Pamoja na kuwa magari ni mabovu na uzembe wa madereva, sababu kubwa ya ajali kati ya Kibamba - Chalinze ni miundombinu, magari ni mengi na barabara ni nyembamba, hiyo barabara wakiweka double roads ajalio zaitapungua kwa kiwango kikubwa mno. Badala serikali ishighulikie miundombinu na sababu halisi za ajali wao wanategemea hospitali ya Kibaha izidi kupokea maiti nyingi na majeruhi wengi wa ajali