Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Abiria unachelewaje Ndege (check-in) Airport?

Ndege kwa nchi zetu za dunia ya tatu si bahati tu bali ni jambo la Sifa na kukuza nafasi (status) yako kwenye jamii husika, wengine hutumia katika mitongozo.

Dadeq this is fucking truth[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna rafiki yangu aliwahi kukoswakoswa kuchelewa ndege tena siyo kwa masaa tu machache bali karibu siku nzima, siwezi kusema ni uzembe au ujinga, badala yake naweza kusema ilikuwa ni kwa sababu ya utofauti wa masaa kwa kizungu na kikwetu(Kiswahili).

Ilikuwa hivi; yeye ticket ya ilikuwa imeandikwa safari ni ijumaa saa 7 usiku yaani (departure Friday 1am) Maana yake ilitakiwa aende Airport siku ya Alhamisi walau saa4 usiku ili saa tano usiku aanze ku check in.

Yule jamaa ilifika around saa4:30 usiku akapigiwa simu na rafiki yake, “oya kamanda umeshafika Airport?” Jamaa, “mwanangu nilikwambia safari ni kesho saa7 usiku”. Mabishano yakaanza lakini jamaa akaona arudie tena kusoma ticket na kucheki mtandaoni kwenye booking status. Heeeeeh jamaa anaona check in imeshafunguliwa, kidogo achanganyikiwe. Thank God at the end alifanikiwa kufika airport kwa mda na aka check in vema na akasafiri.

Guess what? Ilikuwa tr 24 September 2015 kwa mara ya kwanza jamaa anaenda Switzerland kwa ajili ya masomo.
Huo ndo uzembe Kama ulikua hujui kutokujua masaa ndo uzembe tunaozungumzia
 
Lazima uchelewe kwasababu unapoenda kupanda ndege lazima upige mweche kidogo hata 2 tu....sasa kausingizi kake kanakuwa katamu
 
Kwa tiketi Ile Ile au unakata nyingine?
Frequent flyer ndo mara nyingi huachwa na ndege, 2st time flyer hawez achwa, na ndege haswa local trip as a akua amepania balaaa anaweza kwenda airport masaa kumi kabla
 
Back
Top Bottom