mkuu umenikumbusha mbali sana, siku ya kwanza kuachwa nililia balaa, nilipiga mayowe utadhani nimefiwa na wazazi, ilibidi wale customer care staff swissport watumie muda mwingi kunituliza, ilikuwa the first time naenda nje ya africa, dah, kitu emirates kikasepa kikaniacha.
nilikuwa naona soo hata kurudi home,japokuwa nilisafiri the next day.aisee,kumi na mbili kamili alfajiri nilikuwa tayari airport kwa safari ya saa kumi unusu jioni.
dah nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe.yaani airport ilisimama kwa mshangao wa kilio changu but kidume mpaka leo hii nimeshapata masomo ya kutosha kuhusu usafiri wa anga
Mwingine anakwambia anaenda kupanda ndege hivyo hawezi kupanda boda. Ukienda airport shurt upande tax.
halafu pia unakuta mtu ana mizigo mingi utadhani kabeba sayari...lazma uachwe tu
Sio Mara zote,kuna mvua wkt mwingine,foleni,na kusahau document au wallet nk.Yote sio uzembeNi kweli wengi ya wachelewaji ni uzembe uliotukuka
Mtanzania pekee aliyevunja rekodi kuchelewesha ndege Heathrow airport London na akafidia gharama ni mustafa haidi mkuloFoleni haiwez kuwa sababu stahiki ya kuchelewa. Si ulijua muda wa kureport ni masaa 2 kabla?
mkuu umenikumbusha mbali sana, siku ya kwanza kuachwa nililia balaa, nilipiga mayowe utadhani nimefiwa na wazazi, ilibidi wale customer care staff swissport watumie muda mwingi kunituliza, ilikuwa the first time naenda nje ya africa, dah, kitu emirates kikasepa kikaniacha.
nilikuwa naona soo hata kurudi home,japokuwa nilisafiri the next day.aisee,kumi na mbili kamili alfajiri nilikuwa tayari airport kwa safari ya saa kumi unusu jioni.
dah nikikumbuka huwa nacheka mwenyewe.yaani airport ilisimama kwa mshangao wa kilio changu but kidume mpaka leo hii nimeshapata masomo ya kutosha kuhusu usafiri wa anga
Mkulo aliyekuwa waziri wa fweza?nimemuonaga Moro ameachoka .nadhana anaumwa!Mtanzania pekee aliyevunja rekodi kuchelewesha ndege Heathrow airport London na akafidia gharama ni mustafa haidi mkulo
Haijawahi tena tokea jeuri hii ya pesa