Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
Wanabodi,
Déclaration of Interest.
Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje.
Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na cheti cha kipimo cha Corona hivyo kurudishwa nyumbani na mabegi ya, hivyo kosa la kukosa cheti cha kupima Covid 19, kunaweza kukusababisha safari yako ya ulaya kuishia Airport !.
Kumbe japo chanjo ya Corona ni hiyari, lakini kwa watu wanaotumia usafiri wa anga, ndege, au kukwea pipa kwa safari za kimataifa, chanjo hii ni muhimu. Ili upande ndege, ni lazima upime Corona na kupewa cheti kinachoonyesha hauna Corona. Hivyo chanjo ya Corona ni muhimu ili kujiihakikishia usalama usiipate Corona kirahisi , kwasababu siku hizi, ili usafiri nje, ni lazima upime Corona , na kuonyesha cheti kuwa umepima Corona na huna Corona ndio unapanda ndege. Ukichanja chanjo ya Corona, unazuia uwezekano wa wewe kupata Corona kwa urahisi.
Mtu hupandi ndege bila ya kuwa na cheti kupima Corona!, hivyo ili usipate Corona ni muhimu sana kuchanja chanjo ya Corona ili kujiepusha na kupata Corona.
Zamani ukiingia tu Airport unawahi counter ya check in. Sasa ukiingia Airport unaanzia meza ya vérification ya cheti cha kupima Corona. Baada ya kuwa cleared kuwa umepima Corona na umekutwa hakuna ndio una proceed to check in counter.
Hivyo natoa wito, kama wewe ni mtu wa kusafiri safiri, au kazi yako inahusisha safari za nje ya nchi, hata kama umeamua kuitumia hiyari yako kutochanja nakushauri nenda kachanje, ili kuwa na uhakika umejikinga Corona ili ukipata safari, uweusije na uhakika wa Usalama wako dhidi ya Corona, kwa maana utapima na kukutwa hauna, usije kulia na kusaga meno, kama jana pale airport.
Japo chanjo ya Corona ni hiari, kwa watu wanao safiri safiri, chanjo ya Corona ni muhimu sana, hivyo hata kama ulipanga kuitumia hiyari yako usichanje, nakushauri kachanje!
Paskali
Update 1
UFAFANUZI WA WIZARA YA AFYA
Hakuna sharti la chanjo ya Corona kwa wasafiri wanaokwenda nje ya nchi. Ni vema msafiri akauliza shirika la ndege analokwenda nalo pamoja na masharti ya nchi anayotembelea. Kwa zile nchi ambazo zinahitaji kipimo cha UVIKO-19 msafiri afanye kipimo hicho ndani ya masaa 24 hadi 48 kabla ya kuanza safari. Upimaji unafanyika kwa msafiri kufanya booking kupitia pimacovid.moh.go.tz ambapo atachagua kituo cha upimaji . Baada ya upimaji majibu yatatumwa kwake kwa njia ya barua pepe aliyotumia wakati wa booking. Akifika Airport cheti hicho kitahakikiwa katika dawati la afya. Unashauriwa kujiepusha na vyeti feki.
Kuhusu uzushi unaoenea kwamba Chanjo ya UVIKO-19 inatolewa mashuleni hiyo sio kweli,Chanjo zote zinatolewa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vilivyoainishwa na Chanjo hiyo inatolewa kwa makundi Yale matatu yalivyotangazwa.
Watoto sio walengwa wa Chanjo hii na vilevile hakuna kituo kwenye shule.
Imetolewa na ;
Catherine Sungura
Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini-Afya
8/8/2021
UPDATE 2
Kufuatia upotoshaji uliotokana na thread hii, pale mwanzo kabla haijarekebishwa, mimi Pascal Mayalla naomba kuomba radhi kwa usumbufu wowote uliosababishwa na taarifa ya awali ambayo haikuwa sahihi. Naahidi kutoa kila aina ya ushirikiano kwa serikali yetu kupitia Wizara ya Afya, na kushiriki kikamilifu katika utoaji wa elimu na taarifa sahihi kuhusu chanjo ya Corona.
Kunapotokea kosa lolote, katika jambo lolote, kitu muhimu sio tuu kuangalia kosa lililotendeka, (actus reus), bali nia ya mtenda kosa, kama alikuwa na nia ya kutenda kosa (mens rea).
Na mwisho naomba kusisitiza kuwa japo kwa sasa chanjo ya Corona ni hiari, kitu kinachohitajika kabla ya kusafiri nje ni cheti cha kupima Corona, huko tuendako tutafikia mahali cheti cha chanjo ya Corona kitahitajika kabla ya kupata Visa za kuingia nchi fulani fulani, hivyo utafika muda chanjo ya Corona itakuwa ni hiari ya lazima.
Pasco Mayalla
Threads Nyingine za mwandishi huyu kuhusu Chanjo ya Corona
Déclaration of Interest.
Mimi Pascal Mayalla ni pro Vaccination ya Covid 19 na nimechanja chanjo ya Corona, na nawahimiza Watanzania, tuchanje.
Niko hapa Terminam 3 Airport ya DIA, nimeshuhudia baadhi ya watu wachache wakirudi makwao kwa kakataliwa kusafiri kutokana na kutokuwa na cheti cha kipimo cha Corona hivyo kurudishwa nyumbani na mabegi ya, hivyo kosa la kukosa cheti cha kupima Covid 19, kunaweza kukusababisha safari yako ya ulaya kuishia Airport !.
Kumbe japo chanjo ya Corona ni hiyari, lakini kwa watu wanaotumia usafiri wa anga, ndege, au kukwea pipa kwa safari za kimataifa, chanjo hii ni muhimu. Ili upande ndege, ni lazima upime Corona na kupewa cheti kinachoonyesha hauna Corona. Hivyo chanjo ya Corona ni muhimu ili kujiihakikishia usalama usiipate Corona kirahisi , kwasababu siku hizi, ili usafiri nje, ni lazima upime Corona , na kuonyesha cheti kuwa umepima Corona na huna Corona ndio unapanda ndege. Ukichanja chanjo ya Corona, unazuia uwezekano wa wewe kupata Corona kwa urahisi.
Mtu hupandi ndege bila ya kuwa na cheti kupima Corona!, hivyo ili usipate Corona ni muhimu sana kuchanja chanjo ya Corona ili kujiepusha na kupata Corona.
Zamani ukiingia tu Airport unawahi counter ya check in. Sasa ukiingia Airport unaanzia meza ya vérification ya cheti cha kupima Corona. Baada ya kuwa cleared kuwa umepima Corona na umekutwa hakuna ndio una proceed to check in counter.
Hivyo natoa wito, kama wewe ni mtu wa kusafiri safiri, au kazi yako inahusisha safari za nje ya nchi, hata kama umeamua kuitumia hiyari yako kutochanja nakushauri nenda kachanje, ili kuwa na uhakika umejikinga Corona ili ukipata safari, uweusije na uhakika wa Usalama wako dhidi ya Corona, kwa maana utapima na kukutwa hauna, usije kulia na kusaga meno, kama jana pale airport.
Japo chanjo ya Corona ni hiari, kwa watu wanao safiri safiri, chanjo ya Corona ni muhimu sana, hivyo hata kama ulipanga kuitumia hiyari yako usichanje, nakushauri kachanje!
Paskali
Update 1
UFAFANUZI WA WIZARA YA AFYA
Hakuna sharti la chanjo ya Corona kwa wasafiri wanaokwenda nje ya nchi. Ni vema msafiri akauliza shirika la ndege analokwenda nalo pamoja na masharti ya nchi anayotembelea. Kwa zile nchi ambazo zinahitaji kipimo cha UVIKO-19 msafiri afanye kipimo hicho ndani ya masaa 24 hadi 48 kabla ya kuanza safari. Upimaji unafanyika kwa msafiri kufanya booking kupitia pimacovid.moh.go.tz ambapo atachagua kituo cha upimaji . Baada ya upimaji majibu yatatumwa kwake kwa njia ya barua pepe aliyotumia wakati wa booking. Akifika Airport cheti hicho kitahakikiwa katika dawati la afya. Unashauriwa kujiepusha na vyeti feki.
Kuhusu uzushi unaoenea kwamba Chanjo ya UVIKO-19 inatolewa mashuleni hiyo sio kweli,Chanjo zote zinatolewa kwenye vituo vya kutolea huduma za afya vilivyoainishwa na Chanjo hiyo inatolewa kwa makundi Yale matatu yalivyotangazwa.
Watoto sio walengwa wa Chanjo hii na vilevile hakuna kituo kwenye shule.
Imetolewa na ;
Catherine Sungura
Kaimu Mkuu wa Kitengo Cha Mawasiliano Serikalini-Afya
8/8/2021
UPDATE 2
Kufuatia upotoshaji uliotokana na thread hii, pale mwanzo kabla haijarekebishwa, mimi Pascal Mayalla naomba kuomba radhi kwa usumbufu wowote uliosababishwa na taarifa ya awali ambayo haikuwa sahihi. Naahidi kutoa kila aina ya ushirikiano kwa serikali yetu kupitia Wizara ya Afya, na kushiriki kikamilifu katika utoaji wa elimu na taarifa sahihi kuhusu chanjo ya Corona.
Kunapotokea kosa lolote, katika jambo lolote, kitu muhimu sio tuu kuangalia kosa lililotendeka, (actus reus), bali nia ya mtenda kosa, kama alikuwa na nia ya kutenda kosa (mens rea).
Na mwisho naomba kusisitiza kuwa japo kwa sasa chanjo ya Corona ni hiari, kitu kinachohitajika kabla ya kusafiri nje ni cheti cha kupima Corona, huko tuendako tutafikia mahali cheti cha chanjo ya Corona kitahitajika kabla ya kupata Visa za kuingia nchi fulani fulani, hivyo utafika muda chanjo ya Corona itakuwa ni hiari ya lazima.
Pasco Mayalla
Threads Nyingine za mwandishi huyu kuhusu Chanjo ya Corona
#COVID19 - Kama Taifa limekubali chanjo ndio maslahi ya Taifa, Viongozi wote wanakuwa Bind na A Collective Responsibility Clause. Must support, Shut up or quit!
Wanabodi, Nimemsikia Mbunge wangu Mhe. Askofu Gwajima akipinga chanjo ya Covid na sio tu kuhamasisha watu waikatae bali hadi kutishia kwa kuwahukumu kifo, wote watakao wachanja watu! Askofu wetu anahitaji kuelimishwa, kwanza yeye, kama Mbunge, ni mtumishi wa umma wa Watanzania wote, kisha ndio...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Waziri Gwajima Kiboko! Ni Mwanamke wa Shoka… Amuita mtu ‘Kibwetere’. Unamjua huyo Kibwetere ni nani na Wakoje naye?
Wanabodi, Huyu Waziri wa Afya, Gwajima Kiboko!, Ni Mwanamke wa Shoka kweli kweli!, leo kuna mtu amemuita Kibwetere!. Msikilize Waziri Gwajima Jee unamjua huyo aliyemuita Kibwetere ni nani?, na ni nani wake au wakoje nae?. Ukiishamjua Kibwetere ni nani, utakubaliana na mimi, huyu Waziri...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Visions & Trends Readings: Unaweza Usiamini Hili, "Namuona Baba Askofu Mpinga Chanjo, Ukichanjwa Chanjo ya Corona!"
Wanabodi Hili ni bandiko la Visions na Trends Readings, Visions za Trends Reading sio utabiri, ni maono ya mielekeo. Ni tofauti na maono ya utabiri. Kwenye visions za trends readings zangu, zinanionyesha "Mbunge Wangu wa Kawe, Baba Askofu, Mheshimiwa sana, Dr. Josephat Gwajima" akichanjwa...
www.jamiiforums.com
#COVID19 - Baada ya Kukubali Chanjo, na Rais Samia Kuchanja, Kiongozi yeyote anayepinga Chanjo hadharani ni 'Insubordination' na usaliti
Wanabodi, Hii ni mada mwendelezo wa mada hii ya wiki iliyopita Kwa vile zoezi la chanjo ya Uviko linaendelea, Kwa Maslahi ya Taifa inaendelea kujikita kwenye chanjo, leo nikiangazia hoja ya uhiari wa Chanjo. Japo chanjo ni hiari, hiari ya chanjo ni hiari ya consent kama ilivyo kwenye...
www.jamiiforums.com