Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
ni muhimu sana vyama vya siasa visivyo fanya shughuli za kisiasa kufutwa tu 🐒
 
Hizi roho za kihutu kabisa sasa! Zililetwa na Bwana yule na sasa liroho lishakomaa kabisa hamna wa kuzima mabadiliko kwa sasa wajue tu
Kwa nini zisiwe za kitutsi
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Kuna mjinga mmoja yupo huko kwa samia ana akili ndogo sana
 
ni muhimu sana vyama vya siasa visivyo fanya shughuli za kisiasa kufutwa tu 🐒
Unafuarahia tanganyika kuliwa na kina abduli na wajomba zake waarabu kwa deals chafu na za hovyo za kuiibia fedha nchi na wewe mtanganyika una unga mkono na kurukaruka
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Vodacom si wana utaratibu wa kuchangisha pesa? CRDB si wana utaratibu kama huo wa kutuma au kupokea zawadi?
Sijawahi kusikia utoaji wa sadaka ukiombewa kibali kutoka benki kuu.
Hata hivyo siwezi kushangaa ikipitishwa sheria mpya ya kuzuia michango ya CHADEMA maana wameshikwa kwenye mshono.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Kuchangia ktk account/number za watu binafsi nayo haitawezekana?
 
Vodacom si wana utaratibu wa kuchangisha pesa? CRDB si wana utaratibu kama huo wa kutuma au kupokea zawadi?
Sijawahi kusikia utoaji wa sadaka ukiombewa kibali kutoka benki kuu.
Hata hivyo siwezi kushangaa ikipitishwa sheria mpya ya kuzuia michango ya CHADEMA maana wameshikwa kwenye mshono.
Mleta mada yuko sahihi. Ila njia watakayotumia ni ya Msajili wa Vyama vya Siasa.

Wamepanga Msajili aandike barua kwa Taasisi za Fedha na Makampuni ya Simu kuyaagiza wasitoe ushirikiano kwa John Mnyika ambaye ndiye Afisa Maduhuli wa Chadema ili kufanya Chadema washindwe kutoa fedha wanazotumiwa na wananchi.

Uzuri ni kwamba wakifunga hizi account Wananchi hatutakata tamaa. Itafika kipindi Chadema watalala bure kwenye Guest na Lodge zetu, watawekewa mafuta bure kwenye petrol stations na kupewa michango kwa Cash ili shughuli ziendelee.

Kwa kifupi wakifanya hivyo ndo watasababisha hata huo uchaguzi wa Oktoba usifanyike kweli kwa namna wananchi watakavyoungana na Chadema ku riot.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Hapo ndipo wata speed up the accelerations. Chadema ni kamaibada vile watu wanavyochanga sadaka, kunawengi huwa tunawachangia hapa mjini hatujaona kama wanakibali, wivu Tu CCM lazma wakufe safari hii
 
Kama Millard Ayo kalimwa barua afute barua za Gwajiboy
Siwez shangaa hilo dogo.
Kama sehemu nyeti zinaongozwa na vija a wadogo wanaochukua maamuzi yanayochukuliwa kwa sasa nashauri kufanyike seminar au training wanafanya isivyo sivyo
 
Wewe ni mkweli sana...nasubiria tukio la mwezi Julai.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Hila juu ya hila, cdm wanapitia mitihani mizito. Ushauri wangu nadhan cdm wana zaidi ya njia koja ya kuchangia pesa

Ila wafunge mkanda sana
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Walam wangekuwa wanawapa pesa wangekuwa chama tajiri sana, mlami yupi huyo anatuma tena tzs? Halaf laki 1,2 ? Mlami yupo huyo anatoa vihela vidogo vidogo?

Pungungeze theory uchwara
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca


Mambo mengi unayoongea ni kweli ila nataka kukwambia kuwa ishu ya wabunge covid mbowe ajausika

Na naweza kukupa ushahidi wa wazi wazi kuwa mbowe alikuwa hajui chochote

Chadema walipata taarifa kuwa baadhi ya watu wao wameonekana bungeni was a day before kuapishwa tena aliesababisha ni yule mbunge wa dodoma alipaki gari lake get la waziri mkuu na ilikuwa ni usiku so kuna chadema ambao wanafanya gym pale pembeni wakaanza kufatilia what is going on

Nakuhakikishia hakuna mtu wa chadema alikua anajua anything

Hata hao wenyewe wakina mdee wamekuja kujuana ilazo mashineni wakati wamefata form
 
Walam wangekuwa wanawapa pesa wangekuwa chama tajiri sana, mlami yupi huyo anatuma tena tzs? Halaf laki 1,2 ? Mlami yupo huyo anatoa vihela vidogo vidogo?

Pungungeze theory uchwara
Acha kufanya watu ni majuha halafu unadhani hamuonekani?
kama mu wasafi kilio cha nini?
Ruzuku haikuwatosha kujenga chama?
 
Back
Top Bottom