishindwa kabisa kwenda kujisaidia kwenye vile vyoo humo ndani

Niliwaza sana, nikasema mtu mweusi ni laana.
 
Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa
UDOM - Diploma in pharmacy
OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology
ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri

Unaukumbuka uzi huu kamanda zink, wewe ni kijana mdogo sana Zink
Basi umenithibishia nilichomwambia, huyu dogo tayari nimeshamfahamu.
 
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.

UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU

"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
FB_IMG_1698644170957.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimehitimu chuo kikuu cha dodoma hivi punde, lakini mazingira tuliyokuwa tunaishi pale chuoni hakika yanasikitisha.

Colleges nyingi za pale UDOM kuna changamoto kubwa ya usafi chooni na ukiachilia mbali suala la usafi ila maintenance kwenye vyoo vya UDOM ni hovyo kabisa. Wanafunzi wanalipa ada na kutimiza majukumu yao mengine ila nashangaa Sana kwanini uongozi hauzingatiii maeneo nyeti Kama maliwatoni.
Ukiwa mgeni ukaanza kutembea kwenye viunga mbalimbali kwa nje utavutiwa na majengo lakini ukiingia kwenye vyoo vya hosteli hali ni mbaya Sana. Yaani hadi hosteli zinanuka mikojo na mavimavi tu. Hii sio sawa hata kidogo na ni aibu kwa chuo kikubwa kama kile kushindwa kuhimili na kukarabati vyoo mara kwa mara.
Ukienda chooni kwanza sahau kuhusu kukuta maji, yaani maji ni hadi utoke hosteli uende kuchota mita kadhaa toka umbali wa hosteli zilipo upande ngazi na ndoo yako ndio ukanye au ukafanye mengine. Nahisi dada zetu huwa wanapata kadhia sana kuhusu usafi wao binafsi wanapotumia vyoo.

UDOM mnakera aisee, mmekanusha la kunguni na hili najua mtakanusha ila chuo chenu kina vyoo VICHAFU

"We embracing knowledge" knowledge my foot wakati hata knowledge ya kukarabati vyoo hamna.
Naweza kuishi kwa starehe sehemu yenye njaa ya chakula ila si kwenye makazi yenye vyoo vichafu. Hakuna kitu nakichukia hapa duniani kama vyoo vichafu
 
Kuhusu vyoo ni wanafunzi wenyewe, kama usafi vinafanyiwa kila siku, shida ni wanafunzi wachafu sana, mtu anajua hana maji lakini anafosi kuingia bila maji, huu upuuzi upo sana.
Na sijui kama mlipopita JKT mlielewa somo la usafi.
 
Back
Top Bottom