Yote hayo unayosema yanaweza kuwa ni kweli.. lakini hayajibu kwanini ni Kibaha? Kwanini ajali hizi zisitokee Kimara au eneo lolote kabla ya kufika Kibaha?
Wahusika wafanye Safety Audit.........................pleeeeaaaaase na ripoti iwekwe wazi.......unajua compromise nyingi zinafanyika na wataalamu wetu they get away with it easily.......................halafu zikitokea ajali wanaanza kudai.....ohh madereva si makini (which could be the reason).......but lets check these basics....za design halafu ndio tuanze kunyoosha vidole..........