Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Tetesi: Account za CHADEMA kufungiwa !

Ndo itawaondolea Imani kwa wananchi?

Wakati mwingine CDM inapendwa kutokana na mshikemshike inayopitia.
Chadema inapendwa huko kwenu mkoani, ila huku Dar-salam, haina kasheshe.
Najua utapinga, lakini ukweli ndio huo.
 
Kwasasa kila teke linamrusha chura mbali zaidi.
 
Chadema inapendwa huko kwenu mkoani, ila huku Dar-salam, haina kasheshe.
Najua utapinga, lakini ukweli ndio huo.
Zamani ilikuwa chama kiko mjini tu, vijijini hamna kitu.
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Huna unalojua wewe, hivi si ulisema kama Baraza kuu lingemfukuza kina Mdee ungejiondoa JF!! sielewi mpaka leo unafanya nini humu
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Naona wanyama wakali wameingia kwenye mabanda ya mifugo kwa mkupuo.
Fisi kaingia kwenye banda la mbuzi
simba kaingia kwenye zizi la ng'ombe
kicheche kaingia kwenye banda la kuku .Busara za mwenye nyumba ndo inaweza
kunusuru au kuangamiza mji
 
Jingalao na wapuuzi wenzako huko CCM
Jingalao.PNG
 
Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,

Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale

Uzi

Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu

Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’


Britanicca
Acha upuuzi mashehe maaskofu na wachungaji wanachangisha pesa kila siku wanatoa vibali wapi wewe
 
Wewe ni wa KIUME au wa KIKE?
Sorry kama wa kiume wewe ni HASARA!
Tatizo ume keketwa ndio maana huna adabu.
Ungekua na kisimi ningekupa location uje uuone muhogo wa jang'ombe.
NB. WAMIKOANI ACHENI ULIMBUKENI, CDM SIO CHAMA PEKEE CHA UPINZANI HAPA NCHINI.
 
Ila hizi zakumtania huyu mama nakumuita kenge jamani sio powa
 

Attachments

  • Screenshot_20250601_210029_Facebook.jpg
    Screenshot_20250601_210029_Facebook.jpg
    315.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20250530_144215_TikTok.jpg
    Screenshot_20250530_144215_TikTok.jpg
    244.8 KB · Views: 6
Back
Top Bottom