Kambi ya Fisi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,538
- 22,052
Moja ya sababu kuu kwa nini biashara ndogo ndogo hufungwa ni wizi wa wafanyakazi.
Unapomwibia mwajiri wako, unakausha mkondo ambao umekuwa ukimwagilia maisha yako na familia yako.
Ikiwa unaomba hongo na pesa kwa kutumia wadhifa wako serikalini, ujue unaibia umma. Ipo siku , wewe pia utateseka wakati majambazi, vibaka ama panya road watakapovamia gari ama nyumba yako ili wajipatie mali zako waondokane na umaskini uliowasababishia kwa wizi uliofanya hapo nyuma.
Amri ya 8 katika Biblia inaonya : Usiibe.
Na Waefeso 4:28 inasema, “Ikiwa wewe ni mwizi, acha kuiba.”
Tafadhali ripoti risiti kwa usahihi.
Acha kumdharau mwajiri wako.
Ripoti zawadi zote zinazotolewa na wateja.
Acha kuchukua vifaa kutoka ofisini kwako na kuvitumia kwa matumizi yako binafsi.
Acha kutumia kadi za mkopo za kampuni kwa manunuzi ya kibinafsi.
Acha kughushi saini.
Acha kughushi hesabu.
Mungu atakuwajibisha kwa mikataba ya siri yenye kukupatia manufaa binafsi.
Kumbuka ukiwa mwaminifu kwa machache, Mungu atakukabidhi mengi
Luka 16:10. Uwe mwaminifu kama Yusufu na utapandishwa cheo.
Fanya kazi kana kwamba unamtumikia Mungu, si mwajiri wako - Wakolosai 3:23.
Utabarikiwa ukiachana na wizi. .
Unapomwibia mwajiri wako, unakausha mkondo ambao umekuwa ukimwagilia maisha yako na familia yako.
Ikiwa unaomba hongo na pesa kwa kutumia wadhifa wako serikalini, ujue unaibia umma. Ipo siku , wewe pia utateseka wakati majambazi, vibaka ama panya road watakapovamia gari ama nyumba yako ili wajipatie mali zako waondokane na umaskini uliowasababishia kwa wizi uliofanya hapo nyuma.
Amri ya 8 katika Biblia inaonya : Usiibe.
Na Waefeso 4:28 inasema, “Ikiwa wewe ni mwizi, acha kuiba.”
Tafadhali ripoti risiti kwa usahihi.
Acha kumdharau mwajiri wako.
Ripoti zawadi zote zinazotolewa na wateja.
Acha kuchukua vifaa kutoka ofisini kwako na kuvitumia kwa matumizi yako binafsi.
Acha kutumia kadi za mkopo za kampuni kwa manunuzi ya kibinafsi.
Acha kughushi saini.
Acha kughushi hesabu.
Mungu atakuwajibisha kwa mikataba ya siri yenye kukupatia manufaa binafsi.
Kumbuka ukiwa mwaminifu kwa machache, Mungu atakukabidhi mengi
Luka 16:10. Uwe mwaminifu kama Yusufu na utapandishwa cheo.
Fanya kazi kana kwamba unamtumikia Mungu, si mwajiri wako - Wakolosai 3:23.
Utabarikiwa ukiachana na wizi. .