Kule Songea kulipuliziwa sumu kwenye Ofisi za ChademaNaona uko sawa. Kwa hali ambayo CHADEMA inapeleka No reforms No election kwa wananchi watatafutiwa kila mbinu ili iwanyamazishe.
Kule Songea kulipuliziwa sumu kwenye Ofisi za ChademaNaona uko sawa. Kwa hali ambayo CHADEMA inapeleka No reforms No election kwa wananchi watatafutiwa kila mbinu ili iwanyamazishe.
Mahakama zipiNana anawafanya majuha? Hamna mzungu anachangia pesa za mdafi hela ndogo ndogo hizooo
Kama mlikua na doupt, why msifungue kesi mahakamani?
Chadema inapendwa huko kwenu mkoani, ila huku Dar-salam, haina kasheshe.Ndo itawaondolea Imani kwa wananchi?
Wakati mwingine CDM inapendwa kutokana na mshikemshike inayopitia.
Wewe ni wa KIUME au wa KIKE?Chadema inapendwa huko kwenu mkoani, ila huku Dar-salam, haina kasheshe.
Najua utapinga, lakini ukweli ndio huo.
Zamani ilikuwa chama kiko mjini tu, vijijini hamna kitu.Chadema inapendwa huko kwenu mkoani, ila huku Dar-salam, haina kasheshe.
Najua utapinga, lakini ukweli ndio huo.
Huna unalojua wewe, hivi si ulisema kama Baraza kuu lingemfukuza kina Mdee ungejiondoa JF!! sielewi mpaka leo unafanya nini humuWasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
![]()
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca
Kabisa, wakithubutu kuzifungia akaunti za CDM tutachangia tone tone kupitia akaunti za Makanisa kisha zitawafikia CDM huko kwenye shughuli zao. No Reforms, No election 2025.Wenye Nia njema watachangia kupitia akaunti za makanisa na watapewa hao chadema!!
Kwani walimfukuza!!?mbona Hadi Leo anadunda kama chadema TU na pesa ya COVID anakula!!Huna unalojua wewe, hivi si ulisema kama Baraza kuu lingemfukuza kina Mdee ungejiondoa JF!! sielewi mpaka leo unafanya nini humu
Samia ni kama Mfalme JUHA tu.Acha kufanya watu ni majuha halafu unadhani hamuonekani?
kama mu wasafi kilio cha nini?
Ruzuku haikuwatosha kujenga chama?
Naona wanyama wakali wameingia kwenye mabanda ya mifugo kwa mkupuo.Wasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
![]()
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca
Hiyo huruma ya wananchi itawasaidia nini hao chadema. Hao wananchi wanauwezo gani mbele ya ccm?Na hapo ndipo watazidisha huruma ya wananchi....wao wafanye vyote watakavyo...ni faida.
Acha upuuzi mashehe maaskofu na wachungaji wanachangisha pesa kila siku wanatoa vibali wapi weweWasalaamu
Niliwaandikia mambo kadhaa na muda Mwingine napuuzwa Ila yakishatokea wanakuwa wanapuuza wanakausha,
Nyuzi nyingi naziletaga ama kwa codes au Kama utani, au Kama swali kumbe ndo nakuwa nafikisha ujumbe
1. Niliwaandikia la Mbowe kutoa baraka kwa COVID 19 na watu wakahisi natania,
2. Nikawaambia kuwa hawa COVID-19 CHADEMA itawafukuza Kama geresha tu nilitukanwa sana Ila ukweli nakuwa nao sioni haja ya kushindana na watoto wenye techno za shangazi zao na bando la 500
3. Juzi nimewaambia kuhusu mbelgiji kupewa kesi, na kufanya kila mbinu viongozi wake wafungwe na ku frustrate chama wakabeza yametokea Yale Yale
Uzi
![]()
Nyumba mithili ya Meli pachungu hapakaliki, mbelgiji awe makin sana, aliyeshika pembe anaingizwa Chaka kumuumiza
Yes the man is Smart Chama WALATA kilizoea sana vya kuchinjwa, kwa sasa Mbelgiji katembelea Taasisi zaidi ya 30 na mashirika ya Kimataifa na balozi za nchi mbali mbali, kwamba “HAKUNA MAGEUZI HAKUNA KUDINDISHA” isomeke hivi penye (L)pakiwekwa (R) Jamaa ameonekana mtu anayefuata utaratibu...www.jamiiforums.com
Nirudi kwenye msingi sasa
Nimeongea ma mtu mzito sana hapo Magogoni kaniambia kwamba pamoja na kuishake CHADEMA bado ndo wanaongezewa nguvu
Sasa wataandaa watu Kwenda kulalamika kuhusu michango wanayopokea CHADEMA inafanya nini, na hii TONE TONE ni kwamba haijapata kibali kutoka hazina kuchangisha Pesa, Kwakuwa kuchangisha Pesa hadi upewe kibali maalumu’
Kwamba watafreeze account za chama na kuwapiga marufuku kuendelea na ukusanyaji fedha’
Britanicca
Tatizo ume keketwa ndio maana huna adabu.Wewe ni wa KIUME au wa KIKE?
Sorry kama wa kiume wewe ni HASARA!