Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Ku deal na chama chenye kibali xha Mungu ni kujisumbua.
 
Utachangishwaje pesa na watu ambao serikali (msajili) haiwatambui? Chadema iache ukaidi. Wanashindwaje kuitisha kikao cha dharura cha baraza kuu lao ili kumaliza uhalali wa wajumbe wa secretariat yao ? Ona sasa hata viwanja vya kufanyia mikutano ya hadhara wananyimwa.
 
Mkuu unaweza ukawa hujakosea! Haihitaji elimu ya darasani kujua hilo, upepo unavyoelekea Serikali inataka kukifuta kabisa.
Kama wana masikio na macho waanze kulifanyia kazi hilo.
 
Hizi roho za kihutu kabisa sasa! Zililetwa na Bwana yule na sasa liroho lishakomaa kabisa hamna wa kuzima mabadiliko kwa sasa wajue tu
Inasikitisha sana
 
Be
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Be blessed Britanicca Mungu akutunze sana
 
Hivi ni kwa nini wanaichukia sana hiyo Chadema? Muulize huyu mnyetishaji wako tafadhari.
Matendo yao dhidi ya wanyonge ni machukizo mbele ya Muumba wao- hivi wanajua au wanapotezea?
Mwanamke aliye kwenye ndoa kama ni mchafu na hajui kupika lazima achukie na aogope mchepuko wa mumewe
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na
Kwa trend iliyopo hilo lina uwezekano mkubwa wa kuwa kweli ila wakifanya hivyo wataifanya CDM iwe na nguvu zaidi.
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
AKILI YAKO NIKAMA YA MBUZI WA SUDANI
CAG HUYO HUYO ALIOTAKA KUFICHUA UFISADI WA SEREKALI HII, AKALETEWA MALALAMIKO NA KUAMBIWA AJIELEZE NA WABUNGE BADALA WAJADILI HUO UFISADI CAG ANAAMBIWA AJIELEZE....HII LEO MTU AMBAE NI MBUMBUU ANASEMA CAG ACHUNGUZE ELA YA CDM UNAJUA KAZI YA CAG?
 
BINAFSI SIJAWAHI KUONA CHAWA WA CCM MKE WAKE HAJAMSALITI AU MCHUMBA WAKE BILA WAO KUFAHAMU..,HUO NDIO UKWELI MWINGINE AKIPENDA AFWATILIE
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Mtahangaika sana na kwa vile Mungu kaiacha ccm ife, tutashuhudia mengi.
Ccm ilipoanza tu kuteka na kuua watu, Mungu akaachana nayo.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Kama wanaweweseka kwa michango ya tonetone tu kiasi cha kuhoji inatumikaje, basi hawa wahuni wako kwenye confusion na desperation mbaya kabisa...

Unahoji pesa ya chama kama CHADEMA zinatumikaje wakati wanaona chama kipo barabarani kila siku kujijenga na kujiimarisha..?

After all, mbona huwatumia watu kama kina Yericko Nyerere kubeza wakisema kuwa "ooh tuone tonetone kama itaendesha chama" cha ajabu leo kumbe wameona tonetone inalipa na sasa wanafikiria kutafuta mbinu ya kuidhoofisha...

Hawawezi kufunga akaunti wala kuzuia michango ya wananchi...!!
 
Wanahangaika tu hao, muda umeishafika na miti yote inateleza nyani hana pa kushika akashikamana tena. Mkoloni mweupe aiyewarithisha utamu hawa wakoloni weusi nae alijaribu kumzuia Julius Nyerere asiweze kukanyaga ofisi za Umoja wa mataifa.. Washington DC!.
Wananchi walichangishana
Mleta mada yuko sahihi. Ila njia watakayotumia ni ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Wamepanga Msajili aandike barua kwa Taasisi za Fedha na Makampuni ya Simu kuyaagiza wasitoe ushirikiano kwa John Mnyika ambaye ndiye Afisa Maduhuli wa Chadema ili kufanya Chadema washindwe kutoa fedha wanazotumiwa na wananchi.

Uzuri ni kwamba wakifunga hizi account Wananchi hatutakata tamaa. Itafika kipindi Chadema watalala bure kwenye Guest na Lodge zetu, watawekewa mafuta bure kwenye petrol stations na kupewa michango kwa Cash ili shughuli ziendelee.

Kwa kifupi wakifanya hivyo ndo watasababisha hata huo uchaguzi wa Oktoba usifanyike kweli kwa namna wananchi watakavyoungana na Chadema ku riot.
Nashauri CHADEMA waendelee na hii kampeni ya NRNE bila ukomo. Habari ya uchaguzi wawaachie CCM na vyama vya mfukoni wakati huu na ujao wautumie kujijenga kichama kwa kuandikisha wanachama wapya, kufungua matawi mengi iwezekanavyo katika kila mkoa nchi nzima na waweke kiongozi makini huku mitaani wakati ngazi za juu wakishinikiza Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Agenda ya Ardhi na Rasilimali za taifa kumilikiwa na wananchi badala ya Serikali iwe wimbo kwenye kila jukwaa lakini pia suala la kuelezea kwa kina umuhimu wa kuwa na Serikali ya Tanganyika yenye makao yake makuu Dodoma izungumzwe sasa kwenye majukwaa kwa nguvu kubwa.
 
Na hapo ndipo watazidisha huruma ya wananchi....wao wafanye vyote watakavyo...ni faida.
Watu watawawekea Magari ya mafuta kwenye station nyakati ya kuendelea na operation.
Watu watawapa ofa ya kula na kulala bure kwenye hotel zao pamoja na Bahasa zenye pesa asubuhi kama posho.
Watu watawaruhusu kudurufu bure stationary kwenye ofisi zao.

Kumzuia binadamu asifanye anachokipenda ni sawa na kuzuia kijambo kisitoke tumboni.
 
Mtahangaika sana na kwa vile Mungu kaiacha ccm ife, tutashuhudia mengi.
Ccm ilipoanza tu kuteka na kuua watu, Mungu akaachana nayo.
Hakuna huruma ya wananchi mtakayopata mkivunja sheria ni lazima mshughulikiwe
 
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Hili wala halihitaji utabiri au nini.
Samia alivyo 'desperate' sasa, hii ni hatua iliyo wazi kuitumia.

Kama anadiriki kuteka watu na kuwaua watu ili awatie woga waTanzania, hili la kufungia akaunti na kuzuia michango lipo wazi sana.
Nashangaa kachelewa kulifanya kiasi hiki.
Na kadri siku zinaendelea kusonga, bado kuna mengi atakayofanya kuwabana CHADEMA wasiweze kuwafikia wananchi.
 
Back
Top Bottom