Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Acha kufanya watu ni majuha halafu unadhani hamuonekani?
kama mu wasafi kilio cha nini?
Ruzuku haikuwatosha kujenga chama?
Nana anawafanya majuha? Hamna mzungu anachangia pesa za mdafi hela ndogo ndogo hizooo

Kama mlikua na doupt, why msifungue kesi mahakamani?
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Kila hila wanayo fanya ni kumpiga chura teke tu. Wanajisumbua tu. Michango itachangwa hazina kitu gani 😆😆😆. Wangekua na akili tu wangekubali reforms zifanyike tupate katiba mpya. Kosa wanalofanya hawa watawala wa CCM ni kidhani dunia ya leo ni ile ile iliyo kuwa ina itikia tu kauli za Nyerere. Tupo karne ya 21 na tupo na kizazi kipya na mitazamo mipya. Fungia tone tone uone nyomi la michango tena na tena yaani. Solution ni ku accept BO REFORMS NO ELECTION. Na reforms sio kwa ajili ya chadema wala Cuf wala chama chochote bali ni kuweka usawa na uwazi katika kutambua maamuzi ya watanzania [wapiga kura]
Binafi sijachangia tone tone ila wakianza kufungia account zao nitaanza kuchanga
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Wewe ni kima tuseme na zile goli la mama ninutakatishaji..? Unajua maana ya utakatishaji kweli..?
Hembu tufafanulie maana ya utakatishaji wa fedha..?
 
Kwamba Mbowe ndio aliidhinisha Covid 19 kwa katiba ipi? Mbowe ana mamlaka ya kutoa watu jela ili wawe wabunge? na Kwamba Chadema ilitimua Covid 19 kwa geresha huo ni uongo mtakatifu, kingine ni hiki, Lissu kukamatwa haukua utabiri hiyo ni hulka ya ccm na polisi wa Tanzania wanaotumikishwa.

Unaweza kuandika uzi bila porojo na ukaeleweka tu.

Kesho utatuambia waliomshambulia Kitima hawatashitakiwa huo nao utaita umeutoa kwa mtu mzito wakati Nchi nzima inajua?
 
Unafuarahia tanganyika kuliwa na kina abduli na wajomba zake waarabu kwa deals chafu na za hovyo za kuiibia fedha nchi na wewe mtanganyika una unga mkono na kurukaruka
zingatia maelezo yangu ya msingi bila mihemko gentleman 🐒
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
Nyie ndo mnafanya CCM ionekane tuna watu wajinga kumbe CCM Kuna watu smart sana wewe kwa akili yako Uoni kwamba wakifungia Account wanazidi kuipa Chadema Airtime kwa wananchi nyie ndo mnamshauri mama vibaya hata kumkamata Lissu ilikua ni kosa na mtego Lissu wamemuongezea ushawishi na umaarufu wa bure
 
Kosea Kuoa Lakini Siyo Kuchagua

CCM Imekataliwa Hadharani Na Wote Tunaona
Wananchi Ndiyo Waamuzi
No Reforms, No Election


Chama Dollar Kimeshikwa Pabaya Sasa
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Nimecheka sana wanawapiga mapigo ya Musa na Firauni
 
Nyie ndo mnafanya CCM ionekane tuna watu wajinga kumbe CCM Kuna watu smart sana wewe kwa akili yako Uoni kwamba wakifungia Account wanazidi kuipa Chadema Airtime kwa wananchi nyie ndo mnamshauri mama vibaya hata kumkamata Lissu ilikua ni kosa na mtego Lissu wamemuongezea ushawishi na umaarufu wa bure
Yaani sheria zisifuatwe kwa kuogopa airtime?wewe ni mshauri wa lissu?
 
Huwa natatizika sana na hawa kijani, wapanga mipango yao sijui huwa wanafikiria kitu gani
 
Tone Tone na uchangishaji usio rasmi wa fedha ni njia ya kutakatisha fedha.
Yaani mnapewa fedha na walami halafu mnajidai mnataka kuvuruga uchaguzi.
Hamkatazwi kupewa fedha lakini mkumbuke fedha hizo zikishaingia kwenye akaunti ni mali ya umma na lazima zifuate taratibu za kisheria za matumizi ta fedha.
CAG afanye ukaguzi maalumu kutambua fedha zilizopo kwenye akaunti ya CDM zinetokea wapi?
20250417_093236.jpg

Sasa huku unakusemeaje ili mambo yawe sawa.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Nchi yetu inataka kupotoka. Segmental marginalization kama hizi ndo zilizalisha makundi kama Boko Haram na Alshabab. Kugawa watu kuwa hawa wanastahili keki ya Taifa na hawa siyo wakati wote ni Taifa moja ni hatari mbeleni.
 
Back
Top Bottom